Kuibuka kwa suala la bandari ya Bagamoyo ni uthibitisho kuwa Kikwete ndo anaeongoza nchi kwa sasa!

Unahakika gani kama CAG anasema ukweli?! Kwa nini usifikirie kuwa tunaweza kuwa tunapigwa... Kwa kuonyeshwa hasara na watu waka pindisha kuwa zao?
 
Kikwete hana uchungu na Tz. Alishatupiga gesi asilia ya Mtwara.
ALIKABIDHI BANDALI YETU YA DAR ES SALAAM KWA HOME SHOPPING CENTRE NA KUMPA UBALOZI MDOGO MWANA FAMILIA WA HOME SHOPPING CENTRE HUKO CHINA!!! Mama Samia LAZIMA AWE MUANGALIFU SANA NA HUYU MTU AMA SIVYO ATAUWEKA URAIS WAKE REHANI!!!
 
ALIKABIDHI BANDALI YETU YA DAR ES SALAAM KWA HOME SHOPPING CENTRE NA KUMPA UBALOZI MDOGO MWANA FAMILIA WA HOME SHOPPING CENTRE HUKO CHINA!!! Mama Samia LAZIMA AWE MUANGALIFU SANA NA HUYU MTU AMA SIVYO ATAUWEKA URAIS WAKE REHANI!!!
Nchi iliuzwa kwa wachina ili kumuokoa mwanaye Ridhiwani. Sasa Mama Samia akimchekea tu huyu mjomba wa msoga atavuna mabua.
 
Spika ndugai alinyamaza kimya wakati JIWE lipo hai, sasa mwendazake kaondoka ndugai anasema JIWE alishauriwa vibaya

Sasa kwa akili yako kwa bunge lile la ndugai ukipeleka mkataba wa bandari ukajadiliwe utaambiwa ukweli au utazuiliwa kijenga?

Kwanin kama ni bandari wasijenge huko mtwara kwenye kina cha asilia cha maji?

Tatizo la nchi hii akili ndogo iñaongoza akili kubwa
 
Hatutaki ripoti ya mkataba, Tunautaka mkataba wenyewe tuusome.

mambo yawekwe wazi kama vile tulivyofanya kwenye unnunuzi wa ndege za ATCL , mikataba ya ujenzi wa mradi wa umeme JNHEPP n.k
 
Mwendazake alikuwa mkurupukaji na hapendi ushauri; wacha aumbuke!! Mama shikilia spana hapo hapo
Aumbuke wakati hayupo ? Wewe ndio utaumbuka maana unachotegemea hutakipata.
 
Mangungo hakuingia mkataba wa kulaghai, bali alidanganywa
 
Kabla ya lolote. Tafuta ili ripoti ya huu mradi uisome.

Magu alitulisha matango pori.

Na huu mradi sasa una fanywa Msumbiji.
Huu uwekezaji mkataba wake upelekwe bungeni uwekwe wazi hatujui Nani mkweli waungaji mkono walitakiwa waunge mkono wakati Magufuli yu hai.hivi hawa viongozi,wabunge ,spika Ndugai ulishindwaje kutetea mradi kama huu ambau waliamini hauna tatizo ambao ungeleta mapinduzi makubwa ya uchumi.Mh Ndugai & Co wekeni wazi.
NASHAURI watanzania kwa hili tuwezke pembeni tofauti zetu hata wale walioumizwa na hata wapendwa wao kuuwawa nyakati za mwendazake ,tudai uwazi.
Maana mwendazake alituambia mengi ikiwa misamaha ya Kodi kwa miaka mingihaturuhusuwi kudai chochote,hatutaruhusiw kuendeleza bandari zetu toka kaskazini mpaka kusini mengine mengi!
Kama asemayo Ndugai kweli ni mambo mangapi maouvu alimwachia mwendazake kufanya huku alipiga makofi na kukenyua meno,Ndugai ni aibu ya taifa,bunge lako ni fedhea kuu ulipaswa kujiuzulu .uliambiwa bunge ni muhimu uhuru lakini ukuacha kujipendekeza,leo si unajipendekeza kwa wenye nguvu wanaotoka huo mradi?
Kwa maslahi mapana na kuondoa utata mkataba ujadiriwe bungeni
Tunadai viongozi wetu waseme ukweli bila kujali matumbo yao waliunga mkono mateso makubwa kwetu leo wanabadilika hao ni wasalit kwa watanzania kama viongozi wa mihimili ya bunge/ mahakama wanashindwa kusimamia haki Nani atajaribu?Lissu alipopigwa risasi alikuwa na madaraka ya kikatiba angalu kulipa sehemu ya matibabu yake alifanya Nini jamani?huyu ni muovu ameshiriki uovu anajioedekeza kwa mama Rais Samia
.mh RAIS wambie mkataba uwe wazi wasikutumie.
 
Kweli alale anapostahili
 
Muhimu mikataba yote iwekwe wazi
 
Kabla ya lolote. Tafuta ili ripoti ya huu mradi uisome.

Magu alitulisha matango pori.

Na huu mradi sasa una fanywa Msumbiji.
Hatutaki ripoti ya mradi.

Tunataka mkataba wa mradi.

Ndugai anasema uongo wa wazi wazi kwamba Rais JPM alidanganywa. JPM alikuwa hajui kusoma kilichoandikwa kwenye mkataba ?

Waziri mtia saini, Mary Nagu, alisema mkataba ulipitiwa na cabinet.

JPM aliuona mkataba akiwa kwenye cabinet ya JK. Kwa hiyo JPM alidanganywa na nani, na waziri mwenzake aliyekuwa amekaa pembeni yake kwenye cabinet ???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…