Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
[emoji23][emoji23] waache tu hivyo vikao vyao, kila mmoja afanye analoona ni sahihi kwake.Hawa wenzao wanaohonga sijui hawapo wote kwenye kikao chao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23] waache tu hivyo vikao vyao, kila mmoja afanye analoona ni sahihi kwake.Hawa wenzao wanaohonga sijui hawapo wote kwenye kikao chao
Mapema sana kama kutakuwa na mabadiliko ofisi ya chama itatutangazia ila sipotezi mda wangu kwenda kwenye vikao[emoji3] umesanuka mapema
[emoji23][emoji23][emoji23] na wenzao wanawasaliti vizuri kuna wanaume wanahonga bwana tena wala humuombi unaona tu miamala inaingia wanaume wanaojua wajibu kwa wanawake zao[emoji23][emoji23] waache tu hivyo vikao vyao, kila mmoja afanye analoona ni sahihi kwake.
Hahahaha[emoji3] umesanuka mapema
[emoji2]Mapema sana kama kutakuwa na mabadiliko ofisi ya chama itatutangazia ila sipotezi mda wangu kwenda kwenye vikao
Kwanza wanaume watoaji hawaendagi kwenye vikao vyao, hela anatafuta yeye ni kwa nini apangiwe matumizi? eti asihonge ili iweje na hela kaitolea jasho yeye? Wanaume wanaojua kutoa wote mbinguni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na wenzao wanawasaliti vizuri kuna wanaume wanahonga bwana tena wala humuombi unaona tu miamala inaingia wanaume wanaojua wajibu kwa wanawake zao
Ameen Ameen. [emoji120]Kwanza wanaume watoaji hawaendagi kwenye vikao vyao, hela anatafuta yeye ni kwa nini apangiwe matumizi? eti asihonge ili iweje na hela kaitolea jasho yeye? Wanaume wanaojua kutoa wote mbinguni [emoji23][emoji23]
Hawa wenzao wanaohonga sijui hawapo wote kwenye kikao chao
Nasubiri kauli yako nipo tayari kupandisha dau kwa wewe.[emoji23] aisee
usimuonee hurumu huyo kenge wa bluuJana nimempa hiyo 10k kasema haitoshi, eti anadaiwa Pedi dukani pia bundle la week na kusuka bado yaani anamambo mengi mpaka namuonea huruma
Jamani si tulishakubaliana ni 7500 mimi hiki kikao sijakuwepo na sababu za msingi kupandisha hiyo 2500 bado sijapewa na nimezungumza na katibu na mwenyekiti kasema hatambui kikao hicho kwaiyo kipuuzweLeo tumekaa kikao wanaume wote tuliowa na wasio owa tumekubaliana wote kwa kauli moja, kumuhonga mwanamke mwisho sh. Elfu kumi hili halina mjadala.
Wanawake jishughulisheni wanaume tumezinduka kutoka usingizini hatuongi tena magari, nyumba, viwanja etc. Ni mwendo wa kumi kumi tu.
Sasa bei elekezi ya kuonga ni buku 5 wakuuLeo tumekaa kikao wanaume wote tuliowa na wasio owa tumekubaliana wote kwa kauli moja, kumuhonga mwanamke mwisho sh. Elfu kumi hili halina mjadala.
Wanawake jishughulisheni wanaume tumezinduka kutoka usingizini hatuongi tena magari, nyumba, viwanja etc. Ni mwendo wa kumi kumi tu.