Kuibuka kwa bodaboda wazee, kijana unajifunza nini?

Kuibuka kwa bodaboda wazee, kijana unajifunza nini?

Bodaboda ni kazi kama kazi nyingine mbona huongelei walimu na madaktari wazee, siajabu hako kasalari kako unakoingiza hakafikii kipato cha huyo mzee
Character assassination kama kawaida , jadiri hoja achana na mtoa mada.
 
U
Habari!

Binafsi ninapomwona bodaboda mtu mzima mwenye miaka 50-60 napata mshituko kidogo na kuanza kuiogopa kesho yangu.

Najiuliza maswali yafuatayo;

1. Kayumba ukumbwani mpaka kaamua kuingia kwenye kazi za vijana wanaoishi vijiweni kutwakutwa kwa utani na matusi?
2. Atafanya hiyo kazi mpaka lini, na siku akiacha ataenda kufanya kazi gani?
3. Je, Mimi nikiyumba uzeeni nitafanya kazi gani?

NJE YA MADA

Vijana tijifunze kuwekeza kwenye shughuli ambazo zitaleta matunda baadaye na si kuangalia leo tu.
Umewaza vyema wapo watakaopinga na wapo watakao support ni kawaida hatufananai.
 
Bodaboda ni kazi kama kazi nyingine mbona huongelei walimu na madaktari wazee, siajabu hako kasalari kako unakoingiza hakafikii kipato cha huyo mzee
... ni sawa ila kuna kundi fulani lina-fit zaidi kwenye hiyo kazi. Ni sawa na una 35+ uka-apply kazi ya jeshi au polisi; automatically at that age ni unfit. Kuna kazi nyingi duniani umri ni kigezo muhimu.
 
Habari!

Binafsi ninapomwona bodaboda mtu mzima mwenye miaka 50-60 napata mshituko kidogo na kuanza kuiogopa kesho yangu.

Najiuliza maswali yafuatayo;

1. Kayumba ukumbwani mpaka kaamua kuingia kwenye kazi za vijana wanaoishi vijiweni kutwakutwa kwa utani na matusi?
2. Atafanya hiyo kazi mpaka lini, na siku akiacha ataenda kufanya kazi gani?
3. Je, Mimi nikiyumba uzeeni nitafanya kazi gani?

NJE YA MADA

Vijana tijifunze kuwekeza kwenye shughuli ambazo zitaleta matunda baadaye na si kuangalia leo tu.
Ukiwa na mawazo mafupi lazima uingia road ukawe panyabuku. Wazee kama hao ni wale walioona maeneo nje miji bei affordable wakang'ania cheap Life.

Mathalani. Ukitoka nje ya mji ukanunua maeneo, ukaweka kijibanda vyumba viwili ukaanzisha mifugo, kuku, mbuzi nk kilimo Cha hapa na pale.utaingiaje road Kupiga pachuu??

Makosa mengine tunayaanzia mbali Sana. Kila jambo litakupa jibu uzeeni. Nashamgaa Sana. Hata kwenye siasa. Wazee kwenye siasa. Wamekosa kuwekeza, ukikuta Mzee mbishi kwenye politics amekuwa mpigaji na ufujaji. Mzee kama Pinda PM mstaafu analima, anafuga,Makamba na maneno yake, Mzee wetu anafuga nk hutawakuta kwenye siasa. Angalia kina kitila mkumbo, Tena profrsa. Jamani hakikisha umesoma, hujasoma unawekeza kwenye kesho yako uzeeni. Mifanomichache tu hiyo lkn IPO mingi. Tujifunze
 
Ukiwa na mawazo mafupi lazima uingia road ukawe panyabuku. Wazee kama hao ni wale walioona maeneo nje miji bei affordable wakang'ania cheap Life.

Mathalani. Ukitoka nje ya mji ukanunua maeneo, ukaweka kijibanda vyumba viwili ukaanzisha mifugo, kuku, mbuzi nk kilimo Cha hapa na pale.utaingiaje road Kupiga pachuu??

Makosa mengine tunayaanzia mbali Sana. Kila jambo litakupa jibu uzeeni. Nashamgaa Sana. Hata kwenye siasa. Wazee kwenye siasa. Wamekosa kuwekeza, ukikuta Mzee mbishi kwenye politics amekuwa mpigaji na ufujaji. Mzee kama Pinda PM mstaafu analima, anafuga,Makamba na maneno yake, Mzee wetu anafuga nk hutawakuta kwenye siasa. Angalia kina kitila mkumbo, Tena profrsa. Jamani hakikisha umesoma, hujasoma unawekeza kwenye kesho yako uzeeni. Mifanomichache tu hiyo lkn IPO mingi. Tujifunze
Kuna watu wanaleta ubishi kwenye huu Uzi.
Kutoka kwenye bodaboda wazee wao wamekuja kujumuisha kazi mzima ya bodaboda.
Hivi ni kweli kuna mtu humu atafurahi siku baba yake mzazi akimwambia mwanangu ninunulie pikipiki niwe bodaboda?
 
... ni sawa ila kuna kundi fulani lina-fit zaidi kwenye hiyo kazi. Ni sawa na una 35+ uka-apply kazi ya jeshi au polisi; automatically at that age ni unfit. Kuna kazi nyingi duniani umri ni kigezo muhimu.
Kila kitu kinatengemea ume spendi vipi. Hata hao bodaboda wengi wanajenga ingawa Jenga yao ni ya vyumba viwili tu. Tena choo Cha shimo. Usisahau ni wanaujua kuwekeza.

Kwa kuongezea katika boda Kuna makundi mengi Sana yamezaliwa. Wapo walevi wao wakipata tu kunywa. Hata akikuhudumia usafiri utajua tu anaharufu ya pombe.

Wengine ni Malaya, sisi sote tunagegeda lkn wao akimuona mkeo, mdg Ako, mama aako, meanafunz akamtamani atamla tu.

Wezi, bodaboda sio wote, wengine wameingia kwenye chain ya kuiba wao kama wao, kupoka simu na mikoba ya kinamama. Kijiingiza kwenye makundi haramu wewe ukimwona utafikir ni boda kumbe kibaka. Wengine wanaendesha piki piki za wizi na kuwapelekea majambazi nguli kutwa. Ikitokea ukafanyika usajili wa bodaboda nchini wengi watatiwa matatani.
 
Kuna watu wanaleta ubishi kwenye huu Uzi.
Kutoka kwenye bodaboda wazee wao wamekuja kujumuisha kazi mzima ya bodaboda.
Hivi ni kweli kuna mtu humu atafurahi siku baba yake mzazi akimwambia mwanangu ninunulie pikipiki niwe bodaboda?
To be honest wazee ni madereva wazuri Sana, kama mtakumbuka wazee wetu walikuwa madereva wamabas ya abiria. Hawa kama mfumo ndivyo ungekuwa unawasajili wazee pekee ingekuwa biashara sahihi na ya uhakika, watoto Hawa kwenye zebra imergine watu wanapita magari yamesimama boda akupitia sikio, utasikia tu whaaa! Amepita. Lkn sio biashara ya vijana Wala wazee, ni usafiri wa abiria wasio na hatia wanaowahi mishe zao...

Kimsingi wazee na Hawa watoto mim nawaitaga panya boda, walitakiwa wakatumikie majesshi, huko makambini walime, wazalishe bidhaa mbalimbali, walitakiwa wajifunze teknolojia mbalimbali kujenga taifa,wao wanatimua vumbi na kulawiti wakinamama.

Kwa Ambae hajui kuwa mke wa flan anakuwa na flani fanya tafiti. Ukiachana na ngono, taifa haliwekezi Kwa wa bodaboda
 
Kazi ni kazi,lakini kwahili la wazee kuendesha bodaboda lazima tulitizame vizuri.
 
Bodaboda sio ajira kama ajira nyingine.
Bodaboda ni ajira duni.
Kwani bodaboda si ni ajira kama zingine? Unajua mwenye boda anayemiliki chombo anapata kiasi gani kwa siku. Hivi unajua kama mshahara wa mwalimu grade A haumfikii boda?
 
Bodaboda sio ajira kama ajira nyingine.
Bodaboda ni ajira duni.
Ajira ni ajira hata madaktari kuna wale wanafanya ajira yao kwenye mazingira mazuri na wengine duni.
Fahamu pia kwamba Kuombaomba nayo ni ajira.
Umalaya ni ajira pia
 
Habari!

Binafsi ninapomwona bodaboda mtu mzima mwenye miaka 50-60 napata mshituko kidogo na kuanza kuiogopa kesho yangu.

Najiuliza maswali yafuatayo;

1. Kayumba ukumbwani mpaka kaamua kuingia kwenye kazi za vijana wanaoishi vijiweni kutwakutwa kwa utani na matusi?
2. Atafanya hiyo kazi mpaka lini, na siku akiacha ataenda kufanya kazi gani?
3. Je, Mimi nikiyumba uzeeni nitafanya kazi gani?

NJE YA MADA

Vijana tijifunze kuwekeza kwenye shughuli ambazo zitaleta matunda baadaye na si kuangalia leo tu.
Hapa ndio tofauti ya watu weuzi na wale wenye rangi unaiona, weusi nyie ni wabaguzi sana sasa kumbuka umri ni namba na as long mtu ananguvu kidogo ataendelea kupiga kazi. Changamoto ni life expectancy ni ndogo mno wachache tu ndio wanatoboa 50
 
Bodaboda ni kazi kama kazi nyingine mbona huongelei walimu na madaktari wazee, siajabu hako kasalari kako unakoingiza hakafikii kipato cha huyo mzee
Kazi ambayo unakufa dakika yoyote?
 
Back
Top Bottom