Kuhusu dai la Katiba Mpya, Rais Samia shituka

Kuhusu dai la Katiba Mpya, Rais Samia shituka

Etwege

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2018
Posts
7,207
Reaction score
17,674
Siyo majambazi, mafisadi na wachezea mifumo ya serikali tu wanaomjaribu rais Samia hata Chadema wanamjaribu.

Leo wametangaza maandamano ya kudai katiba mpya na tume huru yani wanataka rais aache kufocus na kukamilisha SGR ,Bwawa la nyerere ,ajira, viwanda ambavyo ndiyo hitaji la wananchi akaanze kutenga mabilioni ya fedha kwa ajili ya katiba ambayo ni hitaji la wanasiasa tu?

Mbaya zaidi wanataka mchakato wa katiba uanze upyaaaaa na siyo pale ulipoishia zamani

Rais Samia waambie warudishe kwanza hela walizokula kwenye bunge la katiba alafu mwishoni wakatoka nje.
 
Siyo majambazi, mafisadi na wachezea mifumo ya serikali tu wanaomjaribu rais Samia hata Chadema wanamjaribu.

Leo wametangaza maandamano ya kudai katiba mpya na tume huru yani wanataka rais aache kufocus na kukamilisha SGR ,Bwawa la nyerere ,ajira, viwanda ambavyo ndiyo hitaji la wananchi akaanze kutenga mabilioni ya fedha kwa ajili ya katiba ambayo ni hitaji la wanasiasa tu?

Mbaya zaidi wanataka mchakato wa katiba uanze upyaaaaa na siyo pale ulipoishia zamani
Acha uchochezi,uzuri siku hizi uonevu hakuna kama waenzi yako pendwa,hivyo jipange na chuki zako upya dhidi ya wapenda haki na ustawi wa taifa hili.
 
Siyo majambazi, mafisadi na wachezea mifumo ya serikali tu wanaomjaribu rais Samia hata Chadema wanamjaribu.

Leo wametangaza maandamano ya kudai katiba mpya na tume huru yani wanataka rais aache kufocus na kukamilisha SGR ,Bwawa la nyerere ,ajira, viwanda ambavyo ndiyo hitaji la wananchi akaanze kutenga mabilioni ya fedha kwa ajili ya katiba ambayo ni hitaji la wanasiasa tu?

Mbaya zaidi wanataka mchakato wa katiba uanze upyaaaaa na siyo pale ulipoishia zamani
Naomba ukale kwanza mkuu nahisi unanjaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siyo majambazi, mafisadi na wachezea mifumo ya serikali tu wanaomjaribu rais Samia hata Chadema wanamjaribu.

Leo wametangaza maandamano ya kudai katiba mpya na tume huru yani wanataka rais aache kufocus na kukamilisha SGR ,Bwawa la nyerere ,ajira, viwanda ambavyo ndiyo hitaji la wananchi akaanze kutenga mabilioni ya fedha kwa ajili ya katiba ambayo ni hitaji la wanasiasa tu?

Mbaya zaidi wanataka mchakato wa katiba uanze upyaaaaa na siyo pale ulipoishia zamani
Sioni ubaya maana katiba ni ya watanzania wote. Anayedai anadai kwa ajili ya watanzania wote na vyama vyote
 
Wanataka katiba mpya si kwa lengo la kuwasaidia watz hapana!

Ila wanafikiri wakipata katiba mpya na tume huru ya uchaguzi wataenda ikulu kiulaini.

Yani kwa mawazo yao wanafikiri kushindwa kwao ni sababu ya katiba mpya.
Hata kama hawataenda wanachokataa ni ujambazi wa chaguzi,waweza ita wa uchafuzi.
 
Siyo majambazi, mafisadi na wachezea mifumo ya serikali tu wanaomjaribu rais Samia hata Chadema wanamjaribu.

Leo wametangaza maandamano ya kudai katiba mpya na tume huru yani wanataka rais aache kufocus na kukamilisha SGR ,Bwawa la nyerere ,ajira, viwanda ambavyo ndiyo hitaji la wananchi akaanze kutenga mabilioni ya fedha kwa ajili ya katiba ambayo ni hitaji la wanasiasa tu?

Mbaya zaidi wanataka mchakato wa katiba uanze upyaaaaa na siyo pale ulipoishia zamani

Rais atawapa jibu simple sana
Kuwa serikali haina pesa kama wao wanaweza kupata pesa then walete
 
Siyo majambazi, mafisadi na wachezea mifumo ya serikali tu wanaomjaribu rais Samia hata Chadema wanamjaribu.

Leo wametangaza maandamano ya kudai katiba mpya na tume huru yani wanataka rais aache kufocus na kukamilisha SGR ,Bwawa la nyerere ,ajira, viwanda ambavyo ndiyo hitaji la wananchi akaanze kutenga mabilioni ya fedha kwa ajili ya katiba ambayo ni hitaji la wanasiasa tu?

Mbaya zaidi wanataka mchakato wa katiba uanze upyaaaaa na siyo pale ulipoishia zamani
Kamanda huwa nakukubali sana
 
Bila katiba mpya tutapiga Marktime ru lakini tutarudi quare 1.

Hii ni katiba ya Chama kimoja siyo ya Uhalisia
Nadhani Hayati Mkapa na Mkwere waligundua lilifanyika kosa kutomalizia ule mchakato, kuna kipindi Mkwere alikwenda West Africa akasema ametamani utaratibu wa kuhesabu kura aliouona kule, Mkapa naye kuna jambo alizungumza kuonyesha hakuwa comfortable na baadhi ya maamuzi yaliyokuwa yakifanywa na awamu ya jana
 
Katiba ya warioba ilikuwa nzuri sana....Kuwe na Tume huru....Ccm wasiogope ,uongozi ni mpito tu , alikuwepo KONKI JABARI LIQUID KAYAFA lakini ameenda.
 
Swadaktaaa.....

DAI LA KATIBA MPYA NI MATAKWA YA WANASIASA TU ambao ndani yake wako WANAOTUMIWA HUKO NJE ili kusababisha "kokosekana utulivu".....

Na wako wale wanaozengea fursa za FEDHA watakazopewa wakiwa WABUNGE WA HILO BUNGE LA KATIBA.....

******************

Ni hivi MAJUZI TU ,Rais wa Rwanda ,Mh.Kagame amedhihirisha kuwa alikuwa yuko SAHIHI MNO kung'ang'ania kuwa UFARANSA nayo ilihusika na MAUAJI YA KIMBARI YA 1994.......

Rais wetu mh.Samia Suluhu Hassan ni makini na imani yetu ataendelea kuwa MAKINI kwa kila aambiwacho na hawa wanasiasa wa UPINZANI tena baada ya kurudi kutoka UGHAIBUNI....🤣🤣

#StaunchSupporterOfSSH
#DieHardFanOfCCM
 
SSH ataanza kugundua ujinga wake muda si mrefu, aliona akijipendekeza kwa nyumbxxx Fc ni suluhisho la siasa za kishenzi wanazofanyiaga, sasa acha waanze kumnyea hadi apate akili.
 
Katiba mpya kwa Tz haina tofauti na BBI Kenya, ni tatizo la wanasiasa wanagombania kuweka maslahi yao ya vyeo salama, ujinga ni Rais SSH kujiingiza ktk mitego isiyo na akili kama hii.
 
Hela atatoa wapi?
Hela atatoa wapi ndo mshika mkoba wa serikali. Akili nyingine sijui za wapi?

Katiba mpya ni kwa ajili ya misingi mizuri itakayolinda projects zote zinazofanywa pia!

Au akili zenu zilishachomolewa mnajiendea kama maroboti tu yanayoendeshwa kwa remote!!
 
Back
Top Bottom