Kuhusu umeme tumuamini nani? Maharage au Byabato? Kuna namna hapa

Kuhusu umeme tumuamini nani? Maharage au Byabato? Kuna namna hapa

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Huyu ni Maharage.
Screenshot_20221120-151025.jpg

Huyu ni Byabato
Screenshot_20221120-150937.jpg
 
Wizara ya waongo na walaji utaanzaje kuona huyu ni nafuu na huyu hivi..!?

Tukubaliane kwamba, hakuna hata wa kumwamini tangu waziri mpaka kiongozi wa mwisho kabisa...!

Wote ni wale wale, hakuna wa kusikilizwa asemacho!
 
Wizara ya waongo na walaji utaanzaje kuona huyu ni nafuu na huyu hivi..!?

Tukubaliane kwamba, hakuna hata wa kumwamini tangu waziri mpaka kiongozi wa mwisho kabisa...!

Wote ni wale wale, hakuna wa kusikilizwa asemacho!
Makamba alituambia tuna ziada ya Mw 1400
 
Back
Top Bottom