Kuhusu kutokuwa na Imani na Spika wa Bunge la Tanzania

Kuhusu kutokuwa na Imani na Spika wa Bunge la Tanzania

Akiharibu huku na kule hawawezi mwamini.
Tatizo siyo spika tatizo ni sisi wenyewe bora afanye hivyo ili mafuvu yafanye kazi, yaani jamii zetu kushindwa kuhoji,(tulio wapa dhamana wataendelea kuahirisha kufikiri kwa nafsi), na tatizo la kuhoji linaanzia kwenye ngazi ya familia hadi limefika kwenye jamii, kila kitu tunategemea serikali hata walikosea Sawa tu tuache kulalamika mfumo tumeupenda wenyewe, someni kuhusu unworking government machineries and ostracism, nawafundisha humu kila siku hamtaki kuzingatia
 
Naandika kusikitika na kuonesha kutokuwa na imani na sipika wa JMT.

Sipika anakumbatia wezi na waongo. Sipika anakubali kudanganywa. Waleta ushahidi wanakuwa victim.

Bunge linakuwa la Serikali badala ya Wananchi. Nilitegemea Bashe angekuwa kwenye kamati ya madili ama ameachia ngazi, ila kwa sasabu bunge ni kibogoyo ndio maana hadi sasa yuko anakula kodi zetu.

Nasubiri kitakachojili kisha nianzishe kampeni ya kutokuwa na IMANI NA SPIKA.
Awamu ya majizi tupu
 
Naandika kusikitika na kuonesha kutokuwa na imani na sipika wa JMT.

Sipika anakumbatia wezi na waongo. Sipika anakubali kudanganywa. Waleta ushahidi wanakuwa victim.

Bunge linakuwa la Serikali badala ya Wananchi. Nilitegemea Bashe angekuwa kwenye kamati ya madili ama ameachia ngazi, ila kwa sasabu bunge ni kibogoyo ndio maana hadi sasa yuko anakula kodi zetu.

Nasubiri kitakachojili kisha nianzishe kampeni ya kutokuwa na IMANI NA SPIKA.
Magufuli ndio chanzo Cha bunge letu kuwa kibogoyo. Wakati Magufuli anachezea demokrasia Ili kufanya atakacho mlimuona yuko sawa, Sasa tunakula matunda ya uharibifu wake mnaanz kujiliza.
 
Wewe una demential si bure huyu betina alikosa uhalali tangu suala la bandari alivyojigeuza wakili wa serikali wewe ulikuwa wapi . Unatakiwa mboko za matako
Shida yenu mmeshazoea uongozi wa jpm ambaye aliapa kuilinda katiba lakini akawa haiheshimu wala kuocata. Mfano kuzuia mikutano ya siasa ni kinyume kabisa na katiba lakini ingekuwa nchi inauifuata utawala wa sheria angewajibishwa na kuniuzulu
 
Wabunge wanapata wapi moral authority ya kuhoji ufisadi ilhali ufisadi mkuu ndiwo uliowaingiza bungeni. Tena wa CCM na Covid 19. Hii tabia yetu ya kujifanya kuchukia mambo pale watawala wakiwa si wa kambi yetu ni tatizo kubwa.
 
Back
Top Bottom