Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una umri gani mkuuAh hapa tumeelewana , kumbe unakubali kuwa akifanikiwa anahama from bodaboda kwenda kwenye hiace, sasa mimi nafanya kilimo nikifanikiwa sihami kwenye kilimo Bali naongeza kuwekeza huko, na kuongeza biashara nyingine
Nikienda kutafuta bodaboda huwa napenda kuwasapot hawa wazee maana wana majukumu kuliko kiasiHabari!
Binafsi ninapomwona bodaboda mtu mzima mwenye miaka 50-60 napata mshituko kidogo na kuanza kuiogopa kesho yangu.
Najiuliza maswali yafuatayo;
1. Kayumba ukumbwani mpaka kaamua kuingia kwenye kazi za vijana wanaoishi vijiweni kutwakutwa kwa utani na matusi?
2. Atafanya hiyo kazi mpaka lini, na siku akiacha ataenda kufanya kazi gani?
3. Je, Mimi nikiyumba uzeeni nitafanya kazi gani?
NJE YA MADA
Vijana tijifunze kuwekeza kwenye shughuli ambazo zitaleta matunda baadaye na si kuangalia leo tu.
kwanza wana nidhamu na wanaendesha vizuriNikienda kutafuta bodaboda huwa napenda kuwasapot hawa wazee maana wana majukumu kuliko kiasi
Ufahamu uliopewa una kazi nyingi mkuu.inamaana ww mtu mwenye Rika Hilo huwez kumtambua kwa macho?Unamjuaje kuwa ana miaka hiyo?
Akili mgando hiyo.unapaswa uwaze nje ya box jombaaHuwezi kumlinganisha bodaboda na mtumishi wa umma kwa namna yoyote ile labda mtumishi wa umma mlevi.
Mimi ninadhaminika, naweza kupata milioni zaidi ya kumi bila barua ya udhamini kutoka kwa mwenyekiti.
Mimi nikiugua hata miezi kadhaa nitaendelea kulamba mshahara na posho , natibiwa kwa bima n.k
Nyumba yangu sijawahi kumuona bodaboda mwenye nyumba kama yangu.
Acheni ujinga, bodaboda ni last option
Kazi ni kazi ili mradi mkono uende kinywaniKuna mzee mmoja yule ako na 50s Kama sikosei..yeye na vijana wake watatu wote bodaboda miaka nenda Rudi..dah
Ninapopanda bodaboda anayoiendesha mtu mzima huwa na amani kweli nenda moi kaangalie jinsi vitoto vilivyovunjika miguu.Habari!
Binafsi ninapomwona bodaboda mtu mzima mwenye miaka 50-60 napata mshituko kidogo na kuanza kuiogopa kesho yangu.
Najiuliza maswali yafuatayo;
1. Kayumba ukumbwani mpaka kaamua kuingia kwenye kazi za vijana wanaoishi vijiweni kutwakutwa kwa utani na matusi?
2. Atafanya hiyo kazi mpaka lini, na siku akiacha ataenda kufanya kazi gani?
3. Je, Mimi nikiyumba uzeeni nitafanya kazi gani?
NJE YA MADA
Vijana tijifunze kuwekeza kwenye shughuli ambazo zitaleta matunda baadaye na si kuangalia leo tu.
Hii chai sasa mzee wa 70 yrs ni bodaboda??Yupo mmoja mtaani kwangu, nimeoanda sana, ana hata 70 yule
Acheni mawazo haya ya kizamani ya kuamini kuajiriwa tu au kulima.Halafu akiumwa anafany nin, atafanya kazi , hizo hela atapata ,bodaboda anaweza kuamka asubuhi pikipiki imeibiwa , kazi haina security yoyote future ya kijana ambaye ni bodaboda ni kuja kuwa nani,mfano Mimi nalima na mkulima my future ni kwamba siku moja MUNGU akipenda nije kuwa mkulima mkubwa, unaweza shauri mwanao awe bodaboda
Huwezi kumlinganisha bodaboda na mtumishi wa umma kwa namna yoyote ile labda mtumishi wa umma mlevi.
Mimi ninadhaminika, naweza kupata milioni zaidi ya kumi bila barua ya udhamini kutoka kwa mwenyekiti.
Mimi nikiugua hata miezi kadhaa nitaendelea kulamba mshahara na posho , natibiwa kwa bima n.k
Nyumba yangu sijawahi kumuona bodaboda mwenye nyumba kama yangu.
Acheni ujinga, bodaboda ni last option
Kama ni rahisi hayo uliyoyaeleza hapa acha kufanya mambo yako kwani bajaji na pikipiki za mkataba ziko nyingi na ili upewe huulizwi hata elimu yako.Acheni mawazo haya ya kizamani ya kuamini kuajiriwa tu au kulima.
Kuna dogo amepiga kazi ya boda kwa mkataba akapata zake 2 na bajaji 1. Pia akamiliki mgahawa na kuajiri watu huku mwenyewe akipiga bajaji ya mkataba kwa mtu mwingine.
Huyo utamlinganisha na mwajiriwa wa chini wa serikali? A mkulima wa kilimo kidogo duni cha jembe la mkono?
Sandali Ali mwenyewe huenda hamfikii kipato chake kwa siku/mwezi.
Huyo anakopesheka na anaweza kujilipia bima ya afya.
Barua ya dhamana ya mwenyekiti wa serikali za mtaa ina shida gani? Si mbadala tu wa barua ya mwajiri? Au inapunguza kiwango cha kukopeshwa?
Kuna watu wamekopa milioni zaidi ya hizo 10M kwa hiyo barua ya utambulisho.
Hakuna kitu rahisi au kazi rahisi kwenye utafutaji.Kama ni rahisi hayo uliyoyaeleza hapa acha kufanya mambo yako kwani bajaji na pikipiki za mkataba ziko nyingi na ili upewe huulizwi hata elimu yako.
Kwahiyo uligraduate ili ukaendeshe bodaboda pamoja na vijana ambao waliishia la 3 wakafukuzwa shule baada ya kumpiga teacher manati?Mbona kazi ya kawaida wazee
Sema jf mnajikuta matawi sana
Kwa niaba ya graduates wenzangu qummer maker zenu