Mimi niliwauliza wakaniambia hizo ndio zimefutwa Ila wewe umeshazilipa kupitia marejesho yako.
Kwahiyo ambao wataanza kulipa deni lao kuanzia June ndio faida kwao maana hawatalipa kabisa
Ni kweli wanarudisha ndani ya siku hizo 90 na huenda zisifike
Mim niliwahi kukatwa na heslb kimakosa kwakuwa sijawah kupata mkopo wao lakin wakaniingizia makato kwenye salary slip nkafuatilia ndan ya siku hizo 90 wakanirudishia pesa yangu yote