Kuhusu sakata la mkataba wa bandari, safari hii lazima kelele za chura zimzuie mtu kuteka maji

Kuhusu sakata la mkataba wa bandari, safari hii lazima kelele za chura zimzuie mtu kuteka maji

Yeah, waranzania 20 wa jf + chadema wachache. Huku uraiani watu tuko na mama hata milele!
Ndivyo alivyokuwa akijidanganya Rais Chasesku. Alikuja kushangazwa na uamuzi wa mahakama ya kijeshi kuwa yeye na mkewe wanatakiwa kuuawa kwa uhalifu alioutendea umma, na kisha kufuatiwa na maandamano ya umma kuunga mkono maamuzi ya mahakama.

Alishangazwa zaidi na kitendo cha askari ambao siku zote alikuwa akiwapa amri dhidi ya umma, siku hiyo kila mmoja akitaka apewe nafasi ya kutekeleza hukumu ya mahakama dhidi ya Rais, hadi ikalazimu kuchezesha bahati nasibu ili kumpata wa kufyatua risasi ya kuhitimisha ukomo wa maisha ya Chasesku Duniani.

Ukiwa kiongozi jivunie kutekeleza wajibu wako kwa kadiri ya katiba na sheria na siyo kelele za wapambe.

Rais Samia akishupaza shingo kwa sababu ya wapambe nuksi, kuna siku atajuta.
 
Ndivyo alivyokuwa akijidanganya Rais Chasesku. Alikuja kushangazwa na uamuzi wa mahakama ya kijeshi kuwa yeye na mkewe wanatakiwa kuuawa kwa uhalifu alioutendea umma, na kisha kufuatiwa na maandamano ya umma kuunga mkono maamuzi ya mahakama.

Alishangazwa zaidi na kitendo cha askari ambao siku zote alikuwa akiwapa amri dhidi ya umma, siku hiyo kila mmoja akitaka apewe nafasi ya kutekeleza hukumu ya mahakama dhidi ya Rais, hadi ikalazimu kuchezesha bahati nasibu ili kumpata wa kufyatua risasi ya kuhitimisha ukomo wa maisha ya Chasesku Duniani.

Ukiwa kiongozi jivunie kutekeleza wajibu wako kwa kadiri ya katiba na sheria na siyo kelele za wapambe.

Rais Samia akishupaza shingo kwa sababu ya wapambe nuksi, kuna siku atajuta.
Wapambe wenyewe manara na yule shehe ubwabwa aliyemtolea povu Shivji.
 
Wapambe wenyewe manara na yule shehe ubwabwa aliyemtolea povu Shivji.
Huku wapingaji wenyewe wakiwa nyie haters 15 mlio biased vibaya; ya wazungu na wachina mnakata viuno kuchekea na kuomba waje wengi zaidi huku kwa wengine mnaleta uongo na uzushi. Rumours are created by haters, carried on by fools, and accepted by idiots.

Sie wananchi tumeelewa na tupo pamoja na jemedari wetu.
 
Kumbe NDIO Maana walikua wanakataa Kata Kata Suala la Katiba Mpya.

Walitaka wauze nchi kwanza Kisha wakistaafu wakimbilie Dubai kula Bata.

Kuna Shehena mmoja kule Mwanza ametoa wito Kwa Waumini wake wasome Dua kumnusuru Shopkeeper Wa Nchi.

Na Mimi natoa wito Kwa Waumini Wa Dini ZOTE wanaotumia gharama kubwa kuwasomesha Watoto wao Ili waje kuendesha uchumi na utawala Wa nchi Hii Kwa ufanisi na SIO kuwapa Wageni ,waumini wote wasome Dua ya kuwalaani wale wote waliohongwa pesa Ili wauze nchi yetu Kwa manufaa ya familia zao. Wasome albadri na dua na maombi Mungu akashughulike na Wezi Wa nchi Hii na wale wanaowalinda wezi .
Wameongeza Tozo kwenye sementi Badala ya kupunguza Matumizi makubwa ya Serikali.
Wameshindwa kuongoza nchi.

Nchi Ina mvua na mito na Maziwa Kila MAHALI halafu wanamwomba Mwarabu awasaidie kutunza mazingira. Hatuna viongozi WENYE maono. Wameshindwa kuongoza nchi .

Ukiuza bandari ZOTE na viwanja vyote Vya nchi na mbuga za wanyama umeua usalama Wa nchi kama kule Kongo.

Kongo waliuza nchi Kwa Ufaransa watawala wao wakawa wanaishi maisha ya starehe na anasa kubwa na Raha za Kila aina wakiwapumbaza wakongoman kuwa maisha ni rahisi na Amani Iko tele.
Mabuto aliamini kuwa Alikua na Jeshi imara sana lakini alisahau kuwa ameuza nchi Kwa Matajiri Wa Ufaransa. Leo Hii nchi ya Kongo haitawaliki karibu miongo miwemili Sasa.

Mama ataacha nchi na kustaafu akiwa Tajiri mkubwa sana na familia yake na marafiki yake.
Lakini atatuachia nchi isiyo na usalama . Nchi itakua kama Nyumba yenye milango wazi.

Kama tunaweza kujitawala ,kuwa na jeshi na Polisi na Magereza na Uhamiaji unaosimamiwa na watanzania wenyewe Kwa asilimia mia moja basi Hata bandari na Maeneo mengine tunaweza kuisimamia wenyewe. Wengine tutawatumia kama Wadau tuu na SIO kuwauzia au kuwapa rasilimali zetu.

Yaani kuisimamia makusanyo ya bandari marafiki ZAKE Rais na makada Wa CCM wameshindwa basi NDIO watanzania Wote wameshindwa.
Wanaajiri na kuteua Wakurugenzi ,maneja, walinzi na mawakala ambao ni Ndugu zao na ndugu zao Kwa kupeana ulaji na fadhila na Sasa wanawatumia kuvusha mizigo Yao bila kulipia ushuru Kisha nchi inakosa mapato wanasingizia Teknolojia na kuwa Sasa Mwarabu atatuletea mizigo mingi. Ujinga mtupu. Makontena yanyolipiwa ushuru hayafuki Hata 40 % halafu utegemee kukusanya fedha kwa kiwango kinachotakiwa?

MAGUFULI Alikua ameshajipanga kusafisha wahuni wote pale Bandarini na alishawekeza pesa nyingi Ili KAZI iwe moja tu kuzuia wahuni kupitisha mizigo bila kulipia ushuru stahiki.
Leo tunataka yaletwe makontena mía Kisha Mwarabu achukue faida yake kinachobaki atugawie. Yale Yale. Hakuna Tofauti na wabongo waliokua wanatuibia kupitia makampuni ya kihuni.

Hii nchi kama MAGUFULI angelemaa na kusikiliza chawa na wahuni Ikulu ya Dodoma isingejengwa . Wahuni wangekuja na bajeti kubwa ya kutisha na wangewaleta Wachina Ili waijenge .
Ingegharimu mabilioni ya pesa Jambo ambalo lingechukua muda Mrefu.
MAGUFULI aliamini sana jeshi letu ambao Kwa uhalisia NDIO Wazalendo. Siku ZOTE Majeshi ndiyo yenye Wazalendo halisi Kwani wanajali zaidi usalama Wa nchi BILA kujali maslahi Yao Tofauti na Wanasiasa .
Jeshi watu hawaendi kwa tamaa kama ilivyo kwenye utawala na siasa. Ingekua kuna mafunzo makali ya kumpata Rais Siamini kuwa waliopata wangepata isipokuwa wale Wazalendo kweli waliotolewa mpaka uhai kwa Kupinga ukoloni na kugawa rasilimali za nchi Kwa Wageni kwa rushwa.

Ni Vema jeshi likakabidhiwa Bandari ZOTE na Kila bandari ikawa inasimamiwa na Bigadier General . Lengo likawa ni moja tu kuisimamia mapato na kuimarisha miundo mbinu.
Ndani ya miaka Mitano nchi Hii ingekua mbali sana . Wazalendo wapo ila wahuni NDIO walioshika mpini Kwa malengo Yao na familia zao. Wanataka wawe wanakwenda kula Bata Dubai na familia zao huku wakiwaacha Wazalendo Wa kweli na familia zao katika mazingira magumu ya kutegemea rushwa na vikoba na kuzikana ki magrupu ya whassap.

Watanzania ni wakati Sasa Wa kuwadhibiti Wanasiasa wasiofaa wanaotumiwa kuuza nchi Kwa manufaa Yao huku wakiwatumia machawa kujitukuza.
 
Shekhe Ponda anataka kujua ukomo wa Mkataba wa Serikali na Kanisa kwenye hospitali zao ni lini, ili serikali itumie ruzuku zile kuboresha hospitali za Serikali?
 
Ndivyo alivyokuwa akijidanganya Rais Chasesku. Alikuja kushangazwa na uamuzi wa mahakama ya kijeshi kuwa yeye na mkewe wanatakiwa kuuawa kwa uhalifu alioutendea umma, na kisha kufuatiwa na maandamano ya umma kuunga mkono maamuzi ya mahakama.

Alishangazwa zaidi na kitendo cha askari ambao siku zote alikuwa akiwapa amri dhidi ya umma, siku hiyo kila mmoja akitaka apewe nafasi ya kutekeleza hukumu ya mahakama dhidi ya Rais, hadi ikalazimu kuchezesha bahati nasibu ili kumpata wa kufyatua risasi ya kuhitimisha ukomo wa maisha ya Chasesku Duniani.

Ukiwa kiongozi jivunie kutekeleza wajibu wako kwa kadiri ya katiba na sheria na siyo kelele za wapambe.

Rais Samia akishupaza shingo kwa sababu ya wapambe nuksi, kuna siku atajuta.
Umesema ukweli mchungu.

Kama tuna jeshi lenye Majenerali Wa Ukweli basi wanapaswa wamwambie ukweli MH Rais kuwa Hii nchi ukiuza bandari ZAKE na Viwanja Vya ndege na mbuga za wanyama na misitu hakika nchi Hii itakua kama Kongo.

Misitu wachukue mawakala Wa Marekani Chini ya Dubai, Mbuga za wanyama wachukue Hao Hao, Viwanja Vya ndege wachukue Hao mawakala Wa Amerika, Misitu wachukue . Sasa huo usalama Wa nchi Utakua wapi?
Yaani NAONA Hawa Wanasiasa wameamua kuuza nchi na kuhamia Dubai na familia zao Ili Huku wakiwaachia askari Wa Majeshi yetu wakati mgumu kiulinzi na kiusalama. Kuna wakati Kiongozi mkuu anajiwekea mazingira ya kulazimishwa kukaa pembeni Kwa mustakabali Mpana na uimara Wa nchi Kwa ajili ya Leo na Kesho ya vizazi vyetu na vyake pia . Lakini kama tutajali mustakabali Wa Samia Kama Samia na familia yake na wapambe wake basi jeshi likae kimya auze bandari ,misitu ,Ardhi, Viwanja Vya ndege,Madini, makaa ya mawe ,gesi , na mbuga za wanyama na Maziwa na mito Yote kwa Wageni mana Hana Imani na uwezo Wa Watanzania na ujuzi wao ikiwemo Majeshi yake yote.Kuuza Sekta Muhimu ya kiusalama Kwa sababu za kisanii za Kukosa Imani na wananchi wote eti wanakula rushwa wakati anaowachagua ni marafiki ZAKE na makada Wa chama chake na SIO watanzania wote ni kulidhalilisha jeshi. Kiufupi anatakiwa afute haraka huo mkataba Wa kuuza Amani na usalama Wa nchi Kwa Wageni.
 
Umesema ukweli mchungu.

Kama tuna jeshi lenye Majenerali Wa Ukweli basi wanapaswa wamwambie ukweli MH Rais kuwa Hii nchi ukiuza bandari ZAKE na Viwanja Vya ndege na mbuga za wanyama na misitu hakika nchi Hii itakua kama Kongo.

Misitu wachukue mawakala Wa Marekani Chini ya Dubai, Mbuga za wanyama wachukue Hao Hao, Viwanja Vya ndege wachukue Hao mawakala Wa Amerika, Misitu wachukue . Sasa huo usalama Wa nchi Utakua wapi?
Yaani NAONA Hawa Wanasiasa wameamua kuuza nchi na kuhamia Dubai na familia zao Ili Huku wakiwaachia askari Wa Majeshi yetu wakati mgumu kiulinzi na kiusalama. Kuna wakati Kiongozi mkuu anajiwekea mazingira ya kulazimishwa kukaa pembeni Kwa mustakabali Mpana na uimara Wa nchi Kwa ajili ya Leo na Kesho ya vizazi vyetu na vyake pia . Lakini kama tutajali mustakabali Wa Samia Kama Samia na familia yake na wapambe wake basi jeshi likae kimya auze bandari ,misitu ,Ardhi, Viwanja Vya ndege,Madini, makaa ya mawe ,gesi , na mbuga za wanyama na Maziwa na mito Yote kwa Wageni mana Hana Imani na uwezo Wa Watanzania na ujuzi wao ikiwemo Majeshi yake yote.Kuuza Sekta Muhimu ya kiusalama Kwa sababu za kisanii za Kukosa Imani na wananchi wote eti wanakula rushwa wakati anaowachagua ni marafiki ZAKE na makada Wa chama chake na SIO watanzania wote ni kulidhalilisha jeshi. Kiufupi anatakiwa afute haraka huo mkataba Wa kuuza Amani na usalama Wa nchi Kwa Wageni.
Bandari inauzwa? Wapi huko wanakouza bandari?

Huu ni mgogoro wa Kidini tu.
Roma wanaona hawatopitisha mizigo yao Bure tena. Na hapo ndipo TEC wanapoleta mzozo. Wataalamu wa mambo tumeshajua undani wa tatizo.
 
Bandari inauzwa? Wapi huko wanakouza bandari?

Huu ni mgogoro wa Kidini tu.
Roma wanaona hawatopitisha mizigo yao Bure tena. Na hapo ndipo TEC wanapoleta mzozo. Wataalamu wa mambo tumeshajua undani wa tatizo.
Mizigo Gani wanayopitisha Roma?
Vigari viwili au vitatu. Tena Siku hizi hakuna misaada Tena watu wanachanga kujenga makanisa Yao.
 
Binafsi huwa nafurahi sana nikisikia kiongozi mkubwa wa bongo au kigogo amekufa maana kimsingi wanatakiwa waishe duniani Ili bongo inyanyuke kiuchumi, mijitu haishibi tangu uhuru! Badala ya kujenga flyovers, reli, madaraja, vivuko, mashule, hospitali na Barabara za lami kuondoa mavumbi yanayotimka nchi nzima viongozi wao ni kununua mashangingi tu na safari za nje zisizokwisha! Mimi naamini viongozi wa bongo wanapokufa ni faida kwa taifa!

Hili la bandari ni kaa la moto, nani kawaambia raia tunataka maendeleo tukiwa watumwa? Binafsi nawasihi sirikali ikubali kutema bungo , wakilazimisha kutekeleza Mkataba dawa ni Raia kuhamasishana na kutohudhuria mikutano Yao na kuwazomea wakati wa ziarani zao na kampeni!

But ofcourse hakimu Mkuu Almighty God anawasubiri mabeberu hawa na wakifa tukiwa hai tuombe Mungu waende straight Jehannam inshallah maana si kwa wizi huu grade one wa waarabu, Bimkubwa tunakupenda ila katika hili la Bandari wasomi tunasema HAPANA
 
Wakivaa condom zipasuke waambukizwe kaswende

Wakilala waote wanachinjwa na waarabu ma gaidi wenzao

Wakienda chooni waharishe mpaka damu.

Wakijikwaa waangukie midogo meno yang'oke wawe vibogoyo

Wakituma hela kwa mpesa wakosee namba na aliyetumiwa aitoe fasta
🤣
 
Uraiani wapi huko acha uongo mzee.
Wewe watanzania wa wapi ulipowakuta wanapinga ukodishaji wa bandari?!!!! Zaidi ya vitanzania vichache vya humu jf vinavyojitahidi kushusha threads asubuhi, mchana na jioni na vimawakili vyao vya mchongo vikiongozwa na kina lissu kuna nani wengine?!! Raia huku mtaani wamegoma kabisaaa kusikiliza upotoshaji wenu!! Fanya uchunguzi tu mzee ujionee.
 
Binafsi huwa nafurahi sana nikisikia kiongozi mkubwa wa bongo au kigogo amekufa maana kimsingi wanatakiwa waishe duniani Ili bongo inyanyuke kiuchumi, mijitu haishibi tangu uhuru! Badala ya kujenga flyovers, reli, madaraja, vivuko, mashule, hospitali na Barabara za lami kuondoa mavumbi yanayotimka nchi nzima viongozi wao ni kununua mashangingi tu na safari za nje zisizokwisha! Mimi naamini viongozi wa bongo wanapokufa ni faida kwa taifa!

Hili la bandari ni kaa la moto, nani kawaambia raia tunataka maendeleo tukiwa watumwa? Binafsi nawasihi sirikali ikubali kutema bungo , wakilazimisha kutekeleza Mkataba dawa ni Raia kuhamasishana na kutohudhuria mikutano Yao na kuwazomea wakati wa ziarani zao na kampeni!

But ofcourse hakimu Mkuu Almighty God anawasubiri mabeberu hawa na wakifa tukiwa hai tuombe Mungu waende straight Jehannam inshallah maana si kwa wizi huu grade one wa waarabu, Bimkubwa tunakupenda ila katika hili la Bandari wasomi tunasema HAPANA
Umefanya vizuri kumtaja Mungu na hukumu zake kwa waovu; nikukumbushe tu umesahau kuwataja waovu wakubwa na wanaochukiwa na Mwenyezi Mungu wanaoitwa 'wanafiki'. Hawa sifa yao kuu ni uongo na uzushi........wakumbushe kuwa watakuwa kuni motoni
 
Wewe watanzania wa wapi ulipowakuta wanapinga ukodishaji wa bandari?!!!! Zaidi ya vitanzania vichache vya humu jf vinavyojitahidi kushusha threads asubuhi, mchana na jioni na vimawakili vyao vya mchongo vikiongozwa na kina lissu kuna nani wengine?!! Raia huku mtaani wamegoma kabisaaa kusikiliza upotoshaji wenu!! Fanya uchunguzi tu mzee ujionee.
Itakuwa huishi Tanzania wewe
 
Back
Top Bottom