Zero Competition
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 347
- 553
Habari za leo leo washikadau,
Nimesikia kwamba inapotokea ofisi yako imekukata zaidi kwenye mshahara wako kuliko deni lako halisi bodi ya mikopo wanarudisha hela yako ndani ya siku 90.
Hapa naongelea mfano deni lako lote lilikua ni milioni 5 lakini kwa bahati mbaya ofisi yako ikakata miezi mingi zaidi na hivyo jumla ya makato kufikia milioni 8.
Je, kuna ukweli juu ya hili?
Kuna yeyote humu ashawahi kukutana na tatizo hili na kweli akarejeshewa pesa yake yote iliyozidi?
Kama yupo naomba anipe ushuhuda au kama kuna yeyote ana ufahamu juu ya hili tunaomba atujuze taratibu za kupata zikoje
Nimesikia kwamba inapotokea ofisi yako imekukata zaidi kwenye mshahara wako kuliko deni lako halisi bodi ya mikopo wanarudisha hela yako ndani ya siku 90.
Hapa naongelea mfano deni lako lote lilikua ni milioni 5 lakini kwa bahati mbaya ofisi yako ikakata miezi mingi zaidi na hivyo jumla ya makato kufikia milioni 8.
Je, kuna ukweli juu ya hili?
Kuna yeyote humu ashawahi kukutana na tatizo hili na kweli akarejeshewa pesa yake yote iliyozidi?
Kama yupo naomba anipe ushuhuda au kama kuna yeyote ana ufahamu juu ya hili tunaomba atujuze taratibu za kupata zikoje