Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa ilikuwa kimya kimyaWakati unaomba ajira kama mtumishi barua yako ya maombi ilipitia kwa mwajiri wako?
Kama alifanya kimya kimya itamsumbua kwa mwajiri wake.Itakuwa ilikuwa kimya kimya
Kwaio changamoto ipo kwa muajiri maana haikupita kwa muajiri kiukweliKama alifanya kimya kimya itamsumbua kwa mwajiri wake.
Na kwenye matangazo ya kazi mara nyingi husema kabisa kwa waajiriwa wa serikali wapitishe barua zao kwa mwajiri.Kwaio changamoto ipo kwa muajiri maana haikupita kwa muajiri kiukweli
Kama haikupita kwa mwajiri kutakuwa na ugumu, kule watakuterm kama mwajiriwa mpya, ila wakiingiza kwenye system jina lako litaonekana umeshaajiriwa. Na barua yako ya ajira ukishaipata utatakiwa kuiwasilisha kwa mwajiri wako, wewe kama wewe unaona utanasuka?Kwaio changamoto ipo kwa muajiri maana haikupita kwa muajiri kiukweli
Na kwenye matangazo ya kazi mara nyingi husema kabisa kwa waajiriwa wa serikali wapitishe barua zao kwa mwajir
Nijaribu kuongea na mkurugenzi kwanza nione kama atanisidiaaKama haikupita kwa mwajiri kutakuwa na ugumu, kule watakuterm kama mwajiriwa mpya, ila wakiingiza kwenye system jina lako litaonekana umeshaajiriwa. Na barua yako ya ajira ukishaipata utatakiwa kuiwasilisha kwa mwajiri wako, wewe kama wewe unaona utanasuka?
Interview tulifanya wote angefaulu tuKuna watu mna tamaa sana. Ushamzibia nafasi jobless mmoja hapo
Andika barua kwa katibu mkuu utumishi kupitia kwa DED kuomba uhamisho, ambatisha hiyo barua ya ajira mpya.Muone DED ana kwa ana mwambie ukweli nina hakika atapitisha barua yako kisha itume Dodoma kwa katibu mkuu utumishi, subiri ndani ya miezi mitatu hadi mitano utapata
Asante sana mkuu nalishughulikiaOngea na mkurungezi vizuri akufanyie mambo au apitishe barua yako Mkuu