Kuhusu "Connect 16" na huduma yao ya satellite internet

Kuhusu "Connect 16" na huduma yao ya satellite internet

Funga Supakasi ya Vodacom
 

Attachments

  • Screenshot_2022-06-15-12-50-02-33_3bd9a12b4daf0f796475f1854cc1f976.jpg
    Screenshot_2022-06-15-12-50-02-33_3bd9a12b4daf0f796475f1854cc1f976.jpg
    69.2 KB · Views: 76
VODACOM BUSINESS HOME USERS &OFFICE

Supa kasi Internet Unlimited bundle
Free Router+Antenna. (Wireless Router)
20 LTE 20Mbps 115,000/=Tu kila mwezi

Supa kasi Internet Unlimited bundle
Free Router+Antenna. (Wireless Router)
30 LTE 30Mbps 165,000/=Tu kila mwezi

Free installation

For more information
Please check me [emoji338]0744355811
26908980.jpg
1175257801.jpg
 
VODACOM BUSINESS HOME USERS &OFFICE

Supa kasi Internet Unlimited bundle
Free Router+Antenna. (Wireless Router)
20 LTE 20Mbps 115,000/=Tu kila mwezi

Supa kasi Internet Unlimited bundle
Free Router+Antenna. (Wireless Router)
30 LTE 30Mbps 165,000/=Tu kila mwezi

No installation cost

For more information
Please check me [emoji338]0744355811
akuna unlimited hapo kwani wanafanya ujanja wa kupunguza speed wakiona unatumia sana
 
Siku chache zilizopita niliwasiliana na hii kampuni ya CONNECT 16 nikihitaji huduma ya internet kwa matumizi ya nyumbani(hasa huku remote areas) na nikapewa maelezo haya kutoka kwa mhusika:

1. Installation charges ni TZS 300,000/-

2. Monthly subscription ni TZS 75,000/- kwa package ya speed ya up to 20 Mbps(akasema inafanya vyema kabisa kwenye streams bila kustack)

3. Akasema kuna package nyingine za TZS 500K, 400K, 150K, 99K kwa mwezi japo hakuniambia ni kwa speed ipi ya internet; maana tayari nishamueleza kuwa nahitaji kwa matumizi tu ya nyumbani.

4. Installation ina combine:
i) Dish ii) Cable iii)Router

5. Akanambia nikihitaji huduma, itakamilika ndani ya muda wa siku 3-4 baada ya surveyor kufika site. akanambia lakini hata siku 1 kazi inaweza fanyika ikamalizika.

HOLD ON: Nikamuuliza lakini nilipata taarifa kuwa wenyewe wanafanya free installation, inakuwaje tena Kuna hiyo Laki 3 ya installation?

6. Akanambia maeneo niliyopo huku KIBAHA hakufahamu vyema, ila ingekuwa MBEZI BEACH au MWENGE angenifanyia FREE installation.

Akanambia:
"Unajua kibaha mtu anatumia nauli eeh?"

Nikamwambia:
" Ila ukiangalia LAKI 3 ni kubwa sana"

Akanambia: "Enewei, tufanye kitu kimoja, once ukiwa tayari niambie mie nijue cha kufanya. Ukiwa tayari na upo serious unahitaji huduma niambie, nitajua jinsi gani ya kukusaidia"

Nikamuuliza: " Unamaanisha nikiwa tayari na hiyo TZS 75,000/- nikujuze?"

Akanijibu: " YES"

Basi nikamtakia siku njema, tukamaliza maongezi yetu.

Najua JF ni jamii kubwa, nina uhakika kuna wateja humu tayari wa huduma ya SATELLITE INTERNET kutoka kwa hii kampuni; NAOMBENI EXPERIENCE yenu juu ya huduma yao.

IPO BOMBA? au NDIO HIVYO UKIUNGA INAHITAJI UPENDO NA MIUJIZA KUENDELEA NA HUDUMA YAO.

NAWASILISHA.
naomba no yao mkuu nami niongee naye,
 
akuna unlimited hapo kwani wanafanya ujanja wa kupunguza speed wakiona unatumia sana
Una uhakika boss wang maan me natumia hii huduma mwez wa 6 Sasa na sjawah punguziwa speed Wala nn
 
Back
Top Bottom