Kuhamishwa kwa DPP ni pigo kubwa kwa Nusrat Henje na akina Halima Mdee

Chadema kwisha habari yenu, sasahivi mnatafunana wenyewe kwa wenyewe,akuna vita mbaya kama ya nyinyi kwa nyinyi Vita hiyo haiwezi kwisha, sasahivi kilichobaki ni kugawanya mbao,yetu macho πŸ™‚πŸ™‚πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜€
 
Bwasheeeee vp tena mbona unanichanganya.
Kwani hao 19 bado ni bawacha? Siwanaitwa covid. Nimemnukuu mwana ccm machachari, mtiifu na mfia chama aitwaye Nape
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…