Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ExactlyHapo issue ni moja2 perfomance uwanjani kati ya hizi team mbili, kwa mfano leo hii ukiwaambia mashabiki wa utopolo waje uwanjani j'mosi kwa wingi watakuja maana team yao inacheza vzr yaani iko kwenye uelekeo tofauti na simba, ambapo leo hii ukiambiwa simba anacheza na azam unaanza kuwa na mashaka kutokana na perfomance yao uwanjani. Juzi yanga kapigwa 3:0 hakuna mtu aliyeumia lakini simba kadroo2 lakini watu wameisusia team yaooo maana wanaona kabisa uelekeo siyo mzuriiii
Chizi huyo.Wydad ni bingwa mtetezi wa kombe lipi?
Akili umezifungia chooni?Afungwe tatu iwe poa halafu droo iwe nongwa?Umevimbiwa mihogo ya Hersi!Hapo issue ni moja2 perfomance uwanjani kati ya hizi team mbili, kwa mfano leo hii ukiwaambia mashabiki wa utopolo waje uwanjani j'mosi kwa wingi watakuja maana team yao inacheza vzr yaani iko kwenye uelekeo tofauti na simba, ambapo leo hii ukiambiwa simba anacheza na azam unaanza kuwa na mashaka kutokana na perfomance yao uwanjani. Juzi yanga kapigwa 3:0 hakuna mtu aliyeumia lakini simba kadroo2 lakini watu wameisusia team yaooo maana wanaona kabisa uelekeo siyo mzuriiii
Bonge la pointHapo issue ni moja2 perfomance uwanjani kati ya hizi team mbili, kwa mfano leo hii ukiwaambia mashabiki wa utopolo waje uwanjani j'mosi kwa wingi watakuja maana team yao inacheza vzr yaani iko kwenye uelekeo tofauti na simba, ambapo leo hii ukiambiwa simba anacheza na azam unaanza kuwa na mashaka kutokana na perfomance yao uwanjani. Juzi yanga kapigwa 3:0 hakuna mtu aliyeumia lakini simba kadroo2 lakini watu wameisusia team yaooo maana wanaona kabisa uelekeo siyo mzuriiii
Basi Simba ipo vizuri si ndio unataka kusikia hivyoAkili umezifungia chooni?Afungwe tatu iwe poa halafu droo iwe nongwa?Umevimbiwa mihogo ya Hersi!
Usihitimishe kwa kuzira.Kwa hiyo aliyefungwa tatu kwa nunge yupo sawa na aliyetoka droo ya moja-moja?Hivi huwa mnafikiria kwa kutumia magoti?Basi Simba ipo vizuri si ndio unataka kusikia hivyo
Unahangaika na watu wasio na akili badala ya kuhangaika na timu yako?Tafadhali naomba niwekewe hapa Jedwali la matokeo ya Mechi za Kwanza za Makundi ya Simba na Yanga ili nijue nani ni Mwanaume hasa na nani ni Mwanamke ( wa Kikeni ) hasa katika Mchezo wa Mpira wa Miguu.
Kwani wanaoicheka simba ni Yanga au mashabiki vurugwa wa Simba yenyewe??Tafadhali naomba niwekewe hapa Jedwali la matokeo ya Mechi za Kwanza za Makundi ya Simba na Yanga ili nijue nani ni Mwanaume hasa na nani ni Mwanamke ( wa Kikeni ) hasa katika Mchezo wa Mpira wa Miguu.
Shabiki wa Simba hawezi kuicheka Simba.Kwani wanaoicheka simba ni Yanga au mashabiki vurugwa wa Simba yenyewe??
Sijapenda [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe mbilikimo king'ang'anizi kaa ndani utulie hizi mvua utasombwa na mafuriko