Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Shule ulienda kusomea ujinga? Hamna mtu mwenye neno lake, tabularasa mmoja weweWewe ni Lucas Mwashambwa hadi kububujikwa na machozi? Hilo neno "kububujikwa na machozi ni lake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shule ulienda kusomea ujinga? Hamna mtu mwenye neno lake, tabularasa mmoja weweWewe ni Lucas Mwashambwa hadi kububujikwa na machozi? Hilo neno "kububujikwa na machozi ni lake.
Kajamaa kalimpiga kweli kweli. Hapo Bichura, hakuwa na namna.Kwa taarifa zisizo RASMI( unpublished data) ni kwamba Dr Mpango amekuwa haridhishwi na namna nchi inavyopelekwa kwa sasa hasa kwenye uwekezaji wa resources .
Kwa mfano, uwekezaji wa DP world Tangu ile Safari ya Dubai, Dr Mpango alikuwa against na process nzima, resources za nchi zinaenda kuamuliwa kwenye expensive hotels na restaurants kwa watu ambao hawakuwa na good reputation. Hata kipindi cha mjadala, Dr Mpango hakuwahi hata siku moja kucomment anything about DP world maana alijua ni . HASARA nyingine kwa taifa. DP world ni another SCAM , wake up !!!!!!
Aidha, Ishu ya Adani group inayopigiwa debe na kafulila kwa sasa, nyuma ya huyo Muhindi kuna Big Dogs tayari wapo set up.. mchakato mzima Mpango anaujua na una interest za nani ... na wala sio interest za nchi…. Dili la Adani tayari lina pre contract kama ilivyokuwa DP world haya mambo yote ni chukizo kwa Dr kwakuwa zinalenga kunufaisha wachache na sio Watanzania
The Royal Tour ni another SCAM na matumizi mabaya ya fedha za Umma unnecessary, return ya Royal tour was worthless against expenditure , matumizi ya namna hii Mpango amekuwa kinyume nayo na mara nyingi amekuwa kama ameisusia kwenye ukimya wake …he is not satisfied hivyo amekataa kuwa sehemu ya udhalimu wa mali za Umma…….. Ikumbukwe Jamaa alikuwa Waziri wa Fedha enzi ya JPM .... anajua vema pato la taifa.
Kuna huyo anaitwa Katibu Binafsi wa Rais , anapiga pesa za nchi vibaya sana ….. Huyu ndio Msiri wa Boss na Mipango mingi… pia, skendo za Abdul na Ufisadi ni sure thing ....MSIKILIZENI LISSU VEMA. Abdul sio mtumishi wa Umma lakini anamaamuzi kwenye nchi...Dr anakaa kando kwa kuchukia kwa kuwa hawezi kufanya lolote.
Ufisadi UMERUDI kwa kasi…..
Ni wakati sasa wa Kuanza kumuelewa Job ndugu I, Miradi yote mikubwa yenye kichwa cha expression of interest na blah blah za kafulila za PPP..... ogopa sana ... nyuma yake kuna wahuni wanasukuma KETE vizuri sana huku wanakula tende na halua pembeni kuna kahawa nyeusi.
Tumepoteza Jembe ndani ya Serikali anaeweza kuchukizwa na UDHALIM NA UFISADI.......Dr Mpango (67). Bila ya Lissu nchi itazidi kuoza
Dr.Megalodon Mushy,PhD candidate
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa
Canada
NeverWill you ?
Wananchi wangekuwa supportive hapo sawa. Ila kwa jinsi tulivyo keyboard warriors, bora wajinyamazie tu.Kwann Huwa wanakaa kimya na kujiuzuli, Kisha wanaendelea kukaa kimya.
Kama jambo halistahili Kwa MANUFAA ya Nchi, kwann Huwa hawatoki na kulipinga waziwazi?.
Kwa taarifa zisizo RASMI( unpublished data) ni kwamba Dr Mpango amekuwa haridhishwi na namna nchi inavyopelekwa kwa sasa hasa kwenye uwekezaji wa resources .
Kwa mfano, uwekezaji wa DP world Tangu ile Safari ya Dubai, Dr Mpango alikuwa against na process nzima, resources za nchi zinaenda kuamuliwa kwenye expensive hotels na restaurants kwa watu ambao hawakuwa na good reputation. Hata kipindi cha mjadala, Dr Mpango hakuwahi hata siku moja kucomment anything about DP world maana alijua ni . HASARA nyingine kwa taifa. DP world ni another SCAM , wake up !!!!!!
Aidha, Ishu ya Adani group inayopigiwa debe na kafulila kwa sasa, nyuma ya huyo Muhindi kuna Big Dogs tayari wapo set up.. mchakato mzima Mpango anaujua na una interest za nani ... na wala sio interest za nchi…. Dili la Adani tayari lina pre contract kama ilivyokuwa DP world haya mambo yote ni chukizo kwa Dr kwakuwa zinalenga kunufaisha wachache na sio Watanzania
The Royal Tour ni another SCAM na matumizi mabaya ya fedha za Umma unnecessary, return ya Royal tour was worthless against expenditure , matumizi ya namna hii Mpango amekuwa kinyume nayo na mara nyingi amekuwa kama ameisusia kwenye ukimya wake …he is not satisfied hivyo amekataa kuwa sehemu ya udhalimu wa mali za Umma…….. Ikumbukwe Jamaa alikuwa Waziri wa Fedha enzi ya JPM .... anajua vema pato la taifa.
Kuna huyo anaitwa Katibu Binafsi wa Rais , anapiga pesa za nchi vibaya sana ….. Huyu ndio Msiri wa Boss na Mipango mingi… pia, skendo za Abdul na Ufisadi ni sure thing ....MSIKILIZENI LISSU VEMA. Abdul sio mtumishi wa Umma lakini anamaamuzi kwenye nchi...Dr anakaa kando kwa kuchukia kwa kuwa hawezi kufanya lolote.
Ufisadi UMERUDI kwa kasi…..
Ni wakati sasa wa Kuanza kumuelewa Job ndugu I, Miradi yote mikubwa yenye kichwa cha expression of interest na blah blah za kafulila za PPP..... ogopa sana ... nyuma yake kuna wahuni wanasukuma KETE vizuri sana huku wanakula tende na halua pembeni kuna kahawa nyeusi.
Tumepoteza Jembe ndani ya Serikali anaeweza kuchukizwa na UDHALIM NA UFISADI.......Dr Mpango (67). Bila ya Lissu nchi itazidi kuoza
Dr.Megalodon Mushy,PhD candidate
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa
Canada
DP world kawekeza Nini?Kwa taarifa zisizo RASMI( unpublished data) ni kwamba Dr Mpango amekuwa haridhishwi na namna nchi inavyopelekwa kwa sasa hasa kwenye uwekezaji wa resources .
Kwa mfano, uwekezaji wa DP world Tangu ile Safari ya Dubai, Dr Mpango alikuwa against na process nzima, resources za nchi zinaenda kuamuliwa kwenye expensive hotels na restaurants kwa watu ambao hawakuwa na good reputation. Hata kipindi cha mjadala, Dr Mpango hakuwahi hata siku moja kucomment anything about DP world maana alijua ni . HASARA nyingine kwa taifa. DP world ni another SCAM , wake up !!!!!!
Aidha, Ishu ya Adani group inayopigiwa debe na kafulila kwa sasa, nyuma ya huyo Muhindi kuna Big Dogs tayari wapo set up.. mchakato mzima Mpango anaujua na una interest za nani ... na wala sio interest za nchi…. Dili la Adani tayari lina pre contract kama ilivyokuwa DP world haya mambo yote ni chukizo kwa Dr kwakuwa zinalenga kunufaisha wachache na sio Watanzania
The Royal Tour ni another SCAM na matumizi mabaya ya fedha za Umma unnecessary, return ya Royal tour was worthless against expenditure , matumizi ya namna hii Mpango amekuwa kinyume nayo na mara nyingi amekuwa kama ameisusia kwenye ukimya wake …he is not satisfied hivyo amekataa kuwa sehemu ya udhalimu wa mali za Umma…….. Ikumbukwe Jamaa alikuwa Waziri wa Fedha enzi ya JPM .... anajua vema pato la taifa.
Kuna huyo anaitwa Katibu Binafsi wa Rais , anapiga pesa za nchi vibaya sana ….. Huyu ndio Msiri wa Boss na Mipango mingi… pia, skendo za Abdul na Ufisadi ni sure thing ....MSIKILIZENI LISSU VEMA. Abdul sio mtumishi wa Umma lakini anamaamuzi kwenye nchi...Dr anakaa kando kwa kuchukia kwa kuwa hawezi kufanya lolote.
Ufisadi UMERUDI kwa kasi…..
Ni wakati sasa wa Kuanza kumuelewa Job ndugu I, Miradi yote mikubwa yenye kichwa cha expression of interest na blah blah za kafulila za PPP..... ogopa sana ... nyuma yake kuna wahuni wanasukuma KETE vizuri sana huku wanakula tende na halua pembeni kuna kahawa nyeusi.
Tumepoteza Jembe ndani ya Serikali anaeweza kuchukizwa na UDHALIM NA UFISADI.......Dr Mpango (67). Bila ya Lissu nchi itazidi kuoza
Dr.Megalodon Mushy,PhD candidate
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa
Canada
Matusi ya nini sasa? Kutukana ndio kutangaza ujinga wako… kuwa na nidhamu Tafadhari…Shule ulienda kusomea ujinga? Hamna mtu mwenye neno lake, tabularasa mmoja wewe
Shauri yako chawaNimesoma kooote ila ulivyomalizia na bila Lissu nchi itazidi kuoza umenitoa kwenye reli kabisa!
Na lami ilifikishwa haraka alipokwaa umakamo. Maji ya bomba yakafuata.Nilikuwa naenda shambani hukoo Masaki ya Kisarawe,nikaona lami imeishia sehemu flan insignia kwenye eneo flan kama ofisi japo upeo wa macho haukuona,nilipouliza hapa ni ofisi za nini au chuo?mwenyeji wangu akajibu ni nyumbani kwa mzalendo Mpango...wasalimie Canada mleta uzi nyumbani kumenoga
Hata kipindi cha mjadala, Dr Mpango hakuwahi hata siku moja kucomment anything about DP world maana alijua ni . HASARA nyingine kwa taifa. DP world ni another SCAM , wake up !!!!!!Kwa taarifa zisizo RASMI( unpublished data) ni kwamba Dr Mpango amekuwa haridhishwi na namna nchi inavyopelekwa kwa sasa hasa kwenye uwekezaji wa resources .
Kwa mfano, uwekezaji wa DP world Tangu ile Safari ya Dubai, Dr Mpango alikuwa against na process nzima, resources za nchi zinaenda kuamuliwa kwenye expensive hotels na restaurants kwa watu ambao hawakuwa na good reputation. Hata kipindi cha mjadala, Dr Mpango hakuwahi hata siku moja kucomment anything about DP world maana alijua ni . HASARA nyingine kwa taifa. DP world ni another SCAM , wake up !!!!!!
Aidha, Ishu ya Adani group inayopigiwa debe na kafulila kwa sasa, nyuma ya huyo Muhindi kuna Big Dogs tayari wapo set up.. mchakato mzima Mpango anaujua na una interest za nani ... na wala sio interest za nchi…. Dili la Adani tayari lina pre contract kama ilivyokuwa DP world haya mambo yote ni chukizo kwa Dr kwakuwa zinalenga kunufaisha wachache na sio Watanzania
The Royal Tour ni another SCAM na matumizi mabaya ya fedha za Umma unnecessary, return ya Royal tour was worthless against expenditure , matumizi ya namna hii Mpango amekuwa kinyume nayo na mara nyingi amekuwa kama ameisusia kwenye ukimya wake …he is not satisfied hivyo amekataa kuwa sehemu ya udhalimu wa mali za Umma…….. Ikumbukwe Jamaa alikuwa Waziri wa Fedha enzi ya JPM .... anajua vema pato la taifa.
Kuna huyo anaitwa Katibu Binafsi wa Rais , anapiga pesa za nchi vibaya sana ….. Huyu ndio Msiri wa Boss na Mipango mingi… pia, skendo za Abdul na Ufisadi ni sure thing ....MSIKILIZENI LISSU VEMA. Abdul sio mtumishi wa Umma lakini anamaamuzi kwenye nchi...Dr anakaa kando kwa kuchukia kwa kuwa hawezi kufanya lolote.
Ufisadi UMERUDI kwa kasi…..
Ni wakati sasa wa Kuanza kumuelewa Job ndugu I, Miradi yote mikubwa yenye kichwa cha expression of interest na blah blah za kafulila za PPP..... ogopa sana ... nyuma yake kuna wahuni wanasukuma KETE vizuri sana huku wanakula tende na halua pembeni kuna kahawa nyeusi.
Tumepoteza Jembe ndani ya Serikali anaeweza kuchukizwa na UDHALIM NA UFISADI.......Dr Mpango (67). Bila ya Lissu nchi itazidi kuoza
Dr.Megalodon Mushy,PhD candidate
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa
Canada
Lissu ni Mropokaji! Period!Lazima tupate Mpinzani atakaefichua UOZO
Usimchukulie Poa LISSU
Kwa level aliyofikia akiongea kitu ni sawa na kunywa sumu. Anaugulia moyoni tu hawezi kwenda public vinginevyo Mafwele atapewa kandarasi.Kwann Huwa wanakaa kimya na kujiuzuli, Kisha wanaendelea kukaa kimya.
Kama jambo halistahili Kwa MANUFAA ya Nchi, kwann Huwa hawatoki na kulipinga waziwazi?.
Nilishasema kuwa huko CCM na serikalini kunatokota na bado kuna mazito yanakuja.miaka 67 ya Mpango linganisha na miaka 80 ya Wassira.
Huyo atakuwa hajaomba kupumzika bali kapumzishwa!
Kama hiviKabla ya kuongea,unganisha Mdomo na Ubongo wako mfinyu
Hahahaha anaweza kuanza kuvurugwa na system ilihali anahitaji matibabu muda wote unafikiri itakuwaje. Ni aheri kujiengua kwa amani akakae pembeni ajiuguze.Watu wanaogopa kupoteza haki zao uzeeni mzee.
Amesema anataka kuendelea kuishi,neno zito hilo.Kama hasemi kwa uwazi na yeye ni tatizo la ufisadi
CCM itapata pigo kubwa sana mwaka huu, pigo moja tu, pigo lililonyooka, pigo takatifu.Nmejiuliza, kwanini makosa Yale Yale ya kufanana ndio yanajirudia Toka Kwa Ma Rais hawa kupitia Machawa ?
Kosa kama lile la Wajumbe ( Chawa) kumtaka JPM aongoze milele, tena linajirudia kwa Rais Samia japo wanajua ni Kinyume cha Katiba yao
Kwa bahati mbaya sana, Ma Rais wote Hayati, na Sasa Rais Samia, Kwa pamoja na Kila Mmoja Kwa wakati wake anaonekana ni mwenye kulifurahiaaa. Kama ni Rais, una najiona Kwa kazi zangu nilizofanya ni za kutukuka, ningeacha Mchakato ufanyike. Mwenyekiti alitakiwa kua Mfano, alitakiwa kukemea...www.jamiiforums.com
Mzee aliondoshwa, si.kwa sababu ya Kupambana na Mafisadi, ni baada ya Mzee kuanza kufurahia Hoja ya kuongoza milele ili hali watu wengi Wana njozi pia zakuongoza.
Kosa lilelile Leo linarudiwa na anajaa kwenye Mfumo na kuwapa sababu ya kavunja Taratibu !!
Niliwah andika hivi
Pre GE2025 - Mwishooni kabisa mwa hizi sarakasi za Siasa CCM ya Mzee Kikwete, Kinana, Makamba, Nape itaibuka kidedea na washindi
Kwa yoyote alobarikiwa kua na Uwezo wa kukisia mambo Fulani Fulani ya nyakati zijazo. Kuna Makosa yalifanyika 2015-2020 , Ufalme akaanguka, Licha ya Ufalme kufanya mambo makubwa yaliyoonekana. Makosa yaleyale yanajirudia 2022-2025, safari hii yanajirudia kukiwa na mambo yanayopigiwa kelele...www.jamiiforums.com
Anatuhuma za DPW n.k, hizo ni ndogo, hili la ABDUL, uchanganye na hili la Leo.
Atakubali shoo.