one nronga
JF-Expert Member
- Aug 14, 2015
- 414
- 163
Ya balali na epa yalikuwa hivi hivi,tukajaambiwa wahusika wakikamatwa au kutajwa majina yao nchi itaangamia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
shetani ananafasi kubwa sana ya kuwaweka viongozi hasa wa kidunia kuliko hata Mungu! Ni kiongozi yupi amewekwa na Mungu?"Mkikamata mafisadi wa EPA nchi italipuka" - IGP Mstaafu.
Kumbuka huyu bwana alikuwa amekula kiapo cha utiifu wakati akiyasema haya, na mlango wa nyuma aliyajua haya ya Lugumi pia. Kama viongozi wanawekwa na Mungu na wanaishia kufanya haya si ajabu ndio maana nchi yetu inaendelea kuandamwa na laana.
Lina tumbulika vizuri tu. Ni kiasi cha kufanya maamuzi. Osama pamoja na jeshi lake alipatikana sembuse muosha viatu. Wapeni kazi Interpol muone kama kesho asubuhi na mapema hajarudishwa.jipu la lugumi limekaa pabaya sana
Nyuma yake kuna foleni mpaka mkuu wa polisi mstaafu,hadi prince,unaweza kuta mpaka mfalme anakumbwaLina tumbulika vizuri tu. Ni kiasi cha kufanya maamuzi. Osama pamoja na jeshi lake alipatikana sembuse muosha viatu. Wapeni kazi Interpol muone kama kesho asubuhi na mapema hajarudishwa.
Halafu kuna watu walikuwa wanalegezwa na kuamini maneno ya Rais kwamba amelitendea mema Taifa. Lile swali lake la "Kwani nimechomeka wapi? " Jibu lake ni "Kwa Lugumi."Nyuma yake kuna foleni mpaka mkuu wa polisi mstaafu,hadi prince,unaweza kuta mpaka mfalme anakumbwa
Bila samahani mkuu, ahsante kwa masahihisho.Samahani mkuu, ni kengele na sio kengere...
Wacha ujuha wako humu JF, tumo watu waelewa, mkataba wa lugumi ni wa mwaka 2011, Je unataka kutuambia nini hapo mnafiki wewe?Mungu ana makusudio kwa watu wake waliokuwa wameanza kulishwa matango pori kupitia vyombo vya habari kuwa amepatikana malaika tena mtenda haki asiyestahili hata kukoselewa na ukimkusoa wewe si mzalendo bali una wivu tu na chuki dhidi yake.
Tumeaminishwa haangali sura,hana chama, anasimamia haki,hamuogopi mtu, n.k na zaidi tumuombe kwa mungu.
Hata hivyo,limeibuka jambo ambalo litawasaidia wengi kama si wote kujua ukweli halisi kuhusu mtu huyu na kama kweli anafanya mambo yanayostahili yeye kuombewa.
Mungu aliona asisubiri sana maana watu wake wanazidi kupotea-the earlier the better.
NB: Kupitia mungu huyo huyo,vice versa is also true.
Tusubiri.
Ukiwa, monduli, kina Kitillya team etc, bado mtatumbuliwa tu, msifanye diverting hapa ni kazi tuKasi ya kumtimua Mama Kilango ilifurahisha lakini Ligumi mhaaa haaa ha aaa eti Tanzania tumempata Sokoine wetu hata 2% bado hajamfikia.
Kwa tuhuma hizi nzito nilitarajia kusikia watu fulani wamesimamishwa au teuzi zao zimetenguliwa ila cha ajabu bado wako ofisini alafu tunaambiwa tumempata Sokoine!!!
Suala hapa ni UKWELI wa watawala, kama JPM angekuwa sehemu ya hii kashfa ya lugumi asingeruhusu iende bungeni huku akijua wabunge walio wengi wana hasira ya kukatwa mafao yao yaani marupurupu, ikiwemo ziara za nje ya nchi nk, Ndio maana ana uhakika wa kuacha mambo hadharaniWanaogopa kulamba moto maana hawajui utawaunguza vipi. Mkuu usisahau ile kauli ya na wapigwe tu tumechoka AKA Pinda alipodai kwamba mafisadi wa EPA ni matajiri wakubwa sana nchini kama wakikamatwa basi nchi itawaka moto, si ajabu na hawa mafisadi wa Lugumi ni watu wazito sana nchini kama wakikamatwa basi nchi itawaka moto na kuwa na mtikisiko mkubwa sana ambao haujawahi kutokea nchini katika miaka 55 ya uhuru wa Tanganyika hivyo ni bora wajinyamazie tu kama vile hawajui nini kinaendelea kuhusu Lugumi na mabilioni yake haramu.
Mkikamata mafisadi wa EPA nchi italipuka" - IGP Mstaafu
Suala hapa ni UKWELI wa watawala, kama JPM angekuwa sehemu ya hii kashfa ya lugumi asingeruhusu iende bungeni huku akijua wabunge walio wengi wana hasira ya kukatwa mafao yao yaani marupurupu, ikiwemo ziara za nje ya nchi nk, Ndio maana ana uhakika wa kuacha mambo hadharani
Tafadhali jitahidi kuandia vitu ambavyo una uhakika navyo, hayo maneno hayakutamkwa na huyo unaemwita IGP mstaafu bali yalitamkwa na waziri mkuu mstaafu MTOTO WA MKULIMA Pinda!!!
Haya yote uliyoandika sijaona wapi huyo uliyemlenga anahusika
Mkuu, nina imani yataendelea kuibuka mengi na mazito ambayo Magufuli hatoweza kuyagusa. Hapa leo wameleta kisingizio cha taarifa za majeshi/usalama lakini yataibuka mengine ambayo watakosa kisingizio.Tusubiri na taarifa ya CAG maana nayo itakuja na mengine.Wanaogopa kulamba moto maana hawajui utawaunguza vipi. Mkuu usisahau ile kauli ya na wapigwe tu tumechoka AKA Pinda alipodai kwamba mafisadi wa EPA ni matajiri wakubwa sana nchini kama wakikamatwa basi nchi itawaka moto, si ajabu na hawa mafisadi wa Lugumi ni watu wazito sana nchini kama wakikamatwa basi nchi itawaka moto na kuwa na mtikisiko mkubwa sana ambao haujawahi kutokea nchini katika miaka 55 ya uhuru wa Tanganyika hivyo ni bora wajinyamazie tu kama vile hawajui nini kinaendelea kuhusu Lugumi na mabilioni yake haramu.
Awali tulisema hatua ya wahusika kuutoa mkataba husika kutoka PAC kwenda kamati ya ulinzi na usalama ililenga nini - kugeuza suala husika kuwa ni la siri na sio la media/public kama ilivyo kwa kazi za kamati nyingine.
Baadae tukaeleza kwamba tusipoteze muda kumlaumu IGP au Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani kwa suala linalomhusu bosi wake (Waziri Mambo ya Ndani) ambae bado mamlaka ya uteuzi haijamwajibisha.
Sasa taarifa iliyopo na ambayo waandishi wa habari wameanza kuipokea ni kwamba:
Katibu mkuu wa wizara ya mambo ya ndani jaji Projest Rwegasira ametoa ya moyoni kuhusu mkataba iliyopewa Lugumi Enterprises Ltd kusambaza vifaa maalum vya kuchukua alama za vidole kwenye vituo vyote vya jeshi la polisi nchini mwaka 2011.
Ndugu Rwegasira amesema kuwa ameagizwa na mamlaka ya juu kuuzuia mkataba kati ya Lugumi Enterprises Ltd na jeshi la polisi kwa madai kuwa kuutoa hadharani kwa wasio husika nao ni kukiuka taratibu za jeshi hilo.
Aidha ndugu Rwegasira amesema kuwa watakaoruhusiwa kuuona mkataba huo ni kamati ya bunge yenye mamlaka na jeshi la polisi nchini ambayo ni ya mambo ya nje, ulinzi na usalama na si vinginevyo.
Tanzania nakupenda kwa moyo wote. Hakika Jina lako ni tamu sana.