Walikwambia wamehisi au wanataarifa za intelligence. Kwani si kunaweza kuwa na rat kwenye hiyo mipango akapeleka umbea.
Sasa polisi wenye jukumu la kuzuia uhalifu hawana jukumu la kuonya. Kwani si hata ubalozi wa marekani uwa inatoa warning kadhaa kuna hatari ya attacks.
Polisi kusema waliyosema hawana ulazima wa kwenda kukamata watu ushahidi wao autoshelezi kukamata watu.
Wewe sasa kama kauli hiyo imekuuma sana unaweza ongea na uongozi wa CDM kwenda kuwafungulia kesi ya defamation polisi watoe ushahidi wa intelligence yao, au waombe radhi. Lakini sio kuongea hatua za kuchukuliwa watu ambazo hazina uzito.
Huna unalolijua usinichoshe tafadhali, mkishaandika ujinga wenu humu na kugongeana likes basi mnaamini mna akili kweli.
Mie nishamalizana na wewe, ain’t nobody got time to entertain your nonsense any longer.