Kuhusu kuishambulia Israel, Iran yabadili gia angani..!!

Kuhusu kuishambulia Israel, Iran yabadili gia angani..!!

Imeloa

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2013
Posts
14,885
Reaction score
18,083
Ahadi ya Iran ya kulipiza kisasi dhidi ya Israel kwa mauaji ya kiongozi wa kisiasa wa Hamas Ismail Haniyeh mjini Tehran itachukua muda, kwa mujibu wa msemaji wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini humo (IRGC).

"Wakati upo upande wetu na muda wa kusubiri majibu haya huenda ukaongezwa,” Ali Mohammad Naeini alinukuliwa akisema Jumanne na vyombo vya habari vya serikali.

Mashariki ya Kati imekuwa katika hali ya tahadhari tangu mwezi uliopita kufuatia mauaji ya Ismael Haniyeh huko Tehran, ambayo yalikuja siku moja baada ya kamanda wa Hezbollah Fu'ad Shukr naye kuuawa katika shambulio la anga huko Beirut.

https://www.cnn.com/2024/08/20/middleeast/iran-israel-irgc-comments-intl/index.html
 
Thubutu , Iran hawezi kufanya huo ujinga Kwa sasa itachukuwa mda kufanya revenge, sababu kuu 1 Rais ndio Kwanza imeingia madarakani hata yajainjoy urais wake alafu 2 uchumi wake unapumulachine 3 Ndani ya jeshi lake kuna moles ,huwezi kuanzisha vita kama kuna scenario kama hizi, 5 NATO wapo upande wa israel na 6 swahiba yake urusi yupo vita .
 
Ahadi ya Iran ya kulipiza kisasi dhidi ya Israel kwa mauaji ya kiongozi wa kisiasa wa Hamas Ismail Haniyeh mjini Tehran itachukua muda, kwa mujibu wa msemaji wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini humo (IRGC).

"Wakati upo upande wetu na muda wa kusubiri majibu haya huenda ukaongezwa,” Ali Mohammad Naeini alinukuliwa akisema Jumanne na vyombo vya habari vya serikali.

Mashariki ya Kati imekuwa katika hali ya tahadhari tangu mwezi uliopita kufuatia mauaji ya Ismael Haniyeh huko Tehran, ambayo yalikuja siku moja baada ya kamanda wa Hezbollah Fu'ad Shukr naye kuuawa katika shambulio la anga huko Beirut.

https://www.cnn.com/2024/08/20/middleeast/iran-israel-irgc-comments-intl/index.html
Vipi hiyo bendera nyekundu imeshushwa?
 
Mimi naona hata asipolipiza haina haja yeye aendelee kupiga pini hivi hivi na makundi yake matokeo yatakuja tuu baadae maana saivi ndege haziendi tena tele avivi, meli haziendi tena tele vivi kaskazini hamna watu sasa mtu kama huyo unapigana nae wa nini? Acha ubabe na ujinga wake umuue mwenyewe yaani iran asirushe hata jiwe tena aombe msamaha nimekosa mimi. Lakini aendelee kuimarisha vikundi vyake tu amimine mchuzi maji yataitwa mma baada ya miaka mi5
 
Atawafanyia suprise
USA na shoga zake taarifa zao za kijasusi zinawaambia revenge IPO na ndio maaana juzi imeamlishwa meli nyingne iende middle east haraka sn lakini mtu yupo mbagala Hana source yoyote ya intelligence anakwambia Iran kaogopa htoshambulia
 
USA na shoga zake taarifa zao za kijasusi zinawaambia revenge IPO na ndio maaana juzi imeamlishwa meli nyingne iende middle east haraka sn lakini mtu yupo mbagala Hana source yoyote ya intelligence anakwambia Iran kaogopa htoshambulia
Iran mshirika mzuri wa USA uku akiwazuga watu kuwa hawaelewani kabisaaaa
 
Mipango sio matumizi.... Wapunguze kelele....
 
Back
Top Bottom