Kuhusu pendekezo la kufuta Mashirika yasiyoleta tija, Rais Samia anapigia mstari tu alichosema Hayati Magufuli

Kuhusu pendekezo la kufuta Mashirika yasiyoleta tija, Rais Samia anapigia mstari tu alichosema Hayati Magufuli

Kichuchunge

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2020
Posts
384
Reaction score
970
"Naamini mwaka huu tutakuwa na ongezeko la Mashirika yanayotoa gawio, Mashirika yasiotoa gawio lazima tutumie sheria kuhakikisha yanatoa au yanaondoka, Msajili wa Hazina simamia hili. Taasisi zote zinazotakiwa kutoa gawio, zifanye hivyo kabla ya mwezi wa saba, haiwezekani hadi Jeshi limetoa gawio wao wasitoe, tena nikiona hata Polisi na Magereza wanatoa gawio, nitafurahi sana

Msajili wa Hazina hakikisha ifikapo mwezi Julai, Mashirika yote 253 nchini ambayo yamekuwa hayatoi gawio kwa Serikali, yawe yametoa gawio, la sivyo yafungwe. Kama Shirika halitoi gawio kwa sababu linajiendesha kwa hasara basi lifungwe, hakuna maana kuwa na Mashirika yanayofanya kazi kwa hasara, la sivyo watafute namna ya kutoa magawio yao Serikalini" nukuu ya JPM wakati akipokea gawio la TTCL
 
Usimlishe maneno Mama Samia yeye amesema Kuna taasisi kazikuta Toka akiwa mtoto anahoji kama Zina tija miaka hii hivyo yafutwe whether yanatoa gawio or not maana hayapo relevant katoa mfano wa NDC ila JPM alisema yasiyotoa gawio ndio yafutwe yaani hata kama hayana tija ila yanaingiza pesa basi yabakizwe ila Yale yenye tija hata kama hayaleti gawio basi yafungwe.

So mmoja ameangalia OUTPUT/PRODUCTIVITY ilihali mwingine aliangalia FAIDA/PROFITABILITY pekee.
 
Back
Top Bottom