Kuhusu madai ya Mayele kutupiwa majini vs mganga huyu we kienyeji kutoka Kusini mwa Tanzania

Fact
 
Madhabahu ya huyo Mganga haipokei damu ya mifugo kama kafara?
 
Kwa hiyo hao wazee wameshindwa kumpa mvuto POPCORN mpaka katemwa na kurudi Ghana?
 
Mayele ndani ya Yanga hakuwahi kuwa mshambuliaji hatari ila alikuwa ni mshambuliaji mwenye mvuto.

Apa tu umeonyesha ww sio mtu wa mpira.

OK tuachane na mayele Leta connection ya uyo mganga Miaka mitatu mingi sana INANITOSHA.[emoji41]
Ni kweli Mayele hana Hatrick 2 kwenye league yote
 
we noma...ukweli mtupu huu
 
waswahili hawaachagi fursa ambazo wewe huwezi kuziona...atapigwa vitu na makolo lkn huku pia akina mzee wa njiwa,frank yanga na wenzie hawatomuacha salama kwa kudhalilisha klabu yao,kiazi yule kushiney
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…