Kuhusu Wasichana wa Arusha

Kuhusu Wasichana wa Arusha

Usione vya ng'aa ukadhani ni dhahabu; bar nyingi Arusha counter wanaweka wanawake na kuna utaratibu wa kupokezana; huenda uko counter na Bar woman aliyeko OFF
 
Vijana sijui tunakwama wapi sikuhizi imefikia hatua hadi kupiga madem Sound tuombe Verse JF. Ukishampata pia namna ya Kujigjig pia utaomba Style JF, Lodge JF na mwishowe ukiishiwa nguvu utaomba Vumbi la Mkongo hapa hapa JF yaaani ndio maaana wazeee akina MZEE Mengi RIP wanakula mabinti wabichi kama KLYN na nyinyi mnaishia kulalamika kila kitu.
Mwanaume komaaaa mpaka kieleweke
Hahaaa...

Mwisho wa siku Klyn ndio mshindi japo ushauri wako unazingatiwa mkuu...

R.I.P Mengi.....
 
Usione vya ng'aa ukadhani ni dhahabu; bar nyingi Arusha counter wanaweka wanawake na kuna utaratibu wa kupokezana; huenda uko counter na Bar woman aliyeko OFF
Ohooooo.......
 
Kuna vitu vingi sielewi kuhusu mademu wa Arusha.

Hawa mademu wa Arusha wanashida gani?

Nipo nakunywa kaunta hapa Kuna demu ndio yupo kaunta. Nimemchombeza kidogo kajimwambafy kinoma na kaniwekea clip fulani ya kibabe sana hata sielewi anataka kunionesha nini aisee.

Huku kujiamini kunatokana na nini hasa?

Msubaaaa?

Naomba wenye uzoefu na Arusha na mademu wa Arusha wanisaidie ikiwemo kunipa tahadhari kuhusu DOs and DONTs.

AHSANTENI KWA BUSARA.
Ukizubaa anakushughulikia kwa Dildo mchana peupe. Sema mademu wa Chuga wachafu asee
 
Niliwahi kula tomboy mmoja hapo chuga alikuwa amefuga dreedi...anakaa amevaa mizula...alikuwa mtamu aiseee
 
Niliwahi kula tomboy mmoja hapo chuga alikuwa amefuga dreedi...anakaa amevaa mizula...alikuwa mtamu aiseee
Hakuna watu wagumu kuchapika kama TomBoy yaaani hata mlo wenyewe utatumia zaidi Masikhara na Ubabe kiasi vinginevyo utaishia kuzinguliwa daily. All in all utom Boy utamwisha akishabeba ujauzito ndio inakuwa bae bae maaana hakuna Nguo ya Mimba ya matom boy lazima avae Tenety au della.
 
Komaa nae ukifanikiwa kumpata wanakuwa-ga watamu kinoma hasa ukute kashakula weed aaah! utaukubali muziki wake
Wananuka midomo kinyama. Demu gani huwez hata kula mate.. bangi zinafanya wanuke midomo
 
Back
Top Bottom