Hujaelewa kilichoandikwa subiri ajibu utaelewa Mtoto wa Kuhani Mozes.Unaona wivu!? Basi nimekuachia wewe
Lusekelo😂😂Mozes ni wa Mungu na mimi ni wa Mungu
Wewe mtoto wa nani
Naona unajibu kwa kupaniki kweli, hapa Tz kuna asiyetii mamlaka kweli!Tii mamlaka with no conditions
Naona unajibu kwa kupaniki kweli, hapa Tz kuna asiyetii mamlaka kweli!
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Safi sana na ulabu juu.Pongezi na heshma kwako
Acha uchawa wewe, embu jitambue hata kidogo!Kutii Sio hiari ni amri
Uspaniki
Acha uchawa wewe, embu jitambue hata kidogo!
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Muulizaji si mjinga.Kwani kuna shida!?
Atoe werevu ili ujinga usimvae muulizaji.Anayeulizwa je!?