Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Camarades, na Wadau wa Mpira.., ni ukweli usiopingika kwamba Ligi yetu haina ushindani na Timu nyingi ni masikini na mashabiki hakuna kutokana na ushindani mdogo...
Kwa ushauri ni kipi kifanyike ili hii Product ipendwe ?, hata English Premier League ilikuwa invented sio zamani 1992 na matokeo yake tumeyaona.. kwa ushauri wangu naona yafuatayo yafanywe :-
Kuongeza Wadhamini
TFF na wadau watafute wadhamini zaidi, hata kuuza TV rights za kila game ili ionyeshwe na kuwashauri wadau wenye makampuni kufadhili league
Kuonyesha kila Game kwenye TV
Kuuza rights za kuonyesha Mpira / Mechi zote kwa Pesa nyingi itakayosaidia kuwekwa kwenye Fungu la Kuzigawia Timu entrance Fee ya Washibi watakaoingia kwenye mpira ni Pesa ndogo kuzitegemea, na hazitatosha.
Kuongeza / Kubadilisha Aina ya Fungu la Kugawia Timu
Badala ya Fungu la kiingilio kugawiwa timu zinazoshinda kwa percent nusu kwa nusu (baada ya makato ya TFF, Uwanja n.k.) Nashauri fedha igawiwe kwa Mafungu ya Percent Kubwa Zaidi kwa Timu itakayoshinda Mchezo husika na Ndogo kwa timu itakayofungwa (endapo Timu zitadraw) basi wote wapewe fungu dogo na zinazobaki ziwekwe kwenye Kapu na kuja kupewa Timu mwisho wa League itakayochukua Kombe.., kwa kufanya hivi nadhani kutapunguza Timu masikini kuuza Mechi; pia kila game itakuwa na maana sababu kushinda game kutakuwa na faida kubwa, kuliko kufungwa
Kuhakikisha / Kusaidia Mashabiki kuwa Regional
Kwa sasa tumeona kwamba zaidi ya Simba na Yanga timu nyingine za mikoani hazina kabisa mashabiki.., kwahio ili kuwe na uzalendo na watu kupenda Timu inasaidia kama Timu itakuwa ina uhusiano mkubwa na mkoa inakotoka.., Kwa mfano kama kila Mkoa ikiwa na Timu yake Mfano Mwanza Heroes; au Igembensabo, au Simiyu Stars.., kwa kuanzia wakazi wa mji husika watakuwa na uhusiano na upendo zaidi na Timu zao na wafadhili local watapatikana zaidi, ingawa hizi Timu zitaruhiwa kusajili kutoka popote na kila mkoa utaruhusiwa kwa na Timu hata zaidi ya moja kwa kuanzia ila mwisho wa ligi zikishuka hata kama mkoa fulani utakuwa hauna timu itaendelea hivyo hivyo. Na kwa kuanzia Timu ambazo zipo tayari kwenye League kina Simba na Yanga n.k. zitaendelea hivyo hivyo ila kila mkoa kwa kuanzia huimizwe kuwa na Timu ya mkoa ambayo ipo kwenye league (na hii itasaidia kupata vipaji kutoka mikoani)
HITIMISHO
Nadhani kwa kufanya hayo italeta uzalendo zaidi na kila game sababu itakuwa na faida kubwa kila mshindi wa game atapata pesa na mwisho wa siku atakayeshinda League mwisho wa mwaka na yeye apate dau la pesa nyingi kulingana na Nafasi atakayomaliza nayo.
Kwa kuwa kila game itakuwa na Price Tag/Kifuta Jasho kikubwa nina uhakika kutakuwa na Ushindani Mkubwa
c.c Jamal Malinzi; Pazi; Mbu; Katavi; Belinda Jacob; Nzi; EMT; na wadau wote wa Soka
Kwa ushauri ni kipi kifanyike ili hii Product ipendwe ?, hata English Premier League ilikuwa invented sio zamani 1992 na matokeo yake tumeyaona.. kwa ushauri wangu naona yafuatayo yafanywe :-
Kuongeza Wadhamini
TFF na wadau watafute wadhamini zaidi, hata kuuza TV rights za kila game ili ionyeshwe na kuwashauri wadau wenye makampuni kufadhili league
Kuonyesha kila Game kwenye TV
Kuuza rights za kuonyesha Mpira / Mechi zote kwa Pesa nyingi itakayosaidia kuwekwa kwenye Fungu la Kuzigawia Timu entrance Fee ya Washibi watakaoingia kwenye mpira ni Pesa ndogo kuzitegemea, na hazitatosha.
Kuongeza / Kubadilisha Aina ya Fungu la Kugawia Timu
Badala ya Fungu la kiingilio kugawiwa timu zinazoshinda kwa percent nusu kwa nusu (baada ya makato ya TFF, Uwanja n.k.) Nashauri fedha igawiwe kwa Mafungu ya Percent Kubwa Zaidi kwa Timu itakayoshinda Mchezo husika na Ndogo kwa timu itakayofungwa (endapo Timu zitadraw) basi wote wapewe fungu dogo na zinazobaki ziwekwe kwenye Kapu na kuja kupewa Timu mwisho wa League itakayochukua Kombe.., kwa kufanya hivi nadhani kutapunguza Timu masikini kuuza Mechi; pia kila game itakuwa na maana sababu kushinda game kutakuwa na faida kubwa, kuliko kufungwa
Kuhakikisha / Kusaidia Mashabiki kuwa Regional
Kwa sasa tumeona kwamba zaidi ya Simba na Yanga timu nyingine za mikoani hazina kabisa mashabiki.., kwahio ili kuwe na uzalendo na watu kupenda Timu inasaidia kama Timu itakuwa ina uhusiano mkubwa na mkoa inakotoka.., Kwa mfano kama kila Mkoa ikiwa na Timu yake Mfano Mwanza Heroes; au Igembensabo, au Simiyu Stars.., kwa kuanzia wakazi wa mji husika watakuwa na uhusiano na upendo zaidi na Timu zao na wafadhili local watapatikana zaidi, ingawa hizi Timu zitaruhiwa kusajili kutoka popote na kila mkoa utaruhusiwa kwa na Timu hata zaidi ya moja kwa kuanzia ila mwisho wa ligi zikishuka hata kama mkoa fulani utakuwa hauna timu itaendelea hivyo hivyo. Na kwa kuanzia Timu ambazo zipo tayari kwenye League kina Simba na Yanga n.k. zitaendelea hivyo hivyo ila kila mkoa kwa kuanzia huimizwe kuwa na Timu ya mkoa ambayo ipo kwenye league (na hii itasaidia kupata vipaji kutoka mikoani)
HITIMISHO
Nadhani kwa kufanya hayo italeta uzalendo zaidi na kila game sababu itakuwa na faida kubwa kila mshindi wa game atapata pesa na mwisho wa siku atakayeshinda League mwisho wa mwaka na yeye apate dau la pesa nyingi kulingana na Nafasi atakayomaliza nayo.
Kwa kuwa kila game itakuwa na Price Tag/Kifuta Jasho kikubwa nina uhakika kutakuwa na Ushindani Mkubwa
c.c Jamal Malinzi; Pazi; Mbu; Katavi; Belinda Jacob; Nzi; EMT; na wadau wote wa Soka
Last edited by a moderator: