Kuhusu madaraja ya leseni na magari yake

Asante mkuu kwakunielewesha vizuri
 
Asante mkuu kwakunielewesha vizuri
 

Hii elimu itakuwa imetoka idarani [emoji28]
Asante sana mkuu kwa maelekezo yako[emoji119]
 
Ukishakua na daraja D si hauna Baja ya daraja B?
 
Ukishakua na daraja D si hauna Baja ya daraja B?
Haja ipo. Ndio maana pia ikatofautishwa kati ya B na C3.
Zanzibar ndio unaruhusiwa kuendesha chombo cha daraja dogo/la chini endapo una daraja kubwa/la juu, 7bu wao leseni zao zipo SADEC, sisi kila hatua ya gari na daraja lake.
 
Ukishakua na daraja D si hauna Baja ya daraja B?
Kunatofauti kidogo chief kati ya daraja D na B daraja d ni magari madogo ya mizigo ya biashara na daraja b ni magari madogo binafsi yani haya ya kutembelea majumbani na kuendea ofisini haja ipo kwa sababu matumizi ni tofauti
 
Haja ipo. Ndio maana pia ikatofautishwa kati ya B na C3.
Zanzibar ndio unaruhusiwa kuendesha chombo cha daraja dogo/la chini endapo una daraja kubwa/la juu, 7bu wao leseni zao zipo SADEC, sisi kila hatua ya gari na daraja lake.
Samahani Mkuu Kwa hiyo ukiwa na daraja D huruhusiwi kuendesha hizi gari za daraja B?
 
Samahani Mkuu Kwa hiyo ukiwa na daraja D huruhusiwi kuendesha hizi gari za daraja B?
Ndio.
Kiufupi, B ni SALOON car, na D ni SUV car.
Pia B inakupeleka ktk gari za abiria kina C3 - C, wakati D inakupeleka kwenye mizigo huko kina E.
Ukiona umetofautishiwa ujue kuna tofauti ya UREFU, UZITO au KAZI kutoka daraja moja kwenda jengine.
 
Hey members nawapa mrejesho
Nimefanikiwa kusoma driving katika chuo Cha veta Pwani chini ya mwalimu Gaspar(mtaalam) kuanzia siku ya tarehe 27/11/2023 mpaka tarehe29/12/2023

Kuna swali nimeona juu hapo kuhusu daraja B na D kwa mujibu wa mwalimu amesema Amna ulazima wa kuwa na daraja B wakati ukiwa na daraja D
 
Ulichukuwa c3
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…