Kuhusu Dkt. Mpango, Tumepoteza Mzalendo ndani ya Mfumo (System)

Kuhusu Dkt. Mpango, Tumepoteza Mzalendo ndani ya Mfumo (System)

Kwa taarifa zisizo RASMI( unpublished data) ni kwamba Dr Mpango amekuwa haridhishwi na namna nchi inavyopelekwa kwa sasa hasa kwenye uwekezaji wa resources .
Kwa mfano, uwekezaji wa DP world Tangu ile Safari ya Dubai, Dr Mpango alikuwa against na process nzima, resources za nchi zinaenda kuamuliwa kwenye expensive hotels na restaurants kwa watu ambao hawakuwa na good reputation. Hata kipindi cha mjadala, Dr Mpango hakuwahi hata siku moja kucomment anything about DP world maana alijua ni . HASARA nyingine kwa taifa. DP world ni another SCAM , wake up !!!!!!

Aidha, Ishu ya Adani group inayopigiwa debe na kafulila kwa sasa, nyuma ya huyo Muhindi kuna Big Dogs tayari wapo set up.. mchakato mzima Mpango anaujua na una interest za nani ... na wala sio interest za nchi…. Dili la Adani tayari lina pre contract kama ilivyokuwa DP world haya mambo yote ni chukizo kwa Dr kwakuwa zinalenga kunufaisha wachache na sio Watanzania

The Royal Tour ni another SCAM na matumizi mabaya ya fedha za Umma unnecessary, return ya Royal tour was worthless against expenditure , matumizi ya namna hii Mpango amekuwa kinyume nayo na mara nyingi amekuwa kama ameisusia kwenye ukimya wake …he is not satisfied hivyo amekataa kuwa sehemu ya udhalimu wa mali za Umma…….. Ikumbukwe Jamaa alikuwa Waziri wa Fedha enzi ya JPM .... anajua vema pato la taifa.

Kuna huyo anaitwa Katibu Binafsi wa Rais , anapiga pesa za nchi vibaya sana ….. Huyu ndio Msiri wa Boss na Mipango mingi… pia, skendo za Abdul na Ufisadi ni sure thing ....MSIKILIZENI LISSU VEMA. Abdul sio mtumishi wa Umma lakini anamaamuzi kwenye nchi...Dr anakaa kando kwa kuchukia kwa kuwa hawezi kufanya lolote.

Ufisadi UMERUDI kwa kasi…..

Ni wakati sasa wa Kuanza kumuelewa Job ndugu I, Miradi yote mikubwa yenye kichwa cha expression of interest na blah blah za kafulila za PPP..... ogopa sana ... nyuma yake kuna wahuni wanasukuma KETE vizuri sana huku wanakula tende na halua pembeni kuna kahawa nyeusi.

Tumepoteza Jembe ndani ya Serikali anaeweza kuchukizwa na UDHALIM NA UFISADI.......Dr Mpango (67). Bila ya Lissu nchi itazidi kuoza



Dr.Megalodon Mushy,PhD candidate
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa
Canada
Kajamaa kalimpiga kweli kweli. Hapo Bichura, hakuwa na namna.
 
Kwa taarifa zisizo RASMI( unpublished data) ni kwamba Dr Mpango amekuwa haridhishwi na namna nchi inavyopelekwa kwa sasa hasa kwenye uwekezaji wa resources .
Kwa mfano, uwekezaji wa DP world Tangu ile Safari ya Dubai, Dr Mpango alikuwa against na process nzima, resources za nchi zinaenda kuamuliwa kwenye expensive hotels na restaurants kwa watu ambao hawakuwa na good reputation. Hata kipindi cha mjadala, Dr Mpango hakuwahi hata siku moja kucomment anything about DP world maana alijua ni . HASARA nyingine kwa taifa. DP world ni another SCAM , wake up !!!!!!

Aidha, Ishu ya Adani group inayopigiwa debe na kafulila kwa sasa, nyuma ya huyo Muhindi kuna Big Dogs tayari wapo set up.. mchakato mzima Mpango anaujua na una interest za nani ... na wala sio interest za nchi…. Dili la Adani tayari lina pre contract kama ilivyokuwa DP world haya mambo yote ni chukizo kwa Dr kwakuwa zinalenga kunufaisha wachache na sio Watanzania

The Royal Tour ni another SCAM na matumizi mabaya ya fedha za Umma unnecessary, return ya Royal tour was worthless against expenditure , matumizi ya namna hii Mpango amekuwa kinyume nayo na mara nyingi amekuwa kama ameisusia kwenye ukimya wake …he is not satisfied hivyo amekataa kuwa sehemu ya udhalimu wa mali za Umma…….. Ikumbukwe Jamaa alikuwa Waziri wa Fedha enzi ya JPM .... anajua vema pato la taifa.

Kuna huyo anaitwa Katibu Binafsi wa Rais , anapiga pesa za nchi vibaya sana ….. Huyu ndio Msiri wa Boss na Mipango mingi… pia, skendo za Abdul na Ufisadi ni sure thing ....MSIKILIZENI LISSU VEMA. Abdul sio mtumishi wa Umma lakini anamaamuzi kwenye nchi...Dr anakaa kando kwa kuchukia kwa kuwa hawezi kufanya lolote.

Ufisadi UMERUDI kwa kasi…..

Ni wakati sasa wa Kuanza kumuelewa Job ndugu I, Miradi yote mikubwa yenye kichwa cha expression of interest na blah blah za kafulila za PPP..... ogopa sana ... nyuma yake kuna wahuni wanasukuma KETE vizuri sana huku wanakula tende na halua pembeni kuna kahawa nyeusi.

Tumepoteza Jembe ndani ya Serikali anaeweza kuchukizwa na UDHALIM NA UFISADI.......Dr Mpango (67). Bila ya Lissu nchi itazidi kuoza



Dr.Megalodon Mushy,PhD candidate
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa
Canada

sasa je, huyo Mpango hana la kufanya?!!!?
 
Kwa taarifa zisizo RASMI( unpublished data) ni kwamba Dr Mpango amekuwa haridhishwi na namna nchi inavyopelekwa kwa sasa hasa kwenye uwekezaji wa resources .
Kwa mfano, uwekezaji wa DP world Tangu ile Safari ya Dubai, Dr Mpango alikuwa against na process nzima, resources za nchi zinaenda kuamuliwa kwenye expensive hotels na restaurants kwa watu ambao hawakuwa na good reputation. Hata kipindi cha mjadala, Dr Mpango hakuwahi hata siku moja kucomment anything about DP world maana alijua ni . HASARA nyingine kwa taifa. DP world ni another SCAM , wake up !!!!!!

Aidha, Ishu ya Adani group inayopigiwa debe na kafulila kwa sasa, nyuma ya huyo Muhindi kuna Big Dogs tayari wapo set up.. mchakato mzima Mpango anaujua na una interest za nani ... na wala sio interest za nchi…. Dili la Adani tayari lina pre contract kama ilivyokuwa DP world haya mambo yote ni chukizo kwa Dr kwakuwa zinalenga kunufaisha wachache na sio Watanzania

The Royal Tour ni another SCAM na matumizi mabaya ya fedha za Umma unnecessary, return ya Royal tour was worthless against expenditure , matumizi ya namna hii Mpango amekuwa kinyume nayo na mara nyingi amekuwa kama ameisusia kwenye ukimya wake …he is not satisfied hivyo amekataa kuwa sehemu ya udhalimu wa mali za Umma…….. Ikumbukwe Jamaa alikuwa Waziri wa Fedha enzi ya JPM .... anajua vema pato la taifa.

Kuna huyo anaitwa Katibu Binafsi wa Rais , anapiga pesa za nchi vibaya sana ….. Huyu ndio Msiri wa Boss na Mipango mingi… pia, skendo za Abdul na Ufisadi ni sure thing ....MSIKILIZENI LISSU VEMA. Abdul sio mtumishi wa Umma lakini anamaamuzi kwenye nchi...Dr anakaa kando kwa kuchukia kwa kuwa hawezi kufanya lolote.

Ufisadi UMERUDI kwa kasi…..

Ni wakati sasa wa Kuanza kumuelewa Job ndugu I, Miradi yote mikubwa yenye kichwa cha expression of interest na blah blah za kafulila za PPP..... ogopa sana ... nyuma yake kuna wahuni wanasukuma KETE vizuri sana huku wanakula tende na halua pembeni kuna kahawa nyeusi.

Tumepoteza Jembe ndani ya Serikali anaeweza kuchukizwa na UDHALIM NA UFISADI.......Dr Mpango (67). Bila ya Lissu nchi itazidi kuoza



Dr.Megalodon Mushy,PhD candidate
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa
Canada
DP world kawekeza Nini?
 
Nilikuwa naenda shambani hukoo Masaki ya Kisarawe,nikaona lami imeishia sehemu flan insignia kwenye eneo flan kama ofisi japo upeo wa macho haukuona,nilipouliza hapa ni ofisi za nini au chuo?mwenyeji wangu akajibu ni nyumbani kwa mzalendo Mpango...wasalimie Canada mleta uzi nyumbani kumenoga
Na lami ilifikishwa haraka alipokwaa umakamo. Maji ya bomba yakafuata.
 
Kwa taarifa zisizo RASMI( unpublished data) ni kwamba Dr Mpango amekuwa haridhishwi na namna nchi inavyopelekwa kwa sasa hasa kwenye uwekezaji wa resources .
Kwa mfano, uwekezaji wa DP world Tangu ile Safari ya Dubai, Dr Mpango alikuwa against na process nzima, resources za nchi zinaenda kuamuliwa kwenye expensive hotels na restaurants kwa watu ambao hawakuwa na good reputation. Hata kipindi cha mjadala, Dr Mpango hakuwahi hata siku moja kucomment anything about DP world maana alijua ni . HASARA nyingine kwa taifa. DP world ni another SCAM , wake up !!!!!!

Aidha, Ishu ya Adani group inayopigiwa debe na kafulila kwa sasa, nyuma ya huyo Muhindi kuna Big Dogs tayari wapo set up.. mchakato mzima Mpango anaujua na una interest za nani ... na wala sio interest za nchi…. Dili la Adani tayari lina pre contract kama ilivyokuwa DP world haya mambo yote ni chukizo kwa Dr kwakuwa zinalenga kunufaisha wachache na sio Watanzania

The Royal Tour ni another SCAM na matumizi mabaya ya fedha za Umma unnecessary, return ya Royal tour was worthless against expenditure , matumizi ya namna hii Mpango amekuwa kinyume nayo na mara nyingi amekuwa kama ameisusia kwenye ukimya wake …he is not satisfied hivyo amekataa kuwa sehemu ya udhalimu wa mali za Umma…….. Ikumbukwe Jamaa alikuwa Waziri wa Fedha enzi ya JPM .... anajua vema pato la taifa.

Kuna huyo anaitwa Katibu Binafsi wa Rais , anapiga pesa za nchi vibaya sana ….. Huyu ndio Msiri wa Boss na Mipango mingi… pia, skendo za Abdul na Ufisadi ni sure thing ....MSIKILIZENI LISSU VEMA. Abdul sio mtumishi wa Umma lakini anamaamuzi kwenye nchi...Dr anakaa kando kwa kuchukia kwa kuwa hawezi kufanya lolote.

Ufisadi UMERUDI kwa kasi…..

Ni wakati sasa wa Kuanza kumuelewa Job ndugu I, Miradi yote mikubwa yenye kichwa cha expression of interest na blah blah za kafulila za PPP..... ogopa sana ... nyuma yake kuna wahuni wanasukuma KETE vizuri sana huku wanakula tende na halua pembeni kuna kahawa nyeusi.

Tumepoteza Jembe ndani ya Serikali anaeweza kuchukizwa na UDHALIM NA UFISADI.......Dr Mpango (67). Bila ya Lissu nchi itazidi kuoza



Dr.Megalodon Mushy,PhD candidate
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa
Canada
Hata kipindi cha mjadala, Dr Mpango hakuwahi hata siku moja kucomment anything about DP world maana alijua ni . HASARA nyingine kwa taifa. DP world ni another SCAM , wake up !!!!!!
 

Attachments

  • 20230630_184030.jpg
    20230630_184030.jpg
    49.6 KB · Views: 1
Nmejiuliza, kwanini makosa Yale Yale ya kufanana ndio yanajirudia Toka Kwa Ma Rais hawa kupitia Machawa ?

Mzee aliondoshwa, si.kwa sababu ya Kupambana na Mafisadi, ni baada ya Mzee kuanza kufurahia Hoja ya kuongoza milele ili hali watu wengi Wana njozi pia zakuongoza.

Kosa lilelile Leo linarudiwa na anajaa kwenye Mfumo na kuwapa sababu ya kavunja Taratibu !!

Niliwah andika hivi

Anatuhuma za DPW n.k, hizo ni ndogo, hili la ABDUL, uchanganye na hili la Leo.

Atakubali shoo.
CCM itapata pigo kubwa sana mwaka huu, pigo moja tu, pigo lililonyooka, pigo takatifu.
 
Back
Top Bottom