Kuhusu kuuawa Hayati Mzee Ali Kibao, Mwandishi nguli wa Habari za Uchunguzi Bollen Ngetti ameandika haya, inafikirisha!

Rudia kusoma,

Mbona ameandika HOJA fikirishi tena zisizo na bias?
Nimerudia na kurudia. Unapoonesha shaka kuwa eti inawezekana polisi wamejihami kabla hawajavamiwa... Hiyo ni bias ya Hali ya juu sana.

Kitu chenye ushahidi wa kimazingira hakihitaji kufikiri. Yaani polisi Wana taarifa ya kuvamiwa ndiyo ihalalishe wao kuua?
 
Bollen Ngetty bila shaka ni Mjinga Unayelipwa, Bali tambua kwamba Shetani hana Rafiki na bila shaka utalipwa kwa Uzandiki wako
 
Polisi walipasa kuthibitisha Kwa ushahidi mahakamani, Si Kwa hatua hizo.

Bado aneacha room kubwa tu ya kuruhusu mjadala usio na mihemko.
 
Ameandika ujinga
 
Nyie mna tatizo la uelewa, nimeamini sasa.

Bollen ameanza andiko lake kwa ku refer ile taarifa ya jeshi la polisi waliyoitoa siku chache kabla marehemu hajatekwa.

Polisi wakadai Chadema wana mpango wa kuvamia vituo vya polisi Dsm, kwa makundi ya vijana ishirini.

Baadae mwandishi akazungumzia taarifa ya marehemu, kwamba aliwahi kufanya kazi JWTZ, akionekana ndie alikuwa akitoa hayo mafunzo ambayo polisi walidai kuna mpango wa kuvamia vituo vyao.

Then mwandishi akauliza, Chadema wametoa wapi uwezo wa kuwa na hayo mafunzo kama JWTZ, polisi, na TISS?!

Kisha Bollen akaendelea kuuliza, kama marehemu alikuwa na kosa, kwanini hakupelekwa mahakamani badala yake wakamuua?!

Hii scenario is very short & clear, nashangaa hizo nguvu zenu za kumponda mnazitoa wapi?

Sometime punguzeni ujuaji.
 
yani wewe na yeye tu ndio mmeelewana wenye akili kubwa,si ndio?
 
Lengo la chadomo ni kutaka serkali iache ishu za msingi ibakie kujadili utekaji na watekaji ni wao , namshukuru Mh Rais Samia kugundua hilo na bunge kujitenga na ujinga huo

USSR
Utekaji ni jambo la kushughulikiwa na wizara ya mambo ya ndani, tena kitengo cha usalama wa raia ambayo ni polisi, wala sio suala la serekali nzima. Labda kama serekali haina kazi za kufanya. Unapokuwa na serekali iliyoingia madarakani kwa kupora uchaguzi, siku zote itakuwa inapambana na kivuli cha wizi wa kura.
 
Nami nimeona hivyo.
 
Huo ndio ujinga wenyewe wa kumfikiria marehemu kuwa ndio mtoa mafunzo kwa hiizo tuhuma faki. Sasa k wamemuuwa watathibitisha vipi hizo tuhuma?
 
Binafsi naweza nisipingane nawewe kwasababu una hoja za msingi bwana mkubwa

Lakini ningeishauri serikali ya chama Cha mapinduzi kwamba

Wanapaswa kusikiliza na kizifanyia kazi changamoto za watu wake hasa zile zinazo wagusa watanzania wengi

Badara ya kuto wasikiliza nakuwa acha Kama walivyo mpaka baadae wanainchi/ watanzania wanaamua kutafuta mbinu za kujikwamua kwenye changamoto zao

Ndipo serikali inakuja kuwachukulia hatua Kali Kama hizi zinazo leta taharuki kwa inchi na kima taifa

Jambo ambalo Lina ichafulia inchi taswila kimataifa

Kwahiyo Kama nikweli ilikuwa hivyo binafsi naona kosa linabaki kwa serikali yetu vilevile kwamba niwa vivu wa kusikiliza changamoto za watu wake kitu ambacho nikinyume na utumishi wa serikali kwa watu wake

Niwakati Sasa wa serikali kuwa wasikivu na watatuzi wa changamoto kwa watu wake badara ya kuwa watatuzi wa maamuzi ya mwisho ya wanainchi yaliyo tokana na kuto kusikilizwa kwao
 
Kuna wale wale walikuwa makomandoo waliofukuzwa au kustaafu Jeshini wako huko Chadema eg kesi ya Ugaiildi ya Mbowe.
 
Amendika ujinga wa hali ya juu. Sativa alitaka kuuawa, alikuwa na uhalifu gani? Haya, hata kama ni uhalifu, kwa nini wasichukuliwa hatua?
 
Serikali ya ccm inavyopambana na Chadema laiti kama ingekuwa na uhaidi mdogo tu wa tuhuma za polisi, basi hiyo tuhuma ingekuwa gia kubwa ya kuifutilia mbali chadema. Huyo mtoa mada haache kutuletea ujinga wake hapa
 
..Nimewarudisha kwenye historia ili muelewe UJINGA wa baadhi ya waandishi watetezi wa CCM kama Bollen Ngeti.

Swali linalogonga vichwa ni kwamba kama taarifa za kijasusi zilionesha kuwa MeD ndiye alikuwa "chuo" cha kuwaandaa wavamizi ndiyo auawe badala ya kumfikisha kwenye vyombo vya sheria? Sina jibu....wauaji wana majibu.
Mkuu soma vizuri hilo swali la muandishi kisha muhukumu yupo upande upi.
Mimi nimeona Kama andiko lake anajaribu kujulisha watu Nani wahusika wa mauwaaji na kuhoji uhalali.
denoo JG
 
C&P from Face Book.
(Rejea kuvamiwa kwa kituo cha Polisi Stakishari Ukonga).
Gambo ndio aliyeongoza kikosi chake kuvamia kituo Cha Polisi pale Stakishari.Gambo alikuwa Askari Magereza,aliacha kazi hiyo Kwa ridhaa yake akilalamika Kuwa ni haramu hiyo kazi Kwa mujibu WA dini ya kiislam itamtumbukiza motoni siku ya ummul qiyyama.😠😠😠

Baadae ya Hilo tukio,wakaanza kukimbia Hilo eneo wasikamatwe,wale wenzake walipoona mwenzao huyo Gambo atawachelewesha Kwa Kuwa alijeruhiwa, ,wakamuu na kumtoboa macho.

Kilichowapelekea Gambo na mujahedeena wenzake kufanya HIVYO,wanaamini Kuwa mwanamke haruhusiwi Kuwa kiongoziπŸ™„πŸ™„πŸ™„

Kinachosikitisha,Hao mujahedeena hawakuwa na ilmu ya Kuwa,nchi inayofata sharia za kiislam ndio hawaruhusiwi kuongozwa na mwanamke,sio Kwa nchi zetu hizi za kitwaagut.πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…