Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Simba Vs Namungo, hivi kuna msanii gani atatumbuiza
Kama pale mtaa wakijani mmekwama ni jukumu lenu, kujikwamua sasa, unakuja hapa tukusaidieje.?Kwa hali inavyoenda katiba mpya hatuwezi kuipata kirahisi labda tukomae kama wakenya walivyokomaa.
Tujikite kujenga ofisi ya makao makuu.
Tunazo rasilimali nyingi na michango ya kidigital imemiminika. Aibu sana kuwa kwenye ofisi kama hii tuliyonayo.
Ndio maana na mshauri aifuate akili aliyoisahau pale getini, mtaa wa kijaniTatizo unadhani katiba mpya ni kwa maslahi ya Upinzani.
Katiba mpya ni kwa maslahi yetu sote. Sasa hivi kuipata ngumu, tujenge ofisi kwanza.Tatizo unadhani katiba mpya ni kwa maslahi ya Upinzani.
KATIBA MPYA ITADAIWA MPAKA IPATIKANE NA OFISI ZITAJENGWA SAMBAMBA au na Wewe Wesha kutoa UBONGOKwa hali inavyoenda katiba mpya hatuwezi kuipata kirahisi labda tukomae kama wakenya walivyokomaa.
Tujikite kujenga ofisi ya makao makuu.
Tunazo rasilimali nyingi na michango ya kidigital imemiminika. Aibu sana kuwa kwenye ofisi kama hii tuliyonayo.
Katiba mpya INAKUJA hakuna wa kuzuia, ilisha kuaKwa hali inavyoenda katiba mpya hatuwezi kuipata kirahisi labda tukomae kama wakenya walivyokomaa.
Tujikite kujenga ofisi ya makao makuu.
Tunazo rasilimali nyingi na michango ya kidigital imemiminika. Aibu sana kuwa kwenye ofisi kama hii tuliyonayo.
Katiba Mpya ipi? Katiba si ilishapatikana tunasubiri tu kupiga kura.Kwa hali inavyoenda katiba mpya hatuwezi kuipata kirahisi labda tukomae kama wakenya walivyokomaa.
Tujikite kujenga ofisi ya makao makuu.
Tunazo rasilimali nyingi na michango ya kidigital imemiminika. Aibu sana kuwa kwenye ofisi kama hii tuliyonayo.
Kwani hao wanaosaka katiba mpya wanashirikiana na nani ?Tatizo unadhani katiba mpya ni kwa maslahi ya Upinzani.
We kenge unauliza nini?Unaitaka katiba mpya?
Wewe mataga huu mziki haukuhusu.Kwa hali inavyoenda katiba mpya hatuwezi kuipata kirahisi labda tukomae kama wakenya walivyokomaa.
Tujikite kujenga ofisi ya makao makuu.
Tunazo rasilimali nyingi na michango ya kidigital imemiminika. Aibu sana kuwa kwenye ofisi kama hii tuliyonayo.
Wewe taga wacha matusi,mambo ya upinzani tuachie wenyeweWe kenge unauliza nini?
We kenge unauliza nini?
Madhara ya kutojitambua.Nakuuliza wewe parody wa Lumumba unaitaka katiba mpya pia?
Huna akili we pimbi, nani taga?Wewe taga wacha matusi,mambo ya upinzani tuachie wenyewe
Nenda LUMUMBA ukachukue buku Saba yakoKwa hali inavyoenda katiba mpya hatuwezi kuipata kirahisi labda tukomae kama wakenya walivyokomaa.
Tujikite kujenga ofisi ya makao makuu.
Tunazo rasilimali nyingi na michango ya kidigital imemiminika. Aibu sana kuwa kwenye ofisi kama hii tuliyonayo.