Kuibuka kwa bodaboda wazee, kijana unajifunza nini?

Kuibuka kwa bodaboda wazee, kijana unajifunza nini?

Kuna bodaboda anapata 20000,unadhani akifanya kazi 3 years atakua na Tsh. ngapi?
At the end of the day,utashangaa anakua na bodaboda hata 6 na zote anaajiri watu,yeye anaendelea na maisha kama kawaida,aisee pamoja na kutokua na security ya matibabu,ajira n.k,baadhi wanapata hela,humfananishi na Mtumishi,anayechukua mshahara wa Daraja A au B.
 
Ah hapa tumeelewana , kumbe unakubali kuwa akifanikiwa anahama from bodaboda kwenda kwenye hiace, sasa mimi nafanya kilimo nikifanikiwa sihami kwenye kilimo Bali naongeza kuwekeza huko, na kuongeza biashara nyingine
Khaaa wewe 😂😂

Anachokifanya boda kiko ndani ya biashara ya usafirishaji.. ndani ya biashara hiyo kuna boda, tax, uber, inDriver, hiace, canter, malori, virikuu.
What’s matter ni Enough capital ambao hata weee ukiupata huko kwenye kilimo utaanza kulima kitaalamu likely uwe na tractors, acres za kutosha, masoko, pembejeo, mbegu bora na madawa.
 
Habari!

Binafsi ninapomwona bodaboda mtu mzima mwenye miaka 50-60 napata mshituko kidogo na kuanza kuiogopa kesho yangu.

Najiuliza maswali yafuatayo;

1. Kayumba ukumbwani mpaka kaamua kuingia kwenye kazi za vijana wanaoishi vijiweni kutwakutwa kwa utani na matusi?
2. Atafanya hiyo kazi mpaka lini, na siku akiacha ataenda kufanya kazi gani?
3. Je, Mimi nikiyumba uzeeni nitafanya kazi gani?

NJE YA MADA

Vijana tijifunze kuwekeza kwenye shughuli ambazo zitaleta matunda baadaye na si kuangalia leo tu.
Kipato cha boda boda ni kikubwa kuliko ajira nyingi za serikalini na private kila siku boda boda anapata kati ya 30k kwa 50k kwa mwezi ni 900k kwa 1.5m hamna makato au Paye, niambie graduate wangapi wanapokea hicho kiasi kama net take home ............na boda boda inako elekea vijana wa sio jielewa wata kosa wateja hamna abilia anae penda kusafiri na dereva mvuta bangi au mlevi
 
Kuna mvuvi mmoja na mwanae tukienda kurusha nyavu wanaoga waziwazi wanaangaliana matango yao.
Kuna mbaba mmoja na kijana wake wote wanapark kijiwe kimoja, sijui wana handle vipi matusi ya vijiweni
 
Huwezi kumlinganisha bodaboda na mtumishi wa umma kwa namna yoyote ile labda mtumishi wa umma mlevi.
Mimi ninadhaminika, naweza kupata milioni zaidi ya kumi bila barua ya udhamini kutoka kwa mwenyekiti.
Mimi nikiugua hata miezi kadhaa nitaendelea kulamba mshahara na posho , natibiwa kwa bima n.k
Nyumba yangu sijawahi kumuona bodaboda mwenye nyumba kama yangu.
Acheni ujinga, bodaboda ni last option
watumishi wa serikali ndo wanaongoza kukopa kwa mangi walipe mwisho wa mwezi mshahara ukitoka.

Unasema una guarantee ya kukopa hela nyingi kwa vile una ajira ya kudumu,mbona mtaani mmejaa stress za mikopo.
 
Ila watanzania tuna shida mahali

Ulitaka mkute benki anahudumia wateja?

Je bodaboda siyo Kaz halali nchi hii?

Je ulitaka akae nyumban TU?

Je wale wazee wa umri wa miaka 50-60 wanaoendesha magari nao unawaonaje?

KAZI ULIYONAYO LEO KESHO UNAWEZA USIWE NAYO HUIJUI KESHO YAKO UTATAMANI HATA KUBEBA ZEGE

kifupi nakuona kijana unayewaza leo bila kujua KESHO yako

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Khaaa wewe 😂😂

Anachokifanya boda kiko ndani ya biashara ya usafirishaji.. ndani ya biashara hiyo kuna boda, tax, uber, inDriver, hiace, canter, malori, virikuu.
What’s matter ni Enough capital ambao hata weee ukiupata huko kwenye kilimo utaanza kulima kitaalamu likely uwe na tractors, acres za kutosha, masoko, pembejeo, mbegu bora na madawa.
Kwa hiyo bodaboda ni biashara ya usafirishaji,Mimi nimefanya kazi ya bodaboda as mmiliki wa pikipiki, kipindi nawapa vijana chombo kwa mkataba kipindi hicho ilikuwa ni 10000 per day, anakulipa hiyo mwaka mzima, then pikipiki inakuwa yake , na nashukuru zilinisaidia sana kufungua mashamba yangu mapya ya parachichi,so sipondi bodaboda ila nakiona ni kitu kisichokuwa na future, hivyo ukiwa kijana fanya kutafta unafuu then shift kwenda kwingine, ila kwa mzee jua ni salamu kuwa kidingi kimepoteana, nazani bodaboda inabidi ifanywe ni vijana chini ya miaka 25
 
Ila watanzania tuna shida mahali

Ulitaka mkute benki anahudumia wateja?

Je bodaboda siyo Kaz halali nchi hii?

Je ulitaka akae nyumban TU?

Je wale wazee wa umri wa miaka 50-60 wanaoendesha magari nao unawaonaje?

KAZI ULIYONAYO LEO KESHO UNAWEZA USIWE NAYO HUIJUI KESHO YAKO UTATAMANI HATA KUBEBA ZEGE

kifupi nakuona kijana unayewaza leo bila kujua KESHO yako

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mtumishi mwenzio huyo.. anatunanga tusio watumishi wa hazina.
 
Of course wazee wanaondesha daladala, malori nk kwenye umri huo ni sign ya kupoteana
Ila watanzania tuna shida mahali

Ulitaka mkute benki anahudumia wateja?

Je bodaboda siyo Kaz halali nchi hii?

Je ulitaka akae nyumban TU?

Je wale wazee wa umri wa miaka 50-60 wanaoendesha magari nao unawaonaje?

KAZI ULIYONAYO LEO KESHO UNAWEZA USIWE NAYO HUIJUI KESHO YAKO UTATAMANI HATA KUBEBA ZEGE

kifupi nakuona kijana unayewaza leo bila kujua KESHO yako

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom