Kuibuka kwa bodaboda wazee, kijana unajifunza nini?

Kuibuka kwa bodaboda wazee, kijana unajifunza nini?

Huwezi kumlinganisha bodaboda na mtumishi wa umma kwa namna yoyote ile.
Mimi ninadhaminika, naweza kupata milioni zaidi ya kumi bila barua ya udhamini kutoka kwa mwenyekiti.
Mimi nikiugua hata miezi kadhaa nitaendelea kulamba mshahara na posho , natibiwa kwa bima n.k
Nyumba yangu sijawahi kumuona bodaboda mwenye nyumba kama yangu.
Acheni ujinga, bodaboda ni last option
Ha ha ha nimecheka kwa mara ya kwanza siku ya leo.
 
Halafu akiumwa anafany nin, atafanya kazi , hizo hela atapata ,bodaboda anaweza kuamka asubuhi pikipiki imeibiwa , kazi haina security yoyote future ya kijana ambaye ni bodaboda ni kuja kuwa nani,mfano Mimi nalima na mkulima my future ni kwamba siku moja MUNGU akipenda nije kuwa mkulima mkubwa, unaweza shauri mwanao awe bodaboda
Kwani nyie wa maofisini mkiumwa inakuwaje?
Mkuu usitype tu ili mradi unatype.
Nyie mnakula hazina sijui, ila huku upande mwingine likizo za ugonjwa zina muda wake, zina muda utakaofika utapokea nusu salary.. mwishowe itakata hiyo salary.

Muhimu omba tu Mungu wako usipate magonjwa hayo ya kukulaza muda mrefu, the same applies to hao boda.

Hata huyo boda Mungu akimjaalia atahamia kwa bajaji, tax na mwishowe awe na hiace zake.
 
Kwani nyie wa maofisini mkiumwa inakuwaje?
Mkuu usitype tu ili mradi unatype.
Nyie mnakula hazina sijui, ila huku upande mwingine likizo za ugonjwa zina muda wake, zina muda utakaofika utapokea nusu salary.. mwishowe itakata hiyo salary.

Muhimu omba tu Mungu wako usipate magonjwa hayo ya kukulaza muda mrefu, the same applies to hao boda.

Hata huyo boda Mungu akimjaalia atahamia kwa bajaji, tax na mwishowe awe na hiace zake.
Ah hapa tumeelewana , kumbe unakubali kuwa akifanikiwa anahama from bodaboda kwenda kwenye hiace, sasa mimi nafanya kilimo nikifanikiwa sihami kwenye kilimo Bali naongeza kuwekeza huko, na kuongeza biashara nyingine
 
Mkuu,Unachotaka kusema ni nini?Kwamba hawa wazee wanaoendesha bodaboda wameyumba?Kwamba vijana wanaoendesha bodaboda sasa hivi wanayumba au unataka kusema nini hasa?

Katika uchumi na utafutaji usione ukadhani.Leo ni ya muhimu kuliko kesho.Ila kesho inajitegemea na leo inajitegemea.

Ukiona mtu anajishughulisha usifikiri hana ramani ujue kwamba yeye ni productive member wa jamii.
 
Huwezi kumlinganisha bodaboda na mtumishi wa umma kwa namna yoyote ile.
Mimi ninadhaminika, naweza kupata milioni zaidi ya kumi bila barua ya udhamini kutoka kwa mwenyekiti.
Mimi nikiugua hata miezi kadhaa nitaendelea kulamba mshahara na posho , natibiwa kwa bima n.k
Nyumba yangu sijawahi kumuona bodaboda mwenye nyumba kama yangu.
Acheni ujinga, bodaboda ni last option
Good for you… Hongera sana pia boss 😂😂😂😂

Maskini akipata…ila
Mkuu uwe na adabu, wewe kuwahi kupata usiwaone watafutaji ni wazembe.

Kwanza we HUNA HELA zozote, ungekuwa na hela usingekuwa unakaa kuulizia ulizia ka msg kama kameonekana hata kama ni ujira wako.
 
Huwezi kumlinganisha bodaboda na mtumishi wa umma kwa namna yoyote ile labda mtumishi wa umma mlevi.
Mimi ninadhaminika, naweza kupata milioni zaidi ya kumi bila barua ya udhamini kutoka kwa mwenyekiti.
Mimi nikiugua hata miezi kadhaa nitaendelea kulamba mshahara na posho , natibiwa kwa bima n.k
Nyumba yangu sijawahi kumuona bodaboda mwenye nyumba kama yangu.
Acheni ujinga, bodaboda ni last option
Au sio😎
20220519_101006.jpg
 
Good for you… Hongera sana pia boss 😂😂😂😂

Maskini akipata…ila
Mkuu uwe na adabu, wewe kuwahi kupata usiwaone watafutaji ni wazembe.

Kwanza we HUNA HELA zozote, ungekuwa na hela usingekuwa unakaa kuulizia ulizia ka msg kama kameonekana hata kama ni ujira wako.
Good for you… Hongera sana pia boss 😂😂😂😂

Maskini akipata…ila
Mkuu uwe na adabu, wewe kuwahi kupata usiwaone watafutaji ni wazembe.

Kwanza we HUNA HELA zozote, ungekuwa na hela usingekuwa unakaa kuulizia ulizia ka msg kama kameonekana hata kama ni ujira wako.
Maskini akipata matako Julia mbwata.
 
Back
Top Bottom