Mimi niliwauliza wakaniambia hizo ndio zimefutwa Ila wewe umeshazilipa kupitia marejesho yako.
Kwahiyo ambao wataanza kulipa deni lao kuanzia June ndio faida kwao maana hawatalipa kabisa
Ila inabidi waziondoshe kabisa maana Mh Raisi alisema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi niliwauliza wakaniambia hizo ndio zimefutwa Ila wewe umeshazilipa kupitia marejesho yako.
Kwahiyo ambao wataanza kulipa deni lao kuanzia June ndio faida kwao maana hawatalipa kabisa
Hii kitu na mimi imenikuta mwezi huu, wamekata wakati Mimi sijawahi kuchukua mkopo kwaoNi kweli wanarudisha ndani ya siku hizo 90 na huenda zisifike
Mim niliwahi kukatwa na heslb kimakosa kwakuwa sijawah kupata mkopo wao lakin wakaniingizia makato kwenye salary slip nkafuatilia ndan ya siku hizo 90 wakanirudishia pesa yangu yote