rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,952
- 43,265
Anahoji serikali ya zanzibar mkuu...!! Au unaitetea serikali gani???We endelea kula kimasihara chief. Huko hasa ndio kwenye uelewa wako.
By the way Zanzibar ina mamlaka yake asitake kumithilisha maamuzi ya huko na ya Tanzania bara.
Apambane na njaa zake aache kuleta visababu.