Kuibuka kwa bodaboda wazee, kijana unajifunza nini?

Kuibuka kwa bodaboda wazee, kijana unajifunza nini?

Halafu akiumwa anafany nin, atafanya kazi , hizo hela atapata ,bodaboda anaweza kuamka asubuhi pikipiki imeibiwa , kazi haina security yoyote future ya kijana ambaye ni bodaboda ni kuja kuwa nani,mfano Mimi nalima na mkulima my future ni kwamba siku moja MUNGU akipenda nije kuwa mkulima mkubwa, unaweza shauri mwanao awe bodaboda
Unakariri maisha, kuna vijana Yeye ni bodaboda na anamiliki bodaboda zake, na analima vilevile, Kwa akili yako mtu akiwa bodaboda ndio kamaliza! Nyie ndio wasomi wetu Wa kutupeleka nchi ya ahadi 🚮🚮
 
Unakariri maisha, kuna vijana Yeye ni bodaboda na anamiliki bodaboda zake, na analima vilevile, Kwa akili yako mtu akiwa bodaboda ndio kamaliza! Nyie ndio wasomi wetu Wa kutupeleka nchi ya ahadi 🚮🚮
Tutafika tumechoka 🤣
 
Unakariri maisha, kuna vijana Yeye ni bodaboda na anamiliki bodaboda zake, na analima vilevile, Kwa akili yako mtu akiwa bodaboda ndio kamaliza! Nyie ndio wasomi wetu Wa kutupeleka nchi ya ahadi [emoji706][emoji706]

Kaongelea security anafikiri yuko sahihi kwa Mtazamo wake ila bado, wengi waoga wanataka
security

Wakati kiukweli kujinasua kimaisha ni Kupata financial freedom na sio security kutoka kwa serikali au kampuni kubwa

Swali muhimu kujiuliza sasa una saving/investment ya kiasi gani ikitokea haufanyi kazi unaamka na kulala itakufikisha muda gan?

Je mapatao yako yanazid matumiz?

Haya maswali wengi hatujiulizagi
 
Habari!

Binafsi ninapomwona bodaboda mtu mzima mwenye miaka 50-60 napata mshituko kidogo na kuanza kuiogopa kesho yangu.

Najiuliza maswali yafuatayo;

1. Kayumba ukumbwani mpaka kaamua kuingia kwenye kazi za vijana wanaoishi vijiweni kutwakutwa kwa utani na matusi?
2. Atafanya hiyo kazi mpaka lini, na siku akiacha ataenda kufanya kazi gani?
3. Je, Mimi nikiyumba uzeeni nitafanya kazi gani?

NJE YA MADA

Vijana tijifunze kuwekeza kwenye shughuli ambazo zitaleta matunda baadaye na si kuangalia leo tu.
Kuwekeza Kwa usawa huu wa Mama yawezekana?
 
Habari!

Binafsi ninapomwona bodaboda mtu mzima mwenye miaka 50-60 napata mshituko kidogo na kuanza kuiogopa kesho yangu.

Najiuliza maswali yafuatayo;

1. Kayumba ukumbwani mpaka kaamua kuingia kwenye kazi za vijana wanaoishi vijiweni kutwakutwa kwa utani na matusi?
2. Atafanya hiyo kazi mpaka lini, na siku akiacha ataenda kufanya kazi gani?
3. Je, Mimi nikiyumba uzeeni nitafanya kazi gani?

NJE YA MADA

Vijana tijifunze kuwekeza kwenye shughuli ambazo zitaleta matunda baadaye na si kuangalia leo tu.
Weka kwanza picha ya hao bodaboda wa miaka 60
 
Habari!

Binafsi ninapomwona bodaboda mtu mzima mwenye miaka 50-60 napata mshituko kidogo na kuanza kuiogopa kesho yangu.

Najiuliza maswali yafuatayo;

1. Kayumba ukumbwani mpaka kaamua kuingia kwenye kazi za vijana wanaoishi vijiweni kutwakutwa kwa utani na matusi?
2. Atafanya hiyo kazi mpaka lini, na siku akiacha ataenda kufanya kazi gani?
3. Je, Mimi nikiyumba uzeeni nitafanya kazi gani?

NJE YA MADA

Vijana tijifunze kuwekeza kwenye shughuli ambazo zitaleta matunda baadaye na si kuangalia leo tu.
Mtu kaamua kununua Pikipiki yake na kuifanyia kazi yeye mwenyewe kistaarabu na pia kupata wasaa wa kuujua ukweli wa kipato kwa siku.

Kuna ubaya gani?

Kwanza abiria wengi wanapenda hao madereva wenye umri mkubwa sababu ya uaminifu na umakini wanapokuwa barabarani.

Kazi ni popote na kazi ni yoyote ilimradi inaingiza kipato halali.

Kama kuja kwa wazee vijiweni kunawanyima fursa nyinyi vijana.
Vema mlajiuliza mnakosea wapi?
 
Mihumi hajaja kwako kuomba hell Wala unga muache na kazi yake
 
Usichojua.

Boda boda aliye na connection nzuri ana uwezo wa kuingiza hata 1m+ kwa mwezi...

Wewe endelea kubaki na Ujinga wako
 
Back
Top Bottom