Kuhonga ni sawa na kutupa fedha ndani ya shimo refu lenye giza, utapoteza zaidi na zaidi

Kuhonga ni sawa na kutupa fedha ndani ya shimo refu lenye giza, utapoteza zaidi na zaidi

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Kuna shimo moja liko katika kijiji kimoja mkoani Lindi ambalo sio man made ila ni shimo ambalo hakuna mtu amewahi kuingia. Ni giza tupu, inasemekana ndilo Wajurumani walilitumia kuwatumbukiza watu waliokuwa wasumbufu kwenye utawala wao.

Ni shimo refu sana kiasi kwamba hata anayekutumbukiza hajui nini hatma yako huko ndani ila anajua tu kuwa ni mwisho wako wa kuonekana duniani.

Turudi kwenye mada,
Kuhonga maana yake ni kumpa pesa au vitu mtu wa jinsia nyingine ili akupende zaidi. Ingawa sasa hata watu wa jinsia moja huongana.

Kadri unavyohonga ndivyo unavyotupa pesa au mali shimoni. Usitarajie matokeo chanya. Never. Ukitaka kujua kuwa kuhonga ni sawa na kutupa kitu kwenye shimo refu wewe ishiwa.

Au mdanganye huyo unayemuhonga kuwa biashara yako imekufa hivyo akusapoti angalau laki moja au milioni moja au hata milioni 10 kulingana na jinsi ulivyojiweka. Subiri jibu.

Au mwambie umefukuzwa kazi au mkataba wako kazini umekwisha hivyo akupe angalau mtaji wa pesa kidogo. Subiri majibu.

Pesa mpe mtu ambaye rasmi mnakwenda kufunga ndoa, hiyo hatuiti kuhonga ni upendo na support.
Unailaani kazi yako kwa kuhonga.

Mungu anakupa fursa ya kukuingizia kipato wewe unatumia hicho kipato (fedha) kumshawishi mtu ili uzini naye.
Hakuna mwisho mwema wa mwongaji.
 
Sasa wanawake wasiokuwa na kazi wataendeshaje maisha kama hatutawahonga? Kwa mwanaume kuhonga ni sehemu ya bajeti yake sema we huna hela yakuhonga
 
Sasa wanawake wasiokuwa na kazi wataendeshaje maisha kama hatutawahonga? Kwa mwanaume kuhonga ni sehemu ya bajeti yake sema we huna hela yakuhonga
Watafute mabwana waolewe...najua utasema mwanamke hatafuti bwana.
 
Mkuu hujaja Duniani kuteseka fanya kitu roho inapenda, na kama una asili ya kusikitika juu ya pesa ulizowahi kuhonga au kumpa mtu basi umasikini unakunyemelea
 
Tunahonga ili kupata vile ambavyo hatuwezi kuvipata kwa njia ya kawaida, acheni tuhonge maana sisi wengine sio ma handsome watoto wazuri tutawapataje na sisi tunataka kuwala tu na kupita hivi
 
Tunahonga ili kupata vile ambavyo hatuwezi kuvipata kwa njia ya kawaida, acheni tuhonge maana sisi wengine sio ma handsome watoto wazuri tutawapataje na sisi tunataka kuwala tu na kupita hivi
Nakazia hapa mkuu
 
Unafikiri tusipohonga utelezi tutaupataje?

Sisi wengine tunazungushwa utelezi mpaka tuhonge kwanza ndo tupewe.
 
Sasa wanawake wasiokuwa na kazi wataendeshaje maisha kama hatutawahonga? Kwa mwanaume kuhonga ni sehemu ya bajeti yake sema we huna hela yakuhonga
Mleta mada hakosi hela ya Kuhonga inasemekana Yuko kwenye Chombo nyeti sana kile chenye miposho na mshahara mkubwa!
 
Acha mawazo ya kijinga.

Kuhonga ni mojawapo ya majukumu ya asili ya mwanaume.

Jifunze kutoka hata kwa wanyama na ndege wa kiume mfano jogoo lazima atafte chakula, hatakula atamuitia jike ale. The same kwa simba dume na madume mengine yote.

Mwanaume unapozaliwa majukumu yako makuu ni mawili, kuzalisha na kutoa ulinzi. Kwenye kuzalisha, ili uweze kuzalisha ama kufurahia tendo la ngono ni lazima uligharamikie.

Uchi wa mwanamke ama jinsia ya kike yoyote haujawahi kutolewa ama kupatikana bure, ni lazima uingie gharama kuupata, uke ni kitu expensive lazima uingie gharama kuupata.

Tukiwa na kizazi cha wanaume wanaogopa kuhonga tutakosa kizazi kijacho.

Wanaume tuache ubinafsi, tuhonge, tuwafaidi hawa viumbe. Wanawake hawajaumbwa kuhangaika na kufanya mikazi migumu ili waweze kujilisha, wameumbwa watunzwe na waliwe.

Siwezi kuacha kuhonga hadi nakufa.
 
Ila watu wengi huwa hawaelewi ukiona unatumia pesa nyingi kumpata demi hujue huyo demu hakupendi demu anayekupenda hasubiri utumie pesa nyingi ndio atoe mzigo, unakuta mtu anatumia 700,000/- Ili apate mzigo wakati Kuna mtu kamtumia 20,000/- tu ya nauli na Dem kaja geto na mzigo kala.
 
Unafikiri tusipohonga utelezi tutaupataje?

Sisi wengine tunazungushwa utelezi mpaka tuhonge kwanza ndo tupewe.
Piga punyeto mpaka utakapokaa sawa ndipo uoe
Utakufa maskini.
Kuna jamaa mmoja alikuwa trafiki kwa siku anatumia sio chini ya 200k katika harakati za kupata utelezi wa mabinti weupe wa crdb . Leo hii kachanganyikiwa
 
Kuna shimo moja liko katika kijiji kimoja mkoani Lindi ambalo sio man made ila ni shimo ambalo hakuna mtu amewahi kuingia. Ni giza tupu, inasemekana ndilo Wajurumani walilitumia kuwatumbukiza watu waliokuwa wasumbufu kwenye utawala wao.

Ni shimo refu sana kiasi kwamba hata anayekutumbukiza hajui nini hatma yako huko ndani ila anajua tu kuwa ni mwisho wako wa kuonekana duniani.

Turudi kwenye mada,
Kuhonga maana yake ni kumpa pesa au vitu mtu wa jinsia nyingine ili akupende zaidi. Ingawa sasa hata watu wa jinsia moja huongana.

Kadri unavyohonga ndivyo unavyotupa pesa au mali shimoni. Usitarajie matokeo chanya. Never. Ukitaka kujua kuwa kuhonga ni sawa na kutupa kitu kwenye shimo refu wewe ishiwa.

Au mdanganye huyo unayemuhonga kuwa biashara yako imekufa hivyo akusapoti angalau laki moja au milioni moja au hata milioni 10 kulingana na jinsi ulivyojiweka. Subiri jibu.

Au mwambie umefukuzwa kazi au mkataba wako kazini umekwisha hivyo akupe angalau mtaji wa pesa kidogo. Subiri majibu.

Pesa mpe mtu ambaye rasmi mnakwenda kufunga ndoa, hiyo hatuiti kuhonga ni upendo na support.
Unailaani kazi yako kwa kuhonga.

Mungu anakupa fursa ya kukuingizia kipato wewe unatumia hicho kipato (fedha) kumshawishi mtu ili uzini naye.
Hakuna mwisho mwema wa mwongaji.
Ukweli huu tunaujua wanaume
 
Back
Top Bottom