ki2c
JF-Expert Member
- Jan 17, 2016
- 7,719
- 14,506
Kuna bodaboda anapata 20000,unadhani akifanya kazi 3 years atakua na Tsh. ngapi?
At the end of the day,utashangaa anakua na bodaboda hata 6 na zote anaajiri watu,yeye anaendelea na maisha kama kawaida,aisee pamoja na kutokua na security ya matibabu,ajira n.k,baadhi wanapata hela,humfananishi na Mtumishi,anayechukua mshahara wa Daraja A au B.
At the end of the day,utashangaa anakua na bodaboda hata 6 na zote anaajiri watu,yeye anaendelea na maisha kama kawaida,aisee pamoja na kutokua na security ya matibabu,ajira n.k,baadhi wanapata hela,humfananishi na Mtumishi,anayechukua mshahara wa Daraja A au B.