Kuhusu walimu kupanda madaraja kwa Mseleleko

Kuhusu walimu kupanda madaraja kwa Mseleleko

Katibu wa CWT amesema uongo. Amewadanganya walimu kwa maslahi yake binafsi. Hii habari ya kupanda madaraja kwa mserereko haipo. Hakuna kitu kama hicho. Kama kuna mtu anabisha basi asuburi ataniambia. Uzuri ni kwamba huu uzi unaishi. Deus Seif amesema uongo,na Walimu kama wangekuwa serious hii kauli ya Seif ndiyo ilikuwa kitanzi chake cha kumfutilia mbali kwenye chama kwa sababu amewadanganya walimu na kuwajaza matumaini ambayo hayapo.
 
Katibu wa CWT amesema uongo. Amewadanganya walimu kwa maslahi yake binafsi. Hii habari ya kupanda madaraja kwa mserereko haipo. Hakuna kitu kama hicho. Kama kuna mtu anabisha basi asuburi ataniambia. Uzuri ni kwamba huu uzi unaishi. Deus Seif amesema uongo,na Walimu kama wangekuwa serious hii kauli ya Seif ndiyo ilikuwa kitanzi chake cha kumfutilia mbali kwenye chama kwa sababu amewadanganya walimu na kuwajaza matumaini ambayo hayapo.
Uzuri ni kuwa UZI huu utadumu kama katibu CWT taifa amedanganya muda utasema.
 
Kwanza nichukue fursa hii kuipongeza serikali ya mhe Samia Suruhu Hassan kwa kujali na kusikiliza kero mbalimbali za walimu.Lakini pia nikipongeze Chama Cha walimu Tanzania CWT kwa yale mliyoafikiana na serikali.

Hoja yangu ni hii CWT imesema serikali imeridhia kuwapa madaraja ya Mseleleko walimu takribani elfu 50,hawa ni wale waliopaswa kupanda madaraja 2016/2017, ni jambo jema na la kupongezwa.

Lakini serikali na CWT wasisahau kuna walimu waliopaswa kupanda madaraja mwaka 2018 hawakupanda badala yake walikuja kupandishwa mwaka 2021, yaani takribani miaka Saba wametumikia cheo kimoja mfano halisi ni watu waliopanda daraja mwaka 2015 mara ya mwisho wamekuja kupandishwa tena mwaka 2021.

Kwa maoni yangu CWT na Serikali wanapaswa kuwajali watumishi hao pia.
Wako pia walipewa barua 2016 wakala mshahara wa miezi miwili kisha wakashushwa wakaja kupanda 2017 hao nao watahusika na mserereko?
Nchi ngumu hii
 
Kuna mdau humu kipindi anachangia post hii kasema Katibu wa CWT taifa ndugu Desu Seif amedanganya hakutakuwa na madaraja ya Mseleleko.Mimi nasema tusubili tuone maana Muda utasema Ukweli na subira ya vuta hari.
 
Kuna mdau humu kipindi anachangia post hii kasema Katibu wa CWT taifa ndugu Desu Seif amedanganya hakutakuwa na madaraja ya Mseleleko.Mimi nasema tusubili tuone maana Muda utasema Ukweli na subira ya vuta hari.
Kwani mkuu hao wa daraja mserereko unaowazungumzia ni wale waliotakiwa kupanda 2017 ila badala yake wakapanda 2019?
 
Watumishi wengine kwa mfano idara ya afya halmshauri fulani wao wameambiwa kuwa watapanda .Maafisa utumishi wamejenga hoja kwa katibu mkuu utumishi watu hao walidhurumiwa hivyo wamepewa kibari
Wanapanda madaraja mwezi gan?
 
Kwani mkuu hao wa daraja mserereko unaowazungumzia ni wale waliotakiwa kupanda 2017 ila badala yake wakapanda 2019?
hakuna mtu mwenye uhakika ni mtumishi yupi anastahili kupanda madaraja ya mserereko kila mmoja anahisi tu.
 
Kwanza nichukue fursa hii kuipongeza serikali ya mhe Samia Suruhu Hassan kwa kujali na kusikiliza kero mbalimbali za walimu.Lakini pia nikipongeze Chama Cha walimu Tanzania CWT kwa yale mliyoafikiana na serikali.

Hoja yangu ni hii CWT imesema serikali imeridhia kuwapa madaraja ya Mseleleko walimu takribani elfu 50,hawa ni wale waliopaswa kupanda madaraja 2016/2017, ni jambo jema na la kupongezwa.

Lakini serikali na CWT wasisahau kuna walimu waliopaswa kupanda madaraja mwaka 2018 hawakupanda badala yake walikuja kupandishwa mwaka 2021, yaani takribani miaka Saba wametumikia cheo kimoja mfano halisi ni watu waliopanda daraja mwaka 2015 mara ya mwisho wamekuja kupandishwa tena mwaka 2021.

Kwa maoni yangu CWT na Serikali wanapaswa kuwajali watumishi hao
Mama huwa anapitia Mitando ya Kijamii atalichukua hili kwa uzito maalumu na kuwakabidhi wasaidizi wake.
 
Mtoa mada ni mwenye kujali haki! Kama serikali ni ya haki basi itende haki!
 
Juzi Jenister ameongea. Nani amemsikia akitaja habari za mserereko?Katibu wa CWT ajiandae kuondoka kwa kashfa ya kuwadanganya Walimu.
 
Juzi Jenister ameongea. Nani amemsikia akitaja habari za mserereko?Katibu wa CWT ajiandae kuondoka kwa kashfa ya kuwadanganya Walimu.
Walimu mnatumika sana..na wameshawaona kama mazuzu vile..na tarehe moja mtavaa sare zenu na kuimba mapambio mbele ya chief hangaya.

#MaendeleoHayanaChama
 
May mosi imekaribia tunataka kuona madaraja ya Mseleleko Uzi huu uko live
 
Juzi Jenister ameongea. Nani amemsikia akitaja habari za mserereko?Katibu wa CWT ajiandae kuondoka kwa kashfa ya kuwadanganya Walimu.
Hapo sasa atapata aibu kibwa
 
Intake ya 2012 imepanda daraja 2016 ikapokonyonywa baada ya miezi miwili,ikapanda 2017
Intake ya 2013 imepanda daraja 2019
Intake 2014 imependa daraja na ya 2015 mwaka 2020
Kupanda daraja/cheo kwenye ualimu ni hisani/zawadi pale mwajiri atakapojisikia,hii inashusha morali ya uwajibikaji.
Uliyemtangulia kwenye ajira 1_2years unalingana nae cheo au mnapata cheo kwa wakati mmoja hii sio sawa,inakatisha tamaa na kudharau seniority maofisini,aliyetumikia serikali 2yrs atafananaje na aliyemuacha kitaa miaka miwili nyuma![emoji24]
Mchawi wa elimu yetu ni Sera,miundombinu/mazingira inapotolewa elimu na maslahi duni kwenye kada ya ualimu.
 
Back
Top Bottom