Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Unampenda kamanda mchovu sio,basi maslahi yenu mnayapatia pamoja.Kamanda huwa nakukubali sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unampenda kamanda mchovu sio,basi maslahi yenu mnayapatia pamoja.Kamanda huwa nakukubali sana
Huna busara na akiliUnampenda kamanda mchovu sio,basi maslahi yenu mnayapatia pamoja.
Kweni umesikia Mama ndie anayebeba Zege?wanataka rais aache kufocus na kukamilisha SGR ,Bwawa la nyerere
Basi wewe mwerevu Sana ,lakini aliyeharibikiwa.Huna busara na akili
Tumia ubongo kufikiriBasi wewe mwerevu Sana ,lakini aliyeharibikiwa.
Ubongo huo ndio unawaletea nondo wenye maneno mbofu mbofu.Kiasi cha kuwavuruga.Tumia ubongo kufikiri
Alie kwambia raisi anatumia pesa zake ni nani? Kama huna uelewa kaa tu kimya.Hela atatoa wapi?
Utapata katiba mpya bila kutumia hela?Kweni umesikia Mama ndie anayebeba Zege?
View attachment 1799715
Unajua mchakato wa kupata katiba bajeti yake ni shs ngapi?Hela atatoa wapi ndo mshika mkoba wa serikali. Akili nyingine sijui za wapi?
Katiba mpya ni kwa ajili ya misingi mizuri itakayolinda projects zote zinazofanywa pia!
Au akili zenu zilishachomolewa mnajiendea kama maroboti tu yanayoendeshwa kwa remote!!
Kenya kila mwaka wao ni katiba tu, wanasiasa wanajitengea bajeti ya mabilioni kwa ajili ya kutafuta katiba.Katiba mpya kwa Tz haina tofauti na BBI Kenya, ni tatizo la wanasiasa wanagombania kuweka maslahi yao ya vyeo salama, ujinga ni Rais SSH kujiingiza ktk mitego isiyo na akili kama hii.
Hela ni zetu na sisi na ndio tunaotaka Katiba mpyaUtapata katiba mpya bila kutumia hela?
Kumbuka usemi wa wahenga kuwa kama elimu ni ghali,jaribu ujinga.Hivyo hivyo kama kuandaa katiba mpya ni gharama endelea na unayoiita ni bora.Utapata katiba mpya bila kutumia hela?
Wewe ni tahira kabisa! Wasted sperm!Siyo majambazi, mafisadi na wachezea mifumo ya serikali tu wanaomjaribu rais Samia hata Chadema wanamjaribu.
Leo wametangaza maandamano ya kudai katiba mpya na tume huru yani wanataka rais aache kufocus na kukamilisha SGR ,Bwawa la nyerere ,ajira, viwanda ambavyo ndiyo hitaji la wananchi akaanze kutenga mabilioni ya fedha kwa ajili ya katiba ambayo ni hitaji la wanasiasa tu?
Mbaya zaidi wanataka mchakato wa katiba uanze upyaaaaa na siyo pale ulipoishia zamani
Kwahiyo unaona wewe ndio mwerevu kuliko wao.Kenya kila mwaka wao ni katiba tu, wanasiasa wanajitengea bajeti ya mabilioni kwa ajili ya kutafuta katiba.
Acha aingizwe chaka tu hamna namnaSiyo majambazi, mafisadi na wachezea mifumo ya serikali tu wanaomjaribu rais Samia hata Chadema wanamjaribu.
Leo wametangaza maandamano ya kudai katiba mpya na tume huru yani wanataka rais aache kufocus na kukamilisha SGR ,Bwawa la nyerere ,ajira, viwanda ambavyo ndiyo hitaji la wananchi akaanze kutenga mabilioni ya fedha kwa ajili ya katiba ambayo ni hitaji la wanasiasa tu?
Mbaya zaidi wanataka mchakato wa katiba uanze upyaaaaa na siyo pale ulipoishia zamani
🤣👍👍Mwaka Jana tumeingia uchumi wa kati ,je tulikuwa na katiba mpya?
Nawe acha uchochezi,ni wale wanufaika wa iliyopo eeAcha aingizwe chaka tu hamna namna
akaanze kutenga mabilioni ya fedha kwa ajili ya katiba ambayo ni hitaji la wanasiasa tu?
Mbowe, Lema, Msigwa wamekuwa wabunge kwa miaka mingi mfululizo kwa tume ipi?Katiba ni hitaji la wanasiasa? Hiyo kwa kiingereza inaitwa “fallacy”. Ni uongo au ujinga mwingine mliopandikiziwa na mwendazake katika harakati zake za kutaka kutawala kidikteta milele.
Katiba ndiyo inawawezesha wananchi kuchagua viongozi wanaowataka na kuwadhibiti watimize wajibu wao inavyopasa ikiwa ni pamoja na kuhakikisha utawala wa sheria na haki za binadamu zinaheshimiwa nchini.
Mbaya zaidi wanataka mchakato wa katiba uanze upyaaaaa na siyo pale ulipoishia zamani