Kuibuka kwa suala la bandari ya Bagamoyo ni uthibitisho kuwa Kikwete ndo anaeongoza nchi kwa sasa!

Kabla ya lolote. Tafuta ili ripoti ya huu mradi uisome.

Magu alitulisha matango pori.

Na huu mradi sasa una fanywa Msumbiji.
Kama umeisoma hiyo ripoti hebu iposti hapa ili tulinganishe na hayo matango pori.
 
Mtasema yote lakini msiba wake umewaumbua Sana. Umeonyesha namna gani mtu huyu alipendwa na watanzania walio wengi na kuchukiwa na genge dogo la mafisadi, wauza unga, misheni town, wahujumu uchumi na vyeti feki.
 
Mtasema yote lakini msiba wake umewaumbua Sana. Umeonyesha namna gani mtu huyu alipendwa na watanzania walio wengi na kuchukiwa na genge dogo la mafisadi, wauza unga, misheni town, wahujumu uchumi na vyeti feki.
Wengi waliudhuria so kwa walimpenda ila kujihakikishia kama kweli kafaa.
 
Mtasema yote lakini msiba wake umewaumbua Sana. Umeonyesha namna gani mtu huyu alipendwa na watanzania walio wengi na kuchukiwa na genge dogo la mafisadi, wauza unga, misheni town, wahujumu uchumi na vyeti feki.
Mimi mwenyewe sikumkubali kabisa kwa ajili ya ukabila na double standard za kina Makonda basi nilipenya mpaka bandani kuhakikisha mwendazake ni yeye aliyelala.
Maana katika Hotuba ya Uhuru Kenyatta ali-pause kupisha Adhana basi tulinyong;onyea baada ja fununu kutufikia kuwa jamaa kafufuka.
Sio wote tulioandamana tulilia bali kilio cha mamba na bia zetu kichwani
sasa tunamsahau kabisa
 
Mtasema yote lakini msiba wake umewaumbua Sana. Umeonyesha namna gani mtu huyu alipendwa na watanzania walio wengi na kuchukiwa na genge dogo la mafisadi, wauza unga, misheni town, wahujumu uchumi na vyeti feki.
Mie na kundi langu tulienda barabarani kuangalia na kufurahia kuwa mshenzi kafa
 
Nadhani tanzania tuna kosa sera na mipango ya maendeleo kulingana na mahitaji na uwezo tulio kuwa nao wa kifedha, bandari ya dar bado ina kidhi mahitaji yetu kwasasa, hivyo kwa mipango ya baadae labda mradi wa bandari huu wa bagamoyo ungepelekwa tanga au mtwara,
Tanga ni karibu na nchi za uganda , rwanda na burundi pamoja na drc
 
Lakini wachina si ndio marafiki zetu au umesahau mara hii?
Hao Wachina na Bagamoyo km ikishindikana nimuombe Mam awachukue
Rais wangu Mama Samia achana na Madaraja ya Busisi, mara Bandari ya Bagamoyo ya Matrilioni tujengee daraja la BAGAMOYO - ZANZIBAR kilomita 35 tu, mpe Mchina
kwa muda huo tutakukumbuka kuliko wote waliokutangulia
Maana utuunganisha Muungano kwa vitendo, tutaenda hata kwa daladala na baiskeli kukutembelea
Lakini nili li SGR matrilioni 11 eti Mwanza isaka wenzako walitaka wakamuone Kagame
 
Safi sana kama kikwete ndio anaongoza kwa ss. Bagamoyo kuchele
 
Yawezekana uko sawa, lakini za kuambiwa changanya na za kwako. Cha msingi hapa kwako ni kupima umuhimu wa bandari hiyo kwako na kwa watanzania kwa ujumla. Hili ndio nafikiri lilikuwa kubwa la kuandika hapa, halafu hitimisho ndio ungemwingiza Kikwete. Jaribu tena kutushawishi.
 
Acheni uhuni soma vzr report ya CAG hasara za air tanzania ni madeni ya kurithi na mengine ni matatizo ya covid muwe mnaacha kuropoka
 
Kuna watu wana maslahi na bandari ya bagamoyo walipelekwa china na kuhahidiwa gonge nono ndio maana wanalilia donge lao. walikuwa wapi kabla Jeshi ajafa na walikuwa nae tena ni viongozi wakubwa na washauri wa Rais. kweli Mnafiki hana kwao watanzania wamebakia mdomo wazi. kweli kikulacho kinguoni mwako.
 
Kwahuo mkataba aliosema hayati hasara ni kubwa kuliko faida!
 
Kabla ya lolote. Tafuta ili ripoti ya huu mradi uisome.

Magu alitulisha matango pori.

Na huu mradi sasa una fanywa Msumbiji.
Kama Msumbiji wamekubali masharti yao hao wachina waacheni wavae msalaba wao; sisi lazima tulinde maslahi yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…