Kuhusu kuuawa Hayati Mzee Ali Kibao, Mwandishi nguli wa Habari za Uchunguzi Bollen Ngetti ameandika haya, inafikirisha!

Kuhusu kuuawa Hayati Mzee Ali Kibao, Mwandishi nguli wa Habari za Uchunguzi Bollen Ngetti ameandika haya, inafikirisha!

Walikwambia wamehisi au wanataarifa za intelligence. Kwani si kunaweza kuwa na rat kwenye hiyo mipango akapeleka umbea.

Sasa polisi wenye jukumu la kuzuia uhalifu hawana jukumu la kuonya. Kwani si hata ubalozi wa marekani uwa inatoa warning kadhaa kuna hatari ya attacks.

Polisi kusema waliyosema hawana ulazima wa kwenda kukamata watu ushahidi wao autoshelezi kukamata watu.

Wewe sasa kama kauli hiyo imekuuma sana unaweza ongea na uongozi wa CDM kwenda kuwafungulia kesi ya defamation polisi watoe ushahidi wa intelligence yao, au waombe radhi. Lakini sio kuongea hatua za kuchukuliwa watu ambazo hazina uzito.

Huna unalolijua usinichoshe tafadhali, mkishaandika ujinga wenu humu na kugongeana likes basi mnaamini mna akili kweli.

Mie nishamalizana na wewe, ain’t nobody got time to entertain your nonsense any longer.
Acha kutetea ujinga. Polisi walisema viongozi wa Chadema wamefanya mkutano wa kupanga hizo ujuma kwa kutumia ZOOM. Polisi imeshindwa kuthibitisha hizo tuhuma.
 
Walikwambia wamehisi au wanataarifa za intelligence. Kwani si kunaweza kuwa na rat kwenye hiyo mipango akapeleka umbea.

Sasa polisi wenye jukumu la kuzuia uhalifu hawana jukumu la kuonya. Kwani si hata ubalozi wa marekani uwa inatoa warning kadhaa kuna hatari ya attacks.

Polisi kusema waliyosema hawana ulazima wa kwenda kukamata watu ushahidi wao autoshelezi kukamata watu.

Wewe sasa kama kauli hiyo imekuuma sana unaweza ongea na uongozi wa CDM kwenda kuwafungulia kesi ya defamation polisi watoe ushahidi wa intelligence yao, au waombe radhi. Lakini sio kuongea hatua za kuchukuliwa watu ambazo hazina uzito.

Huna unalolijua usinichoshe tafadhali, mkishaandika ujinga wenu humu na kugongeana likes basi mnaamini mna akili kweli.

Mie nishamalizana na wewe, ain’t nobody got time to entertain your nonsense any longer.
Uende tu;

Polisi sio ubalozi wa Marekani, wacha kulinganisha visivyolinganika, majukumu yao ni tofauti.

Polisi wanatekeleza majukumu yao kisheria, na fundamental ya sheria inasema ".. who alledges must prove"

Sasa wewe kanjanja wa sheria unaandika utoto gani hapa? Sheria gani inayoruhusu polisi wawe wana hisi tu kisha waue?! ina maana mahakama zetu hazina kazi?!

Tena potea kabisa.
 
Uende tu;

Polisi sio ubalozi wa Marekani, wacha kulinganisha visivyolinganika, majukumu yao ni tofauti.

Polisi wanatekeleza majukumu yao kisheria, na fundamental ya sheria inasema ".. who alledges must prove"

Sasa wewe kanjanja wa sheria unaandika utoto gani hapa? Sheria gani inayoruhusu polisi wawe wana hisi tu kisha waue?! ina maana mahakama zetu hazina kazi?!

Tena potea kabisa.
Wewe unafikiri kila kitu hapa duniani huwa kinapelekwa mahakamani? Wamarekani wale watuhumiwa wa ugaidi waliokuwa Quantanamol lini walipelekwa mahakamani?? Fikiri nje ya box mkuu!!
 
Acha kutetea ujinga. Polisi walisema viongozi wa Chadema wamefanya mkutano wa kupanga hizo ujuma kwa kutumia ZOOM. Polisi imeshindwa kuthibitisha hizo tuhuma.
Shida yenu moja ni kudhani kushitaki tuhuma ni jambo jepesi sana.

Hata mkielezwa condition za evidence requirement za kushitaki kesi hamtaki kuelewa.

Sasa hapo mtu awafahamishe vipi tena.

Tafuta vipindi vya FBI files kuzuia plots uhalifu ili washitaki na ugumu wa kupata vyote ‘actus reus na mens rea’ that’s big in criminal offence.

Mambo sio kama mnavyofikiri.
 
Wewe unafikiri kila kitu hapa duniani huwa kinapelekwa mahakamani? Wamarekani wale watuhumiwa wa ugaidi waliokuwa Quantanamol lini walipelekwa mahakamani?? Fikiri nje ya box mkuu!!
Kwani Tanzania tunatumia sheria za Marekani?!
 
Hata wewe umeonaeee! Kwa mtu mwenye upeo jamaa kaongea point sana kwanza najiuliza wanamtekaje na kumuua mtu ambaye hata hakuwa popular. Mimi nimemjua baada ya kuuawa
Wawaache mawhistle blower kibao ambao ni maarufu na wana impact kama akina MMM
Hujiulizi kwanin hakuwa popular japo alikuwa mjumbe halmashauri kuu ya chama na kiongozi wa idara muhimu?. Huko ku laylow kwake ndio kunaleta mashaka makubwa na kuogopwa.
 
Shida yenu moja ni kudhani kushitaki tuhuma ni jambo jepesi sana.

Hata mkielezwa condition za evidence requirement za kushitaki kesi hamtaki kuelewa.

Sasa hapo mtu awafahamishe vipi tena.

Tafuta vipindi vya FBI plots kwenye kuzuia uhalifu ili washitaki na ugumu wa kupata vyote ‘actus reus na mens rea’ that’s big in criminal offence.

Mambo sio kama mnavyofikiri.
Haya maneno "actus reus na mens rea" unavyoyatumia kama vile unayafahamu mwenyewe.

Sasa kama huwezi kuthibitisha hayo kwanini umkamate mtu kisha umpige mpaka umuue?

Unataka kuruhusu polisi wawe wanafanya kazi ya "guessing" na kuhukumu kihuni kinyume cha sheria, simply bcoz hamuwezi kuthibitisha "actus reus na mens rea"?

Acha arguments zako za kitoto.
 
'Wasituambie hawajui (kuhusu utekaji na mauaji). IGP asituambie hajui, Mkurugenzi (Mkuu) wa usalama wa taifa asituanbie hajui, CDF ndiyo mkubwa wao wote, wasituambie wote hawajui... Lazima wajue, la sivyo hawana sababu ya kuwa pale" Mzee Joseph Butiku
 
Kwani Tanzania tunatumia sheria za Marekani?!
Tena zetu zinazipa nguvu nyingi sana vyombo vya ulinzi na usalama kuliko Marekani lakini bado Marekani walivunja sheria zao kwa kuwaweka watuhumiwa lockup kwa muda mrefu zaidi ya miaka 5 bila kuwafikisha mahakamani mwishoni wengine wakaachiwa bila kufikishwa mahakamani lakini wakiwa wamesota mahabusu zaidi ya miaka 5 ni sawa na kufungwa bila kusikilizwa. Hakuna usawa duniani full stop.
 
'Wasituambie hawajui (kuhusu utekaji na mauaji). IGP asituambie hajui, Mkurugenzi (Mkuu) wa usalama wa taifa asituanbie hajui, CDF ndiyo mkubwa wao wote, wasituambie wote hawajui... Lazima wajue, la sivyo hawana sababu ya kuwa pale" Mzee Joseph Butiku
Butiku anaongea tu lakini wakati utawala wa ndugu yake Nyerere watu wengi waliwekwa kizuizini bila kufikishwa mahakamani na wengine walihamishwa maeneo yao ya kuishi kama wakurya wa Serengeti, Machochwe walipelekwa Mafia na Kusini kwa nguvu bila kufikishwa mahakamani na yeye alikuwa kwenye serikali hiyo ya ndugu yake. Anyamaze kabisa ache kubwabwaja!
 
Butiku anaongea tu lakini wakati utawala wa ndugu yake Nyerere watu wengi waliwekwa kizuizini bila kufikishwa mahakamani na wengine walihamishwa maeneo yao ya kuishi kama wakurya wa Serengeti, Machochwe walipelekwa Mafia na Kusini kwa nguvu bila kufikishwa mahakamani na yeye alikuwa kwenye serikali hiyo ya ndugu yake. Anyamaze kabisa ache kubwabwaja!
Yes, na yeye amekiri pale lakini si kwa kiwango cha kinyama kama hiki, kumshusha mtu kwa gari then baada ya masaa 24 kashakufa tena kifo cha mateso.

Hata MOI the great hakuuaga kwa style hii.

Enzi za Mwalimu wote waliopinga siasa ya ujamaa na kujitegemea aliwatia kuzuizini na baadhi walikimbia nchi.
 
Yes, na yeye amekiri pale lakini si kwa kiwango cha kinyama kama hiki, kumshusha mtu kwa gari then baada ya masaa 24 kashakufa tena kifo cha mateso.

Hata MOI the great hakuuaga kwa style hii.

Enzi za Mwalimu wote waliopinga siasa ya ujamaa na kujitegemea aliwatia kuzuizini na baadhi walikimbia nchi.
Enzi za Nyerere waliopotea ni wengi sana ila kwa kuwa hakukuwa na private media kama sasa ndio maana unasema hivyo.
 
Naona Bollen ameandika mambo ya msingi sana ajabu wachangiaji hapo juu wanamlaumu, kuna tatizo kubwa la upeo wa kuchambua mambo humu ndani.

Hayo maswali ya Bollen yanahitaji majibu, ajabu mnamnyooshea vidole!.

Mmegeuka watetezi wa jeshi la polisi kwa ujinga wenu, upeo wenu finyu.

Wabongo wengi huwa hawatumii muda kutafakari...
 
Angekamtwa apelekwe mahamani. Mnamfuchua Sana rais Samia
 
Kazi ya polisi pia ni kuzuia uhalifu kabla aujatokea. Unataka wasubiri mpaka madhara yatokee ndio wachukue hatua. Kuna wasaa kama hawajui siku wala saa ya tukio busara ni kuonya watu waache.
Uko sahihi polisi kuongea live kuwa kuna watu wana mipango ovu ni kuwatumia meseji polite kuwa tunajua mipango yenu msithubutu mkithubutu mtakoma

Tii sheria bila shuruti
 
Huwa hamueleweki mara CHADEMA wamelamba asali , Leo mnakuja na ngonjera CHADEMA walitaka kuvamia vituo vya polisi. Wanafiki tu mnatafuta vijisababu kuhalalalisha mauaji ya raia.
Hili la kuvamia vituo walisema polisi wenyewe wiki kama mbili zilizopita
 
Kwa hiyo na mama awapoteze siyo - is this ur justification? Shame!!
Wala si Mama na anaweza asijue kabisa. Huo ndio mfumo wa dunia ukicheza na usalama wa nchi/dola mwisho wako utakuwa mbaya tu hasa kama wewe ulishapitia kwenye vyombo vya ulinzi na usalama.
 
Back
Top Bottom