The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Maisha hayana formula,
Babu wa Loliondo alitoboa uzeeni,akili kumkichwa.
Babu wa Loliondo alitoboa uzeeni,akili kumkichwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ila ni nini. ile boda inasajiriwa kama chombo cha usafiri na TRAAcha utani bodaboda sio ajira
Hata huyo na vijana wake wanapark sehemu Moja na ana kauli chafu huyo mzee🙌Kuna mbaba mmoja na kijana wake wote wanapark kijiwe kimoja, sijui wana handle vipi matusi ya vijiweni
Kuna aina kadhaa za ajira zikiwemo:Ajira ni ipi
AhahahahaHata huyo na vijana wake wanapark sehemu Moja na ana kauli chafu huyo mzee🙌
Huoni ni mifumo mobovu ya siasa zetu , wameshindwa kutengeneza ajira wamejikuta wanasajili bodaboda as usafiri na wanataka ionekane ni ajiraila ni nini. ile boda inasajiriwa kama chombo cha usafiri na TRA
Na hakafikii… mtu tarehe 22 anaanza ulizia kama msg ishaonekana.Bodaboda ni kazi kama kazi nyingine mbona huongelei walima na madaktari wazee, siajabu hako kasalari kako unakoingiza hakafikii kipato Cha huyo mzee
point. Kuna baadhi ya vijana wanaoukunywa matap tap unakuta ana miaka 20 lakini sura imekunjana kama ana miaka 70.Unamjuaje kuwa ana miaka hiyo?
Ni ajira… ila sio rasmi, kind of entrepreneurship.Acha utani bodaboda sio ajira
Ajira ni nini?Acha utani bodaboda sio ajira
Na anaweza hata mzidi OP na take home yake.Mwenzako kwa siku hakosi 20,000 na kuendelea.
20,000 ×30=600,000
Hyo kazi Ina hela Kama ni boda yako
Huwezi kumlinganisha bodaboda na mtumishi wa umma kwa namna yoyote ile labda mtumishi wa umma mlevi.Na hakafikii… mtu tarehe 22 anaanza ulizia kama msg ishaonekana.
Ila hapa sasa kanataka jifanya matawi kudharau source of income za wengine.View attachment 2230282
utakuwa na tatizo la ufahamu na uelewaHuoni ni mifumo mobovu ya siasa zetu , wameshindwa kutengeneza ajira wamejikuta wanasajili bodaboda as usafiri na wanataka ionekane ni ajira
Kama shughuli gani?Habari!
Binafsi ninapomwona bodaboda mtu mzima mwenye miaka 50-60 napata mshituko kidogo na kuanza kuiogopa kesho yangu.
Najiuliza maswali yafuatayo;
1. Kayumba ukumbwani mpaka kaamua kuingia kwenye kazi za vijana wanaoishi vijiweni kutwakutwa kwa utani na matusi?
2. Atafanya hiyo kazi mpaka lini, na siku akiacha ataenda kufanya kazi gani?
3. Je, Mimi nikiyumba uzeeni nitafanya kazi gani?
NJE YA MADA
Vijana tijifunze kuwekeza kwenye shughuli ambazo zitaleta matunda baadaye na si kuangalia leo tu.
Na anaweza hata mzidi OP na take home yake.
una shida kichwani. wewe kwa akili yako unajua ajira ni kuajiri tu? sasa serikali itaajiri watu wote, private sector itaajiri watu wote? kwani boda hakopesheki? kwani boda hawezi kuwa na bima?Huwezi kumlinganisha bodaboda na mtumishi wa umma kwa namna yoyote ile.
Mimi ninadhaminika, naweza kupata milioni zaidi ya kumi bila barua ya udhamini kutoka kwa mwenyekiti.
Mimi nikiugua hata miezi kadhaa nitaendelea kulamba mshahara na posho , natibiwa kwa bima n.k
Nyumba yangu sijawahi kumuona bodaboda mwenye nyumba kama yangu.
Acheni ujinga, bodaboda ni last option
Kwa tafsiri hii bodaboda ni ajira binafsi.Kuna aina kadhaa za ajira zikiwemo:
Ajira ya kudumu - (permanent employment) ni ajira ambayo mwajiriwa hana woga wa kuachishwa au kuacha kazi ila tu anapopigwa kalamu kwa sababu ya makosa yake, afikishapo miaka ya kustaafu au kuacha kazi kwa hiari yake. Waajiriwa wa kudumu hufuata ratiba fulani na wanaweza kuwa wafanyakazi wa mchana kutwa (full time employment) au wa masaa machache (part-time employee).[1]
Ajira ya mkataba - (contract employment) hii ni ajira ambayo mwajiriwa huajiriwa kufanya kazi fulani au kwa muda fulani na muda wake au kazi yake ishapo mkataba wake na mwajiri unaisha. Mwajiriwa wa mkataba huwa na uhakika, hawezi kuachishwa kazi kabla mkataba wake uishe, ila tu afanye makosa yasiyo weza kuvumiliwa. Pia yeye hawezi acha ile kazi kwa hiari bila kugharamia hasara yote inayoweza kutokana na kuvuja ule mkataba.
Ajira ya muda - (temporary employment) ni ajira ambayo mwajiriwa hufuata ratiba ya wafanyakazi wa kudumu lakini anaweza akaachishwa kazi wakati wowote. Mwajiriwa hana usalama wa kazi. Kibarua ni mfano wa ajira ya muda; ni ajira isiyo ya mara kwa mara na mtu huajiriwa tu kazi ipatikanapo na kazi ikiisha anaenda zake bila kujua kazi ingine itapatikana lini.
Ajira ya binafsi - (self employment) ni ajira ambayo mtu hujiajiri yeye mwenyewe
Tunakaa mtaa mmoja nini?Kuna mzee mmoja yule ako na 50s Kama sikosei..yeye na vijana wake watatu wote bodaboda miaka nenda Rudi..dah