Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hiyo ndio mwisho wake. Kosa la kuoshambulia yangu litamgharimu sana. Sasa keshatoka rasmi kwenye mioyo ya wanayanga na hata akija azam, kila mtu atamdharau.Apambane na hali yake na soon waarabu wana mtoa kwa makopo inabidi aende Azam au Tp mazembe
Yanga haiwezi kumrudisha ? Sema mdomo utamponzaApambane na hali yake na soon waarabu wana mtoa kwa makopo inabidi aende Azam au Tp mazembe
Nilimkubali sana MayeleHatumtaki tena tumesha mcancel
Yule ni mwanaume mwenzetu yuko pale kutafuta maisha kama wanaume wengine,so sioni sababu ya kumdharau mtu ambae anaifanya kazi yake ili kuilisha familia yake.Na hiyo ndio mwisho wake. Kosa la kuoshambulia yangu litamgharimu sana. Sasa keshatoka rasmi kwenye mioyo ya wanayanga na hata akija azam, kila mtu atamdharau.
Eti nguvu zimehamishiwa kwa pacome 😆😆😆unasahau kabisa alishakuwa MVP wa ivory coastNguvu zimeahimishwa kwa pacome😅😅
Kumbe wewe UtopoloNi suala la watu wa Simba Mimi nadili na Yanga yangu tu mkuu
Wewe sio shabiki wa mpiraYule ni mwanaume mwenzetu yuko pale kutafuta maisha kama wanaume wengine,so sioni sababu ya kumdharau mtu ambae anaifanya kazi yake ili kuilisha familia yake.
Binafsi siwezi kumchukia mchezaji hata akifanya jambo gani, kwasababu mwisho wa siku wote tuko katika kutafuta pesa ili maisha yasonge.
Mwanaume kumchukia au kumdharau mwanaume mwenzio kisa ushabiki wa timu hiyo huwa naona haijakaa sawa,ni upuuzi.
Wazee wa Yanga hawajamtupia majini ila wameyachukua majini waliyo kuwa wamempa ili aisadie timu so amebaki mweupe kama alivyo kuja.Kusema Mayele hakua mshambuliaji hatari ila ni mshambuliaji mwenye mvuto tu sio kweli,labda wewe si mtu wa mpira. Mayele ni Clinical finisher,Mayele ni aggressive striker pale anapokua analiona goli,zaidi Mayele huwezi kudoubt uwezo wake wa ufungaji kwasababu kati ya Chances mbili Mayele atautumia moja vyema au zote.
Nikupe mfano,rejea game na Azam FC kwa msimu jana,pia game na Malumo kule SA. Hizi ni baadhi tu ya game zinazokinzana na maneno yako yako ya kwamba Mayele hakua mshambuliaji/mchezaji hatari.
Nikirudi katika issue ya kusema katupiwa Jini,Yanga na kamati yake ya ufundi kama ni kweli wamefanya hivyo basi sio fair. Kwasababu kama ulifika muda wa mchezaji kuondoka hakukua na haja ya kutafuta namna ya kumuadhibu hata kama hamkufurahishwa na kuondoka kwake.
NdioWazee wa Yanga hawajamtupia majini ila wameyachukua majini waliyo kuwa wamempa ili aisadie timu so amebaki mweupe kama alivyo kuja.
Hiyo game ya malumo ni kwa sababu tayari alikuwa na confidence ambayo kwa kiasi kikubwa ilisababishwa na kazi ya mikono ya wazee wa Yanga.
kwenye timu yangu ungeniambia kati ya Mayele na Baleke( kabla hajarogwa wakati anaingia Simba) ninge mchukua Baleke kwa sababu Baleke ana uchu na nyavu. Anafunga magoli mengi kwenye moja na anafanya hivyo mara nyingi.
Mayele.alikuwaga na uchu akiwa bado hajafunga goli lakini akisha funga goli tu ana flop.
Halafu unavyo sema Mayele anatumia nafasi vizuri sio kweli. Mayele alikuwa amepoteza nafasi nyingi sana.
Narudia tena Mayele alikuwa ni mchezaji mwenye nyota ya kupendwa tu na sio mchezaji hatari.
Hafikii hata nusu ya Amissi Tambwe.
Utamtoa mamaako?. Huo utajiri hata iweje uue ndugu hauwezi kuwa na amani maisha yako yote. Utakuwa kama masikini wa mwisho. Halafu mwisho wa siku lazima akutoe kafara mwenyeweHii kamba imezidi urefu alaaa! Mganga huyo anapatikan kijij gani mkuu nikamuone