Kuhusu ile ndoa ya yule jamaa niliyoiharibu,mambo yamezidi kunikalia kooni.

Kuhusu ile ndoa ya yule jamaa niliyoiharibu,mambo yamezidi kunikalia kooni.

Mhm
Huu mkasa naufananisha na mkasa flani nimeusikia juzi nikiwa saloon maeneo ya tabata.
Kuna bi dada jina A na mumewe jina G au J kama sijakosea.bi dada kaolewa kumbe bado kuna sijui ex wa utotoni huko anachapa kimya kimya muda mrefu tu,bi dada kakolea kwa ex kasahau kama ana mume.ndio mume kufuatilia kimya kimya kakamata mawasliano yao.
Eeeh
 
Kwa kweli nyakati hizi moja ya mambo ya hatari yanayoweza kukuharibia maisha yako ni kuoa au kuolewa......

Unaweza mwenyewe ukawa umejituliza zako mambo yako yanakuwendea vizuri...ukaona ngoja nimtafute mwenza ili niukamilishe ubinadamu....laahaula.....unajiletea majanga naajuto maishani mwako.......

Nawafahamu mabinti na vijana wengi wa kiume wakiharibikiwa maisha yao baada ya kufanya maamuzi hayo...na wachache sana wanaoishi kwa furaha baada ya kufanya maamuzi hayo.......

Hali si shwari kwani moyo wa mtu ni kiza kinene na watu hubadilika muda wowote usioutegemea.......

Inaniwia vigumu sana kuwashauri vijana kuoa kwani ni jambo jema lakini linaweza kumuweka kijana kwenye wakati mgumu kwenye maisha yake......
 
Na huyo jamaa usiombe akutane na mimi, ntamuuzia PANGA LILILONOLEWA TAYARI, kwa bei cheee kabisa!...
 
achana tuu na mke wa mtu nikitongozaga mwanamke akisema "I have a boyfriend "
na ng'oa nanga sababu ni moja sitaki kuwa sababu ya mwanaume mwenzangu kukosa furaha iyo ni (MANHOOD)

Jamaa kakuachia tunza chombo kivutie kama kilivyokuwa kinakuvutia. Kuna yule mzee wa kichaga yeye aliwakuta ugoni kabisa akaongoza na sala ya kukemea ilo shetani alafu akamwachia kijana mama aitunze.
 
Beba huo msalaba ni wakwako umeyataka mwenyewe usitake huruma yetu mke umepata pa

Mnaosema et kuoa bikra Kwan hao bikra wanakaa nazo milele kwenye ndoa haziguswi eeh Tena wakishaelewa ndo wanatafuta kujaribu kwengine
 
Wakuu habari za asubuhi?
Hivi karibuni nilishare huu uzi hapa.
So kilipita kipindi flani cha mpito jamaa akawa anaendelea kunitafuta huku ananipa mikwara mingi sana mara ataniua na blah blah zingine nyingi.baadae akaja akaacha mwenyewe kunitafuta,ila juzi siku kadhaa kabla ya Christmas jamaa akanitumia clip flani walikua kwenye kikao cha usuhulishi,mwanamke analia anaomba msamaha,anakiri mimi ndiye nilimshawishi kuingia kwenye hayo mahusiano, na anakiri tushakulana zaidi ya mara hata 10.lengo la kunitumia hiyo clip ni mimi nilikua nambishia kuwa sijawahi kumla mkewe,she was just a good friend of mine.jamaa ndo akaamua kuniambia fala mwenzako keshakuchoma kama hujui kaka.
So jana nikiwa sina hili wala lile nikaona number mpya inanipigia kupokea nikasikia sauti ya kike inalia nikagundua ni mke wa yule jamaa,akaniambia asee mambo yamekua magumu jamaa kakataa suluhu ya aina yoyote na amefile kesi ya talaka mahakamani kwa kifupi hamtaki tena.
Ananiambia mimi ndiye wa kumsitiri ktk kipindi hiki kigumu,nilivyomsoma ni kama anataka sijui nimuoe au aendelee kuwa mchepuko sielewi.
Ila pia nikahisi ni tego labda wananichezea mchezo waniweke mtu kati wanidhuru.
Me nimemjibu tu nitakucheck baadae tuongee vizuri.
Sasa usiku wa jana jamaa nae kanitumia ujumbe mreefu lkn point ni kuwa anasema nimemharibia maisha yake kwa kuiharibu familia yake.anasisitiza huyo mwanamke kaniachia nihakikishe namuoa nisimuache atangetange.
So wakuu huu msala nausolve vipi hapa?
NB:naomba michango positive tu, utoto siuhitaji kwenye huu uzi please.
"Kama una mke mpeleke kwa jamaa nayeye ameshakuachia wakwake kwa hio ngoma droo labda atakusamehe.?
 
Huyo jamaa sasa anapofika uwezekano upo akaja kujidhuru au kukudhuru.

Tafuta namna asiweze kukupata kwa njia yoyote iwe simu au barua.

Mshauri na huyo mwanamke wako aachane na kuomba msamaha kwanza, atoe nafasi kwa muda kutibu majeraha.
 
“Mzigo mzito mpe Mnyamwezi”
Weka namba za Manzi hapa nikupokee mzigo
 
Wakuu habari za asubuhi?
Hivi karibuni nilishare huu uzi hapa.
So kilipita kipindi flani cha mpito jamaa akawa anaendelea kunitafuta huku ananipa mikwara mingi sana mara ataniua na blah blah zingine nyingi.baadae akaja akaacha mwenyewe kunitafuta,ila juzi siku kadhaa kabla ya Christmas jamaa akanitumia clip flani walikua kwenye kikao cha usuhulishi,mwanamke analia anaomba msamaha,anakiri mimi ndiye nilimshawishi kuingia kwenye hayo mahusiano, na anakiri tushakulana zaidi ya mara hata 10.lengo la kunitumia hiyo clip ni mimi nilikua nambishia kuwa sijawahi kumla mkewe,she was just a good friend of mine.jamaa ndo akaamua kuniambia fala mwenzako keshakuchoma kama hujui kaka.
So jana nikiwa sina hili wala lile nikaona number mpya inanipigia kupokea nikasikia sauti ya kike inalia nikagundua ni mke wa yule jamaa,akaniambia asee mambo yamekua magumu jamaa kakataa suluhu ya aina yoyote na amefile kesi ya talaka mahakamani kwa kifupi hamtaki tena.
Ananiambia mimi ndiye wa kumsitiri ktk kipindi hiki kigumu,nilivyomsoma ni kama anataka sijui nimuoe au aendelee kuwa mchepuko sielewi.
Ila pia nikahisi ni tego labda wananichezea mchezo waniweke mtu kati wanidhuru.
Me nimemjibu tu nitakucheck baadae tuongee vizuri.
Sasa usiku wa jana jamaa nae kanitumia ujumbe mreefu lkn point ni kuwa anasema nimemharibia maisha yake kwa kuiharibu familia yake.anasisitiza huyo mwanamke kaniachia nihakikishe namuoa nisimuache atangetange.
So wakuu huu msala nausolve vipi hapa?
NB:naomba michango positive tu, utoto siuhitaji kwenye huu uzi please.
Ni simple mwambie huyo mwanamke kuwa mlikosea na sasa hutaki tena uhusiano nae na mblock namba zake zote
 
Napata wakati mgumu kukushauri kulingana na kisa chako.... kwani malengo yako yalikuwa yapi wakati unakula mke wa mtu???? Pili; jamaa anapata wapi mda wa kukutisha na kutafuta suluhu kwa mwanamke aliyemsaliti??? Ni wazi jamaa ni dhaifu na hawezi kukufanya chochote na zaidi ya apo pia hawezi kumwacha huyo mwanamke! Kingine huyo mwanamke si mtu na hana msimamo hivyo uamuzi ni wako ktk huu msala!!!
 
Back
Top Bottom