mangichogo
JF-Expert Member
- Oct 30, 2023
- 837
- 1,482
Sio faida ni haki yake na ana huo huitaji wa fedhaSimdai ila na yeye kwa nini atafute faida baada ya kuchangiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio faida ni haki yake na ana huo huitaji wa fedhaSimdai ila na yeye kwa nini atafute faida baada ya kuchangiwa
Lissu hakukataa hongo.
Alikataa hongo ya pesa akakubali hongo ya fadhila ya Abdul kumsaidia apate mafao yake.
Kwa maneno yake mwenyewe.
That was influence peddling.
Lissu should do better than that.
Kwani rushwa ni lazima kutoa?Alimpa Abduli rushwa ya sh ngapi ili apate fadhila yake?
Katika maelezo yako hapo kuhusu maana ya rushwa ha apo uliposema "kumpatia mtu faida isio ya haki" hapo Liasu anapata faida gani isio ya haki?Nikiandika utaweza kusoma?
Rushwa ni kitendo cha kutoa, kupokea, au kuomba pesa, kitu cha thamani au fadhila ili kuathiri mambo fulani ya kumpatia mtu faida isiyo ya haki kutoka kwa mtu mwingine anayesimamia au mwenye ukaribu na wanaosimamia mambo ya kijamii na kumfanya mtu kufanya mambo kinyume na haki, wajibu na kanuni za uwazi na uthabiti wa uadilifu.
Rushwa si lazima iwe pesa, inaweza kuwa ya ngono, adhila etc.
Tundu Lissu akikataa rushwa ya pesa, akakubali rushwa ya fadhila.
Hujapangua hii hoja.
Kutangaza public kunaonesha Lissu pengine hakuwa na nia mbaya, alifanya "in good faith", au alijiona ana haki ya kupata fadhila ili kupata haki yake.i dont beleive it, if that was the case asinge announce publick like that knowing itamchafua, not his fan but kusema alikubali aina ya rushwa akaacha pesa no such thing, lissu huyu aliekuwa akichangiwa pesa ya kununua gari?
Kwani rushwa ni lazima kutoa?
Tundu Lissu alitaka kupokea rushwa ya fadhila kutoka kwa Abdul, ili Tundu Lissu apate haki yake.
Kupata fadhila kutoka kwa Abdul ili upate haki yako nje ya process husika ni rushwa. Ni rushwa ya fadhila.
Huelewi wapi?
Lissu anapata faida isiyo ya haki kwa sababu anaruka mstari wa process halali ya kupata fidia yake ya haki. Anatumia nafasi yake ya kisiasa kama mpinzani mahiri kujipatia faida binafsi ambayo wananchi wa kawaida hawawezi. Hapo hakuna usawa wala haki. Kuna mchezo wa kupeana fadhila kwa kujuana.Katika maelezo yako hapo kuhusu maana ya rushwa ha apo uliposema "kumpatia mtu faida isio ya haki" hapo Liasu anapata faida gani isio ya haki?
Mbona watanzania hamjipi muda wakutafakari jambo kwakina Kisha uje na hoja mjarabu mleta hoja kajitahidi kuelekea Lile anafahamu KUU ya sakata la fedha Za Abdul alafu wewe unakoment kwamba eti pumba haya wewe tupe basi Michele ili tulinganishe pumba zake na Michele wakoPumba
Kuna process ya Tundu Lissu kupata haki yake.Fadhila gani kwenye kumtuma mtu apeleke mafaili ili alipwe haki yake?
Kwenye kumpa nyaraka, Lissu alimgeuza Abduli kama Tarishi tu wa kupeleka nyaraka zake.
Naamini Abduli alizipeleka kwa utaratibu unaotakiwa kisheria. Kama hakufanya hivyo basi amrudishie Lissu nyaraka zake ili Lissu amtume mtu mwingine ampelekee.
Usinichoshe na upumbavu wako.Lissu anapata faida isiyo ya haki kwa sababu anaruka mstari wa process halali ya kupata fidia yake ya haki. Anatumia nafasi yake ya kisiasa kama mpinzani mahiri kujipatia faida binafsi ambayo wananchi wa kawaida hawawezi. Hapo hakuna usawa wala haki. Kuna mchezo wa kupeana fadhila kwa kujuana.
Abdul alitaka kumhonga Tundu Lissu oesa ili Tundu Lissu asimsakame rais Samia. Lissu akakataa pesa, lakini akakubali rushwa ya fadhila. Abdul bado alikuwa na expectations kuwa akitimiza upande wake, Lissu naye atatimiza upande wake kuacha kumsakama sana Samia. Suala la oesa au fadhula ni namna tu ya malipo, ila rushwa bado iko pale pale.
Kuna wazee wengi wanadai fidia zao, mafao yao, wamekaa kwenye mstari miaka mingi. Hawajuani na Abdul wala Samia, si wanasiasa. Wanasota.
Tundu Lissu akitakiwa kupigania haki kwa wote, atatue matatizo ya kimfumo.
Tundu Lissu kutaka kutatua tatizo lake yeye tu, kwa fadhila za Abdul na Samia kuruka mfumo rasmi, tena baada ya Abdul kutaka kumhonga pesa ili Tundu Lissu asimseme mama yake Abdul rais Samia vibaya, ni kukubali rushwa ya fadhila.
Tundu Lissu alikataa rushwa ya oesa, akakubali rushwa ya fadhila za Abdul.
Rushwa si lazima iwe ya pesa, hata fadhila ya kukurusha mstarini ili kukurahisishia kupata haki yako ni rushwa.
Fadhila hii ingempa Tundu Lissu advantage ambayo watu wasiojuana na Abdul na Samia hawana.
Hili ni tatizo kubwa Tanzania. Kika mtu anataka awe na mtu wake kwenye kika ofisi iki mambo yaende, hakuna mtu anayetaka kutatua natatizo ya kimfumo ili watu waoate huduma kwa haki bila hata ya kujuana na mtu.
Tundu Lissu kama mtu anayesimamia haki na usawa, alitakiwa ajue kuwa kutumia fadhika za Abdul ili arahisishiwe kuoata haki yake ni rushwa.
Ad hominem logical fallacy.Usinichoshe na upumbavu wako.
Hii sio kweli!Maridhiano yalifungua milango na madirisha, hivyo kuruhusu hewa mpya kuingia.
Mkuu mikutano ya kisiasa ni haki ya kikatiba sio zawadi, Hapa mbowe anashukuru kupewa haki yake ya kikatiba kama zawadi?mikutano ya hadhara ilifunguliwa, waliokuwa wamekimbia nchi, walirejea. Unawezaje kumsimanga?
ProbablyJe, alilamba asali ili aachiwe huru na kuunga mkono maridhiano?
Mkuu Fedha za Wananchi sio Fedha za Serikali, Bado ana haki ya kudai Fedha zake kwa sababu alikuwa mtumishi wa SerikaliHivyo, inaleta ukakasi kuona Serikali bado inadaiwa fedha za matibabu ya Lissu.
The same logic as aboveLissu anataka apewe fedha za matibabu ambayo ameshalipiwa na Watanzania?
Lissu amesema Wenje hamdai hata mia Mbovu!Nilimsikia Wenje akisema fedha za matibabu ya Lissu zinamhusu kwa sababu naye kuna za kwake
Lisu amejichanganya,na hana mwendelezo wa tuhuma anazodai.Ukiangalia mambo mengi anayosema hayana ushahidi.Lissu hakukataa hongo.
Alikataa hongo ya pesa akakubali hongo ya fadhila ya Abdul kumsaidia apate mafao yake.
Kwa maneno yake mwenyewe.
That was influence peddling.
Lissu should do better than that.
Kuna process ya Tundu Lissu kupata haki yake.
Process hiyo haimhusishi Abdul wala Samia.
Abdul na Samia wanatumika kumrusha Tundu Lissu kwenye foleni ndefu ya kupata haki yake.
Hii fadhila ya kumrusha Tundu Lissu kwenye mstari halali wa kupata haki yaje ndiyo rushwa, rushwa ya fadhila.
Rushwa si lazima iwe ya pesa, ukipewa unfair advantage nayo ni rushwa.
Kumrusha Lissu apate haki yake kwa kutumia jina la Samia ni kumpa unfair advantage.
Si kila mtu anamjua Samia na Abdul.
Kuna wazee wanadai mafao yao tangu enzi za East African Harbours Authority hawajalipwa mpaka leo.
Hawa hawajuani na Samia wala Abdul.
Tanzania kuna utamaduni mbaya sana wa kila mtu akitaka kufanya jambo ofisi fulani lazima awe na mtu wake kwenye ofisi hiyo. Kupewa fadhila na mtu wake, badala ya kufuata process ya haki isiyohitaji fadhila ya mtu yeyote.
Nilitegemea Tundu Lissu, mpigania haki na usawa, akatae mfumo huu wa watu kupata haki zao kwa fadhila za kujuana, apambanie watu kupata haki zao kwa kutumia mfumo, bila kujuana.
Lakini ameshindwa mtihani huu.
Ametaka kutumia kujuana ili apate haki yake.
Hiyo ni rushwa ya fadhila.
This was a wasted opportunity for Tundu Lissu to make this a cause and help so many people.
Kwenye ushahidi ni vigumu kujua kwa uhakika.Lisu amejichanganya,na hana mwendelezo wa tuhuma anazodai.Ukiangalia mambo mengi anayosema hayana ushahidi.
Chawa wa nani ?Chawa
Ilikuwa ni mbinu ya kumtoa Abdul tu pale nyumbani kwa lissu, pole mkuuLissu hakukataa hongo.
Alikataa hongo ya pesa akakubali hongo ya fadhila ya Abdul kumsaidia apate mafao yake.
Kwa maneno yake mwenyewe.
That was influence peddling.
Lissu should do better than that.
Haahaa chadema inaanzia kugawa rushwa kwa staili hii kama ccm, uhalali wa kupinga ccm wataupata wapi? Nawaomba takukuru wafuatilie kwa karibu Sana uchaguzi wa chadema.Bila lissu kuwa mwenyekiti wa chadema, ccm na chadema kutakuwa hakuna utofautiMKOA WA MARA,MKOA WA MARA.
RUSHWA YA FEDHA INANUKIA KWA AJILI YA KUWASHAWISHI WAJUMBE WAMCHAGUA MBOWE.
Katibu Wa Mkoa wa Mara Donard mwembe Akishirikiana na m/kiti wa chama wilaya ya Rorya Nyakiriga na katibu wa jimbo la Tarime Mjini Pamba Jana Tarehe.28.12.2024 Waliwatumia kwa makundi makundi Nauli wajumbe wa mkutano mkuu Taifa kutoka kwenye majimbo mbali mbali ya mkoa wa Mara ili waende ofisi ya chama mkoa iliyopo Makao makuu ya mkoa Musoma mjini maeneo ya Nyakato kwa Saa nane,wajumbe hao walipofika waliambiwa kuwa wamuunge mkono mbowe na wampigie kura ili ashinde uchaguzi mkuu utakaofanyika Tarehe.21.01.2024 na adi Leo Tarehe.29.12.2024 ninapoandika ujumbe huu wajumbe bado wanaendelea kuitwa kwenye ofisi izo za chama mkoa wa mara.
Na kiasi cha fedha kilichotengwa kwa ajili ya kuwapa hao wajumbe ni milioni tatu.
DONARD MWEMBE
Ikumbukwe donard mwemba alishinda nafasi ya katibu wa mkoa kwa kutumia Rushwa kubwa sana naona yale yale aliyoyafanya wakati wa uchaguzi wa mkoa ndo anayafanya tena kwenye uchaguzi huu wa ngazi ya Taifa.
OFISI ZA MKOA
Ofisi zetu za chama mkoa ndo leo hii zinatumika kugawa Rushwa za uchaguzi,ofisi zimefanywa chafu zimekuwa ni pango la kutolea Rushwa, hii ni atari sana na aipaswi kufumbiwa macho.
COVID-19
Ester Bulaya na Halima mdee walipokuwa Bunda walimuita katibu wa mkoa na kumkabidhi kiasi cha Tsh.5000,000/=(milion tano)Kwa ajili ya kuhakikisha wajumbe wanaitwa na kupewa fedha ,hawa madada wanasema mbowe akishinda wanarudishwa kwenye chama ivyo wanampambania.
ZOEZI LA KUWAITA WAJUMBE
Zoezi la kuwaita wajumbe linaendelea adi sasa na wanatumia nguvu kubwa sana ya fedha kuhakikisha wanawapata wajumbe,huu uchaguzi umegubikwa na rushwa,umegubikwa na fedha za covid-19.
MKOA MARA
Mkoa wa mara umeonekana ni mkoa mgumu sana ndo maana inatumika nguvu kubwa sana ya fedha kuhakikisha wajumbe wanarubuniwa na kupewa hongo ili wabadili mawazo yao.
Hatuwezi kuwa na viongozi waliyochaguliwa kwa Rushwa pia wanagawa fedha za Rushwa kwa wajumbe ili wakamchague m/kiti kwa Rushwa.
M/KITI WA MKOA WA MARA
M/kiti wa mkoa mwl.Chacha Heche alipotaftwa kuulizwa kama ametoa baraka ofisi za chama zitumike kugawa Rushwa alisema ata yeye anamshangaa katibu wake kwa nini anafanya ivyo anakichafua chama na anafanya ivyo kwa maslahi ya nani.Mwl.chacha heche yupo nje ya nchi kwa sasa.
TUTAKULA MACHAME TUTALALA IKUNGI.
CHUKUWA PESA KURA MPIGIE LISSU
#LISSU WILL FIX IT.
#LISSU M/KITI AJAYE
#NI YEYE
Usifanye makosa Tarehe.21.01.2024
Hapana Mkuu.Ilikuwa ni mbinu ya kumtoa Abdul tu pale nyumbani kwa lissu, pole mkuu