Mbishi 4 real
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 640
- 651
Habari za jioni waungwana
Nilikua naomba kuuliza kuhusu hii Value Retention Fee ambayo ilikua inatozwa kwenye mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu
Kulingana na tamko la muheshimiwa Rais kwamba hii tozo imefutwa rasmi, lakini sasa nashindwa kujua je kwa wale ambao washaongezewa mzigo wa deni kutokana na hii tozo madeni yao yatapungua baada ya mahesabu kufanyika upya au watalipa deni halali pamoja na VRF ?
Kwa wale wanaojua utaratibu utakaotumika naomba mnijuze
Nilikua naomba kuuliza kuhusu hii Value Retention Fee ambayo ilikua inatozwa kwenye mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu
Kulingana na tamko la muheshimiwa Rais kwamba hii tozo imefutwa rasmi, lakini sasa nashindwa kujua je kwa wale ambao washaongezewa mzigo wa deni kutokana na hii tozo madeni yao yatapungua baada ya mahesabu kufanyika upya au watalipa deni halali pamoja na VRF ?
Kwa wale wanaojua utaratibu utakaotumika naomba mnijuze