FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Bodaboda aliejiajiri na kuwekeza vyumba vya kupangisha na kupokea kodi kila mwezi, ana tofauti gani na anaepokea pensheni?Ana pension yake lakini
Usisahau hilo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bodaboda aliejiajiri na kuwekeza vyumba vya kupangisha na kupokea kodi kila mwezi, ana tofauti gani na anaepokea pensheni?Ana pension yake lakini
Usisahau hilo
Kazi gani inaweza kukusaidia kujikinga na kifo kisikupate muda wowote?Kazi ambayo kifo kinaweza kukupata dk yoyote, kazi ambayo huna cheti nayo, kazi ambayo hata mgambo ni bosi wako utailinganisha na professional ni akili kweli!!
😂😂😂😂
Achana nao
Halafu wengine kama FRANCIS DA DON nilichogundua kanunua bodaboda zake anawatumikisha vijana, na hapa kaja kuwatetea.Inashangaza,
Kazi haina job security, risks na athari za kiafya nyingi.
Mimi kwa upande wa si kwamba naidharau ila naona ni kazi ambayo mtu anafanya baada ya kukosa options.
Umetoa mada nzuri, sema wachangiaji sijui ni kukosa uelewa, au ni unafiki tuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu kuna kifo cha kawaida na kifo kinachosababishwa na mazingira yako ya kazi.Kazi gani inaweza kukusaidia kujikinga na kifo kisikupate muda wowote?
Kuna watu wanafia usingizini, vipi hao nao?Ndugu kuna kifo cha kawaida na kifo kinachosababishwa na mazingira yako ya kazi.
Umewahi kusikia madaktari wangapi wamekufa kutokana na kazi zao at the point?
Walimu, manesi, wahandisi?
Kama imetokea, je, kwa % ngapi?
Jifunze kusema kibanda Kama watu wa pwani, ukisema nyumba utaambiwa unamalingo, kujimwambafai msemo wa waukae.Huwezi kumlinganisha bodaboda na mtumishi wa umma kwa namna yoyote ile labda mtumishi wa umma mlevi.
Mimi ninadhaminika, naweza kupata milioni zaidi ya kumi bila barua ya udhamini kutoka kwa mwenyekiti.
Mimi nikiugua hata miezi kadhaa nitaendelea kulamba mshahara na posho , natibiwa kwa bima n.k
Nyumba yangu sijawahi kumuona bodaboda mwenye nyumba kama yangu.
Acheni ujinga, bodaboda ni last option
Mkuu Sandali Ali; Nakushauri urekebishe kwanza kauli kwamba mtu mzima kayumba Ukubwani. Sio hivyo hata kidogo. Kama anaimudu shughuli hiyo na kwa ufanisi hoja ya kayumba ukubwani haina mashiko hata kidogo.Habari!
Binafsi ninapomwona bodaboda mtu mzima mwenye miaka 50-60 napata mshituko kidogo na kuanza kuiogopa kesho yangu.
Najiuliza maswali yafuatayo;
1. Kayumba ukumbwani mpaka kaamua kuingia kwenye kazi za vijana wanaoishi vijiweni kutwakutwa kwa utani na matusi?
2. Atafanya hiyo kazi mpaka lini, na siku akiacha ataenda kufanya kazi gani?
3. Je, Mimi nikiyumba uzeeni nitafanya kazi gani?
NJE YA MADA
Vijana tijifunze kuwekeza kwenye shughuli ambazo zitaleta matunda baadaye na si kuangalia leo tu.
Siku hizi walinzi Ni vijanakazi ya ulinzi wameacha kulinda.maisha yamebadilika
Mbona Kuna wanasiasa pia unakuta wote Ni wafamilia moja na wanasongesha tu maisha Pamoja na changakoto za SiasaKuna mbaba mmoja na kijana wake wote wanapark kijiwe kimoja, sijui wana handle vipi matusi ya vijiweni
Pia na Siku hizi wimbi la wizi limeongezeka wakiwepo Panya road. 😳 🤣Siku hizi walinzi Ni vijana
Mtu anaweza akawa ameingiza kiinua mgongo million kadhaa wakati anatafakari namna ya kuzitumia anaamua kuchukua bodaboda apate za kula na matumizi mengine huku akitafakari namna ya kuziwekeza milioni zakeKwani ukiendesha boda boda ndio umeyumba kimaisha ? ni kazi kama kazi nyingine cha umuhimu anapata hela ya mahitaji yake
mshahara wa professinal Tanzania analipwa un professional hapo kenya tu. tuendelee kuvaa tshirt siku za may mosiHabari!
Binafsi ninapomwona bodaboda mtu mzima mwenye miaka 50-60 napata mshituko kidogo na kuanza kuiogopa kesho yangu.
Najiuliza maswali yafuatayo;
1. Kayumba ukumbwani mpaka kaamua kuingia kwenye kazi za vijana wanaoishi vijiweni kutwakutwa kwa utani na matusi?
2. Atafanya hiyo kazi mpaka lini, na siku akiacha ataenda kufanya kazi gani?
3. Je, Mimi nikiyumba uzeeni nitafanya kazi gani?
NJE YA MADA
Vijana tijifunze kuwekeza kwenye shughuli ambazo zitaleta matunda baadaye na si kuangalia leo tu.
Vipi na wee mke mtarajiwa nikununulie boxer tupige kazi pamojaKuna mzee mmoja yule ako na 50s Kama sikosei..yeye na vijana wake watatu wote bodaboda miaka nenda Rudi..dah
Umri wakula mbususu za warembo wa 27-32Suluhisho ni ku invest wakat uko kijana, umri wa uzee sio wa kuendesha Boda ni umri wa kucheza na wajukuu na kwenda Kanisan/Msikitini
Yap! Hilo linawezekana kabisa japo lina ugumu wake.Mtu anaweza akawa ameingiza kiinua mgongo million kadhaa wakati anatafakari namna ya kuzitumia anaamua kuchukua bodaboda apate za kula na matumizi mengine huku akitafakari namna ya kuziwekeza milioni zake