Kuhusu utaratibu Brigedia Jenerali na Kamishna Jenerali

Kuhusu utaratibu Brigedia Jenerali na Kamishna Jenerali

Sheria ya nchi kupitia kanuni ya Adhabu (penal code) Tayari imewalinganisha hao askari katika mamlaka Sheria hiyo ni ya bunge sheria yeyote ikipingana na sheria ya bunge basi sheria hiyo haitatumia sasa Penal code imefafanua kupitia kifungu hiki. 77. Any magistrate or, in his absence, any police officer of or
above the rank of inspector» or any commissioned officer in the
military forces of the United Republic, in whose view twelve or
more persons are riotously assembled, or who apprehends that a
riot is about to be committed by twelve or more persons assembled
within his view, may make or cause to be made a proclamation
in the president's name, in such form as he thinks fit, commanding
the rioters or persons so assembled to disperse peaceably

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo hajitambui,JWTZ maafisa wake wanaanza kupewa kamisheni(commissioned officer) kuanzia nyota moja(Luteni Usu).Kwa idara zingine kama Polisi,Magereza,Uhamiaji na Zimamoto wanaanzia nyota tatu (mrakibu msaidizi wa polisi au kwa kifupi ASP katika lugha ya kiingereza).Wenye kamisheni wote wanawajibika kwa Rais moja kwa moja.

Ulinganifu ni huu kwa maafisa wenye kamisheni(wanaowajibika kwa rais):
JWTZ Vs. POLISI
Jenerali(Gen). - -----------(neal)

Luteni jenerali. - ------(neeal)
Meja jenerali. - IGP(mkuu wa polisi)
Bregadia jen. - Kamishina wa polisi

Kanali(col). - Naibu kamishina(DCP)

Luteni kanali - kamishina msaidizi mwandamizi(SACP).
Meja - Kamishina msaidizi (ACP).

Kapteni - Mrakibu mwandamizi(SSP)
Luteni. - Mrakibu wa polisi(SP)
Luteni usu - Mrakibu msaidizi (ASP)

NB:
Maafisa wenye kamisheni katika JWTZ wananzia nyota moja(luteni usu),na polisi,magereza,uhamiaji na zimamoto ni kuanzia nyota ya tatu(ASP au ASI Kwa uhamiaji na ASF kwa zimamoto).

Kwa hiyo hao ndio maofisa wanaowajibika kwa rais na viapo vyao viko tofauti na askari wengine.

Mkuuu acha kupotosha uma. rejea rank insgnia zilizokua zikitumiwa zaman kabla ya mabadiliko zilikua znafanana. IGP ni ekwivarent kwa lt gen. Hata majina yanaendana inspekta jenero huku luteni jenerali. Enzi izo kabla ya insgnia mpya za jwtz na TPF walikua wakivaa sawa na IGP alivaa insgnia sawa na LT GEN. Rejea kiambatanisho kwa rahis ya rejea. NB kamisheni haina lolote katika ulinganifu wa vyeo.
IMG_4847.JPG
nawasilisha kwa hatua zako.



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mkuuu acha kupotosha uma. rejea rank insgnia zilizokua zikitumiwa zaman kabla ya mabadiliko zilikua znafanana. IGP ni ekwivarent kwa lt gen. Hata majina yanaendana inspekta jenero huku luteni jenerali. Enzi izo kabla ya insgnia mpya za jwtz na TPF walikua wakivaa sawa na IGP alivaa insgnia sawa na LT GEN. Rejea kiambatanisho kwa rahis ya rejea. NB kamisheni haina lolote katika ulinganifu wa vyeo. View attachment 1355221nawasilisha kwa hatua zako.



Sent from my iPhone using JamiiForums

IMG_4848.JPG

Katika miaka ya nyuma brigedia hakua jenerali alikua ni just brigedia ambae ni ekwivalent to SACP (shana). Tofaut ni kua brigedia ni jenero sacp sio genero.(rejea Gorget/patche wanazovaa kene kola ya shati. Ikiwa na tawi huyo ni genero na ni sawa na jenero yeyote duniani. ) ACP ni sawa na Col. maanawanavaa Gorget znavofanana. Pia rejea insgnia ya col. na ACP katika kiambatanisho.

Asante



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Sheria ya nchi kupitia kanuni ya Adhabu (penal code) Tayari imewalinganisha hao askari katika mamlaka Sheria hiyo ni ya bunge sheria yeyote ikipingana na sheria ya bunge basi sheria hiyo haitatumia sasa Penal code imefafanua kupitia kifungu hiki. 77. Any magistrate or, in his absence, any police officer of or
above the rank of inspector» or any commissioned officer in the
military forces of the United Republic, in whose view twelve or
more persons are riotously assembled, or who apprehends that a
riot is about to be committed by twelve or more persons assembled
within his view, may make or cause to be made a proclamation
in the president's name, in such form as he thinks fit, commanding
the rioters or persons so assembled to disperse peaceably

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuuu naunga mkono hoja. Kapata kamishen sio ww ndo bora. Lt. na inspekta ni kitu kimoja mambo ya kamisheni ni utaratibu wa utendaji majukumu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Sheria ya nchi kupitia kanuni ya Adhabu (penal code) Tayari imewalinganisha hao askari katika mamlaka Sheria hiyo ni ya bunge sheria yeyote ikipingana na sheria ya bunge basi sheria hiyo haitatumia sasa Penal code imefafanua kupitia kifungu hiki. 77. Any magistrate or, in his absence, any police officer of or
above the rank of inspector» or any commissioned officer in the
military forces of the United Republic, in whose view twelve or
more persons are riotously assembled, or who apprehends that a
riot is about to be committed by twelve or more persons assembled
within his view, may make or cause to be made a proclamation
in the president's name, in such form as he thinks fit, commanding
the rioters or persons so assembled to disperse peaceably

Sent using Jamii Forums mobile app
Katika mijadala yote ya kijeshi humu kuhusu vyeo mpwa ndio umemaliza atakae kuja kukupinga kwa maandiko haya akalete maandiko yake

kilicho akilini kitumie
 
View attachment 1355225
Katika miaka ya nyuma brigedia hakua jenerali alikua ni just brigedia ambae ni ekwivalent to SACP (shana). Tofaut ni kua brigedia ni jenero sacp sio genero.(rejea Gorget/patche wanazovaa kene kola ya shati. Ikiwa na tawi huyo ni genero na ni sawa na jenero yeyote duniani. ) ACP ni sawa na Col. maanawanavaa Gorget znavofanana. Pia rejea insgnia ya col. na ACP katika kiambatanisho.

Asante



Sent from my iPhone using JamiiForums
[/QUOTE



Eti zamani bregadia hakuwa jenerali hivi unajitambua au?Umekuja kwa kasi kumbe huna hoja.Hivi unajua hata uvaaji wa vyeo ngao ya taifa (bibi na bwana) katika polisi wanaanza kuivaa kuanzia cheo gani?Na jeshi ni cheo gani wanaanza kuivaa?Eti kamisheni kitu gani? Unajua maaana yake?

Kukusaidia ngao ya taifa polisi anaanza kuivaa kuanzia ACP.Anavaa ikiwa na ngao ambayo yenye bendera ambayo haina bibi na bwana ambayo pia haina pembe za ndovu.Kumbuka hiyo ngao Polisi anaanza kuivaa ikiwa kavu yaani cheo cha mrakibu wa polisi (SP).Baada ya hapo akipanda cheo inaongezeka nyota moja(SSP).Cheo kikipanda ndio inaongezeka ngao kamili ya taifa yenye bibi na bwana(ACP).Unafikiri vyeo vya jeshi ni kama pipi kila mtu anaweza kuimung'unya hata mtoto mdogo.Sisi jeshi letu linafuata mfumo wa uingereza.

Na hata vyeo vya jeshi dunia ni vimoja tofauti ni zile alama tu.Nchi zingine wanafuata mfumo ule ule wa zamani,bregadia jenerali wa jeshi anavaa ngao ya taifa(coat of arms) ikiwa na nyota tatu.

Unajua hata zile alama za mapanga(x) wanazoanza kuvaa majenerali wa jeshi kuanzia bregadia,katika polisi,magereza,uhamiaji na zimamoto ni cheo gani wanaanza kuivaa?
Jibu ni kuanzia kamishina wa polisi.Ili hali katika idara zingine anaitwa kamishina jenerali.Na anakuwa mmoja tu.

Hata idara ya polisi Uganda aliteuliwa mtu kutoka jeshi la ulinzi (UPDF) akiwa na cheo cha meja jenelari akiitwa Kale Kaihula.

Vyeo vya jeshi vinaendana na majukumu pamoja idadi ya askari ambayo afisa anawaongoza.

Na ndio maana hata zilizoendelea idara kama ya fire huitwa Fire brigade.

Hujajiuliza kwanini polisi baada cheo stafu sajenti kinachofuata ni sub inspector wakati katika jeshi kuna baada ya hapo kuna afisa mteule daraja la pili(2nd WO na 1st WO) au tumezoea mtaani kuwaita Sir Major au kolokolo kutokana na vile wanavyovaa zile nembo kama saa katika mkono wa kulia.

Na unajua majukumu yao ni nini hao RSM (Sir Major)katika jeshi?

Na huyo IGP anapokutana na luteni jenerali nani ananza kumpa saluti mwingine?
Na huyo huyo IGP anapokea saluti kutoka kwa makamishina jenerali wa Fire,magereza na Uhamiaji!

Polisi ni kama kamandi ya JKT tu.Ndugu unajua utawala kijeshi ulivyo?Ndio maana Luteni usu wa jeshi hawezi kumpa salute ispekta wa polisi au mrakibu msaidizi (ASP) sio kwamba ni wajeuri kama tulivyo kalili mtaani.

Labda private wa jeshi anaweza kumpa saluti askari polisi mwenye nyota mbili napo kwa sababu hawajui maswala ya utawala.Lakini alitakiwa kumbania mikono tu.Wanajua huwa hawatoi saluti ya kuweka mkono pembeni ya kichwa,na ndio huitwa wanadharau.
 
Mkuuu naunga mkono hoja. Kapata kamishen sio ww ndo bora. Lt. na inspekta ni kitu kimoja mambo ya kamisheni ni utaratibu wa utendaji majukumu


Sent from my iPhone using JamiiForums
Ume mnukuu KOLOKOLONI,na kuunga mkono hicho kifungu umesoma vizuri ujue tafsiri yake?Naanza na huu mstari kunukuu "any police officer of or above the rank of INSPECTOR".or any commissioned officer in the military forces of the united republic"Nimemaliza,sasa jiulize na utafakari "above the rank inspector" ni nani?Jibu ni kuanzia polisi mwenye nyota tatu(ASP) na kuendelea.Sasa katika military forces afisa mwenye kamisheni ni kuanzia nyota moja.

Chambilecho waswahili,'akili za kuambiwa changanya na zako".

Hiyo quote niliyokujibu hapo juu nenda Ku -expand kuna maelezo mengi nimekupa kukusaidia wewe na wengine,huwa sipendi maelezo mengi kuyaandika.

Asante.
 
Katika mijadala yote ya kijeshi humu kuhusu vyeo mpwa ndio umemaliza atakae kuja kukupinga kwa maandiko haya akalete maandiko yake

kilicho akilini kitumie
Kabisa ndugu tena watafute na wanasheria wa kutafsiri maana sheria ina ufundi wake wa kuandika na kuzingatia nukta,koma n.k.
 
Ume mnukuu KOLOKOLONI,na kuunga mkono hicho kifungu umesoma vizuri ujue tafsiri yake?Naanza na huu mstari kunukuu "any police officer of or above the rank of INSPECTOR".or any commissioned officer in the military forces of the united republic"Nimemaliza,sasa jiulize na utafakari "above the rank inspector" ni nani?Jibu ni kuanzia polisi mwenye nyota tatu(ASP) na kuendelea.Sasa katika military forces afisa mwenye kamisheni ni kuanzia nyota moja.

Chambilecho waswahili,'akili za kuambiwa changanya na zako".

Hiyo quote niliyokujibu hapo juu nenda Ku -expand kuna maelezo mengi nimekupa kukusaidia wewe na wengine,huwa sipendi maelezo mengi kuyaandika.

Asante.
Wew ndio hukuelewa hzo or ,of,any wakat gani na mahali gani hutumika na kwa maana ipi

kilicho akilini kitumie
 
Ndugu comrade huo ulinganifu umeutoa kwenye muongozo upi? tafadhali nijulishe. Lakini nakushauri usome Police general order kuhusu vyeo na seniority utapata mwanga mkubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe kweli una busara na una lengo la kujifunza.Kulingana na mafunzo yanayotolewa na kifungu kilichotajwa na KOLOKOKOLONI pia rejea ibara ya 148 ya katiba tuliyonayo sasa.
 
Huyo hajitambui,JWTZ maafisa wake wanaanza kupewa kamisheni(commissioned officer) kuanzia nyota moja(Luteni Usu).Kwa idara zingine kama Polisi,Magereza,Uhamiaji na Zimamoto wanaanzia nyota tatu (mrakibu msaidizi wa polisi au kwa kifupi ASP katika lugha ya kiingereza).Wenye kamisheni wote wanawajibika kwa Rais moja kwa moja.

Ulinganifu ni huu kwa maafisa wenye kamisheni(wanaowajibika kwa rais):
JWTZ Vs. POLISI
Jenerali(Gen). - -----------(neal)

Luteni jenerali. - ------(neeal)
Meja jenerali. - IGP(mkuu wa polisi)
Bregadia jen. - Kamishina wa polisi

Kanali(col). - Naibu kamishina(DCP)

Luteni kanali - kamishina msaidizi mwandamizi(SACP).
Meja - Kamishina msaidizi (ACP).

Kapteni - Mrakibu mwandamizi(SSP)
Luteni. - Mrakibu wa polisi(SP)
Luteni usu - Mrakibu msaidizi (ASP)

NB:
Maafisa wenye kamisheni katika JWTZ wananzia nyota moja(luteni usu),na polisi,magereza,uhamiaji na zimamoto ni kuanzia nyota ya tatu(ASP au ASI Kwa uhamiaji na ASF kwa zimamoto).

Kwa hiyo hao ndio maofisa wanaowajibika kwa rais na viapo vyao viko tofauti na askari wengine.
Umekula maharage ya wapi wewe!!

Kuanzia IGP akawa meja General

IGP ni Inspector General siyo Meja General

Acha upotoshaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umekula maharage ya wapi wewe!!

Kuanzia IGP akawa meja General

IGP ni Inspector General siyo Meja General

Acha upotoshaji

Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo umemaliza shule!!!unaelewa nilicho andika?Hivi hata mitihani huwa unasoma maelekezo kabla hujajibu!?Au umeiba simu ya shemeji yako ili uingie jamii forum?
 
77. Hakimu yeyote au, kama hayupo, afisa wa polisi wa au aliye juu ya
cheo cha mkaguzi au akida wa jeshi la vita la Jamhuri ya Muungano,
atakayeona watu kumi na mbili au zaidi wamekusanyika kwa ajili ya
ghasia ana wasiwasi kuwa ghasia inataka kufanywa na watu kumi na mbili
au zaidi, au anaweza kutoa au kutolesha ilani kwa jina la Rais, kwa namna
atakayoona yafaa, kuwaamrisha wafanyaji ghasia hao au watu
waliokusanyika watawanyike kwa amani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji28][emoji1][emoji2]🤣[emoji16][emoji16]
Mtauana Bure Kuhusu Awamu Hii Ya Tano
Kuna Mengi Bado Hamjayajua Tulieni
Wengine Wanapewa Vyeo Kwa Parade Safi
Wengine Wanapewa Vyeo Wamekaa Kwenye Viti

Nawakumbusha Maafisa Wa Tanapa [emoji1][emoji28][emoji2][emoji16]
Vyeo vya Tanapa ni Ceremonial tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
77. Hakimu yeyote au, kama hayupo, afisa wa polisi wa au aliye juu ya
cheo cha mkaguzi au akida wa jeshi la vita la Jamhuri ya Muungano,
atakayeona watu kumi na mbili au zaidi wamekusanyika kwa ajili ya
ghasia ana wasiwasi kuwa ghasia inataka kufanywa na watu kumi na mbili
au zaidi, au anaweza kutoa au kutolesha ilani kwa jina la Rais, kwa namna
atakayoona yafaa, kuwaamrisha wafanyaji ghasia hao au watu
waliokusanyika watawanyike kwa amani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umemaliza ndugu na asomaye afahamu!
 
Back
Top Bottom