Kuibuka kwa bodaboda wazee, kijana unajifunza nini?

Kuibuka kwa bodaboda wazee, kijana unajifunza nini?

Kwa hiyo bodaboda ni biashara ya usafirishaji,Mimi nimefanya kazi ya bodaboda as mmiliki wa pikipiki, kipindi nawapa vijana chombo kwa mkataba kipindi hicho ilikuwa ni 10000 per day, anakulipa hiyo mwaka mzima, then pikipiki inakuwa yake , na nashukuru zilinisaidia sana kufungua mashamba yangu mapya ya parachichi,so sipondi bodaboda ila nakiona ni kitu kisichokuwa na future, hivyo ukiwa kijana fanya kutafta unafuu then shift kwenda kwingine, ila kwa mzee jua ni salamu kuwa kidingi kimepoteana, nazani bodaboda inabidi ifanywe ni vijana chini ya miaka 25
umekubali lakini kwa kukaza shingo. nani kakupa mamlaka ya kupangia watu umri wa kujiajiri
 
Vijana tijifunze kuwekeza kwenye shughuli ambazo zitaleta matunda baadaye na si kuangalia leo tu.
Unadhani katika competitive world hata Azam wa leo au Dewji hawezi kesho kuwa Matonya ?!!!

Cha muhimu kama jamii ni kuhakikisha kuna vitu kama pension vya kuweza kuwasaidia / kuwapa a safety net vijana wa leo ili kesho wasisumbue...

Shughuli yoyote inaweza kwenda pearshaped anytime..., the only safety net ni kama kama pension ya kuhakikisha mtu ana cash ya matumizi ya hapa na pale uzeeni

After all Cash is the King
 
What if ni owner wa zaidi ya boda boda 10??
Ameamua tu kuwekesha kwenye boda… unataka alale nyumbani asubiri kupoke? Ndio utaona kuwa amefanikiwa?
Kama anaenda kijiweni anapaki anasubiri abiria jua amechoka, hivi aliyekudanganya nani, pikipiki ni biashara hadi umiliki nyingi , nimewahi fanya zilikuwa nane, za mikitaba bado hazikutosha kuwa ni kitu cha kuegemea na kutegemea,
 
Sio nimekubali nazani uwezo wako mdogo wa kuchanganua mambo ndio unaona nimekubali, nasema bodaboda ni last resort( kimbilio la mwisho kabisa ) baada ya mambo mengine kushindikana
Dah 😂😂😂
 
Kama anaenda kijiweni anapaki anasubiri abiria jua amechoka, hivi aliyekudanganya nani, pikipiki ni biashara hadi umiliki nyingi , nimewahi fanya zilikuwa nane, za mikitaba bado hazikutosha kuwa ni kitu cha kuegemea na kutegemea,
😀😀😀 sawa mkuu
 
Bodaboda ni kazi kama kazi nyingine mbona huongelei walima na madaktari wazee, siajabu hako kasalari kako unakoingiza hakafikii kipato Cha huyo mzee
Bodaboda si kama kazi nyingine.
Na ni ujinga kulinganisha bodaboda na ualimu au udaktari, hizi ni noble professions.

Bodaboda linganisha na Machinga na Mamantilie huko.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkubwa wengine wanakuwa hapo kwa kazi maalum
Hayo mambo ya akina Nyerere, hakuna usalama wa taifa lofalofa siku hizi, umlipe milioni halafu umvalishe makoti adhurule juani na bodaboda.
Huo ulikuwa mfumo wa kianalogi.
Wewe utapigwa vizinga na vijana wa mjini utasema yuko kwenye kazi maalumu 😆😆😆😆😆
 
Bodaboda si kama kazi nyingine.
Na ni ujinga kulinganisha bodaboda na ualimu au udaktari, hizi ni noble professions.

Bodaboda linganisha na Machinga na Mamantilie huko.



Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi ambayo kifo kinaweza kukupata dk yoyote, kazi ambayo huna cheti nayo, kazi ambayo hata mgambo ni bosi wako utailinganisha na professional ni akili kweli!!
😂😂😂😂
Achana nao
 
Sio nimekubali nazani uwezo wako mdogo wa kuchanganua mambo ndio unaona nimekubali, nasema bodaboda ni last resort( kimbilio la mwisho kabisa ) baada ya mambo mengine kushindikana
hizi akili zenu zina matope ,mtu awe dereva lori zaidi ya miaka 20 halafu aache kisa ana miaka 50? Wapumbavu ndo mnachaguaga kazi halafu wana maisha ya kijinga kama huyo mleta mada anayemponda huyo mzee lakini kuna thread kafulia anaulizia mshahara kutoka.
 
Kazi ambayo kifo kinaweza kukupata dk yoyote, kazi ambayo huna cheti nayo, kazi ambayo hata mgambo ni bosi wako utailinganisha na professional ni akili kweli!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Achana nao
Inashangaza,

Kazi haina job security, risks na athari za kiafya nyingi.

Mimi kwa upande wa si kwamba naidharau ila naona ni kazi ambayo mtu anafanya baada ya kukosa options.

Umetoa mada nzuri, sema wachangiaji sijui ni kukosa uelewa, au ni unafiki tuu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom