Kuhusu Katiba Mpya tumeshakwama tujikite kujenga ofisi ya Makao Makuu

Kuhusu Katiba Mpya tumeshakwama tujikite kujenga ofisi ya Makao Makuu

🤣🤣🤣🤣🤣 hebu jamani tuacheni kejeli, Yani uandishi huu sijui unamaanisha au unakejeli👍, upinzani wetu ndo huu, tujitahidi kuujenga najua Wana mapungufu yao mengi kama walivyo watawala lkni tupende tusipende hawa jamaa wametufungua macho kwA mambo mengi Sana huko nyuma
 
Kwa hali inavyoenda katiba mpya hatuwezi kuipata kirahisi labda tukomae kama wakenya walivyokomaa.

Tujikite kujenga ofisi ya makao makuu.

Tunazo rasilimali nyingi na michango ya kidigital imemiminika. Aibu sana kuwa kwenye ofisi kama hii tuliyonayo.
Kama pale mtaa wakijani mmekwama ni jukumu lenu, kujikwamua sasa, unakuja hapa tukusaidieje.?
 
Kwa hali inavyoenda katiba mpya hatuwezi kuipata kirahisi labda tukomae kama wakenya walivyokomaa.

Tujikite kujenga ofisi ya makao makuu.

Tunazo rasilimali nyingi na michango ya kidigital imemiminika. Aibu sana kuwa kwenye ofisi kama hii tuliyonayo.
KATIBA MPYA ITADAIWA MPAKA IPATIKANE NA OFISI ZITAJENGWA SAMBAMBA au na Wewe Wesha kutoa UBONGO
Screenshot_20210716-160038_Twitter.jpg
 
Kwa hali inavyoenda katiba mpya hatuwezi kuipata kirahisi labda tukomae kama wakenya walivyokomaa.

Tujikite kujenga ofisi ya makao makuu.

Tunazo rasilimali nyingi na michango ya kidigital imemiminika. Aibu sana kuwa kwenye ofisi kama hii tuliyonayo.
Katiba mpya INAKUJA hakuna wa kuzuia, ilisha kua
 
Kwa hali inavyoenda katiba mpya hatuwezi kuipata kirahisi labda tukomae kama wakenya walivyokomaa.

Tujikite kujenga ofisi ya makao makuu.

Tunazo rasilimali nyingi na michango ya kidigital imemiminika. Aibu sana kuwa kwenye ofisi kama hii tuliyonayo.
Katiba Mpya ipi? Katiba si ilishapatikana tunasubiri tu kupiga kura.

Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
 
Kwa hali inavyoenda katiba mpya hatuwezi kuipata kirahisi labda tukomae kama wakenya walivyokomaa.

Tujikite kujenga ofisi ya makao makuu.

Tunazo rasilimali nyingi na michango ya kidigital imemiminika. Aibu sana kuwa kwenye ofisi kama hii tuliyonayo.
Wewe mataga huu mziki haukuhusu.
 
Back
Top Bottom