Kuhusu ile ndoa ya yule jamaa niliyoiharibu,mambo yamezidi kunikalia kooni.

Kuhusu ile ndoa ya yule jamaa niliyoiharibu,mambo yamezidi kunikalia kooni.

kyanyangwe

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2018
Posts
1,275
Reaction score
3,316
Wakuu habari za asubuhi?
Hivi karibuni nilishare huu uzi hapa.
So kilipita kipindi flani cha mpito jamaa akawa anaendelea kunitafuta huku ananipa mikwara mingi sana mara ataniua na blah blah zingine nyingi.baadae akaja akaacha mwenyewe kunitafuta,ila juzi siku kadhaa kabla ya Christmas jamaa akanitumia clip flani walikua kwenye kikao cha usuhulishi,mwanamke analia anaomba msamaha,anakiri mimi ndiye nilimshawishi kuingia kwenye hayo mahusiano, na anakiri tushakulana zaidi ya mara hata 10.lengo la kunitumia hiyo clip ni mimi nilikua nambishia kuwa sijawahi kumla mkewe,she was just a good friend of mine.jamaa ndo akaamua kuniambia fala mwenzako keshakuchoma kama hujui kaka.
So jana nikiwa sina hili wala lile nikaona number mpya inanipigia kupokea nikasikia sauti ya kike inalia nikagundua ni mke wa yule jamaa,akaniambia asee mambo yamekua magumu jamaa kakataa suluhu ya aina yoyote na amefile kesi ya talaka mahakamani kwa kifupi hamtaki tena.
Ananiambia mimi ndiye wa kumsitiri ktk kipindi hiki kigumu,nilivyomsoma ni kama anataka sijui nimuoe au aendelee kuwa mchepuko sielewi.
Ila pia nikahisi ni tego labda wananichezea mchezo waniweke mtu kati wanidhuru.
Me nimemjibu tu nitakucheck baadae tuongee vizuri.
Sasa usiku wa jana jamaa nae kanitumia ujumbe mreefu lkn point ni kuwa anasema nimemharibia maisha yake kwa kuiharibu familia yake.anasisitiza huyo mwanamke kaniachia nihakikishe namuoa nisimuache atangetange.
So wakuu huu msala nausolve vipi hapa?
NB:naomba michango positive tu, utoto siuhitaji kwenye huu uzi please.
 
Duh hii mambo ya kuchiana Kwa sababu Demu anagawa uroda imekuwa nyingi..Kuna jamaa wameacha na Demu wake mahakani wanamenga gorofaa wanapaswa kugawana watoto wapo Kwa baba mama amepewa week ends tu kuwa na watoto...kwakuwa mama ni mdangaji Hana Muda na watoto...Demu ni boss taasisi nyeti hapa mjini
 
Mhm
Huu mkasa naufananisha na mkasa flani nimeusikia juzi nikiwa saloon maeneo ya tabata.
Kuna bi dada jina A na mumewe jina G au J kama sijakosea.bi dada kaolewa kumbe bado kuna sijui ex wa utotoni huko anachapa kimya kimya muda mrefu tu,bi dada kakolea kwa ex kasahau kama ana mume.ndio mume kufuatilia kimya kimya kakamata mawasliano yao.
 
Wakuu habari za asubuhi?
Hivi karibuni nilishare huu uzi hapa.
So kilipita kipindi flani cha mpito jamaa akawa anaendelea kunitafuta huku ananipa mikwara mingi sana mara ataniua na blah blah zingine nyingi.baadae akaja akaacha mwenyewe kunitafuta,ila juzi siku kadhaa kabla ya Christmas jamaa akanitumia clip flani walikua kwenye kikao cha usuhulishi,mwanamke analia anaomba msamaha,anakiri mimi ndiye nilimshawishi kuingia kwenye hayo mahusiano, na anakiri tushakulana zaidi ya mara hata 10.lengo la kunitumia hiyo clip ni mimi nilikua nambishia kuwa sijawahi kumla mkewe,she was just a good friend of mine.jamaa ndo akaamua kuniambia fala mwenzako keshakuchoma kama hujui kaka.
So jana nikiwa sina hili wala lile nikaona number mpya inanipigia kupokea nikasikia sauti ya kike inalia nikagundua ni mke wa yule jamaa,akaniambia asee mambo yamekua magumu jamaa kakataa suluhu ya aina yoyote na amefile kesi ya talaka mahakamani kwa kifupi hamtaki tena.
Ananiambia mimi ndiye wa kumsitiri ktk kipindi hiki kigumu,nilivyomsoma ni kama anataka sijui nimuoe au aendelee kuwa mchepuko sielewi.
Ila pia nikahisi ni tego labda wananichezea mchezo waniweke mtu kati wanidhuru.
Me nimemjibu tu nitakucheck baadae tuongee vizuri.
Sasa usiku wa jana jamaa nae kanitumia ujumbe mreefu lkn point ni kuwa anasema nimemharibia maisha yake kwa kuiharibu familia yake.anasisitiza huyo mwanamke kaniachia nihakikishe namuoa nisimuache atangetange.
So wakuu huu msala nausolve vipi hapa?
NB:naomba michango positive tu, utoto siuhitaji kwenye huu uzi please.
Upendo hauonekani kwenye raha. Huthibitika wakati w shida.

Huu ndio wakati unatakiwa kumfanyia huyo mwanamke yale uliyokuwa ukimuahidi na ahadi kedekede za upendo. Wakati ni sasa.
 
Mwanaume hata siku moja, usiishi na mwanamke aliyewahi kucheat, na wewe ukajua, Achana nae, hatokufa, na hamna mtu kukulazimisha mpenzi wakua nae, mapenzi hujengwa, hayaqi tu ghafla. Huyo mkatie moto.
 
Wakuu habari za asubuhi?
Hivi karibuni nilishare huu uzi hapa.
So kilipita kipindi flani cha mpito jamaa akawa anaendelea kunitafuta huku ananipa mikwara mingi sana mara ataniua na blah blah zingine nyingi.baadae akaja akaacha mwenyewe kunitafuta,ila juzi siku kadhaa kabla ya Christmas jamaa akanitumia clip flani walikua kwenye kikao cha usuhulishi,mwanamke analia anaomba msamaha,anakiri mimi ndiye nilimshawishi kuingia kwenye hayo mahusiano, na anakiri tushakulana zaidi ya mara hata 10.lengo la kunitumia hiyo clip ni mimi nilikua nambishia kuwa sijawahi kumla mkewe,she was just a good friend of mine.jamaa ndo akaamua kuniambia fala mwenzako keshakuchoma kama hujui kaka.
So jana nikiwa sina hili wala lile nikaona number mpya inanipigia kupokea nikasikia sauti ya kike inalia nikagundua ni mke wa yule jamaa,akaniambia asee mambo yamekua magumu jamaa kakataa suluhu ya aina yoyote na amefile kesi ya talaka mahakamani kwa kifupi hamtaki tena.
Ananiambia mimi ndiye wa kumsitiri ktk kipindi hiki kigumu,nilivyomsoma ni kama anataka sijui nimuoe au aendelee kuwa mchepuko sielewi.
Ila pia nikahisi ni tego labda wananichezea mchezo waniweke mtu kati wanidhuru.
Me nimemjibu tu nitakucheck baadae tuongee vizuri.
Sasa usiku wa jana jamaa nae kanitumia ujumbe mreefu lkn point ni kuwa anasema nimemharibia maisha yake kwa kuiharibu familia yake.anasisitiza huyo mwanamke kaniachia nihakikishe namuoa nisimuache atangetange.
So wakuu huu msala nausolve vipi hapa?
NB:naomba michango positive tu, utoto siuhitaji kwenye huu uzi please.
Huyu jamaa anakuchelewesha sana, sijui hajapata ushauri mzuri wa wahuni wa mjini.
 
Huyu kaka Bado anampenda Mkewe sema ana ushamba mwingi. Mwambie huyo dada hatakuwa wa kwanza.

Kikubwa apewe mtaji atoke hapo akaanze maisha mengine. Anajiliza nini sasa.

Na wewe mwambie huyo kaka Asante kwa kuniachia. Halafu acha kunifatilia.
😛😛😛
 
Huyu kaka Bado anampenda Mkewe sema ana ushamba mwingi. Mwambie huyo dada hatakuwa wa kwanza.

Kikubwa apewe mtaji atoke hapo akaanze maisha mengine. Anajiliza nini sasa.

Na wewe mwambie huyo kaka Asante kwa kuniachia. Halafu acha kunifatilia.
😛😛😛
Yani utombe mke wa mtu afu uwe na jeuri ya kumjibu hivyo mumewe?
 
Jamani X wangu amefariki ana week sasa ndo nimejua jana baada ya kuona mtu wake wa karibu kapost daah nimeumia sijui kwann
 
Wakuu habari za asubuhi?
Hivi karibuni nilishare huu uzi hapa.
So kilipita kipindi flani cha mpito jamaa akawa anaendelea kunitafuta huku ananipa mikwara mingi sana mara ataniua na blah blah zingine nyingi.baadae akaja akaacha mwenyewe kunitafuta,ila juzi siku kadhaa kabla ya Christmas jamaa akanitumia clip flani walikua kwenye kikao cha usuhulishi,mwanamke analia anaomba msamaha,anakiri mimi ndiye nilimshawishi kuingia kwenye hayo mahusiano, na anakiri tushakulana zaidi ya mara hata 10.lengo la kunitumia hiyo clip ni mimi nilikua nambishia kuwa sijawahi kumla mkewe,she was just a good friend of mine.jamaa ndo akaamua kuniambia fala mwenzako keshakuchoma kama hujui kaka.
So jana nikiwa sina hili wala lile nikaona number mpya inanipigia kupokea nikasikia sauti ya kike inalia nikagundua ni mke wa yule jamaa,akaniambia asee mambo yamekua magumu jamaa kakataa suluhu ya aina yoyote na amefile kesi ya talaka mahakamani kwa kifupi hamtaki tena.
Ananiambia mimi ndiye wa kumsitiri ktk kipindi hiki kigumu,nilivyomsoma ni kama anataka sijui nimuoe au aendelee kuwa mchepuko sielewi.
Ila pia nikahisi ni tego labda wananichezea mchezo waniweke mtu kati wanidhuru.
Me nimemjibu tu nitakucheck baadae tuongee vizuri.
Sasa usiku wa jana jamaa nae kanitumia ujumbe mreefu lkn point ni kuwa anasema nimemharibia maisha yake kwa kuiharibu familia yake.anasisitiza huyo mwanamke kaniachia nihakikishe namuoa nisimuache atangetange.
So wakuu huu msala nausolve vipi hapa?
NB:naomba michango positive tu, utoto siuhitaji kwenye huu uzi please.
Gily Gru
 
Back
Top Bottom