Kuingia makundi CAF Champions League kusiwadanganye kuwa mna timu bora

Kuingia makundi CAF Champions League kusiwadanganye kuwa mna timu bora

babu onyango

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2023
Posts
378
Reaction score
984
Wakuu salaam,

Imekuwa ni kasumba sasa kwa washabiki/viongozi pamoja na wachambuzi uchwara kuwa timu ya Simba ni bora hapa nchini kwakuwa bado ipo inashiriki ligi ya mabingwa barani Afrika.

Ukweli ni kuwa uwepo wa Simba cafcl ni bahati tu kutokana na njia nyepesi waliyopitia na kufika hapo makundi.

Niwatolee mfano tu timu za Chelsea na Liverpool zipo ligi ya mabingwa barani ulaya hatua ya mtoano ila kwa sasa ni timu mbovu sana na zisipoangalia zinaweza kuteremka daraja msimu huu.

Upande mwingine timu za Arsenal na Man U ambazo zipo Europa league baada ya kutolewa ligi ya mabingwa zikikiwasha vilivyo ambapo timu ya Arsenal unaweza kusema ndio klabu Bora kabisa duniani Kwa sasa kulingana na kabumbu safi linalooneshwa na Hawa washika bunduki wa London.

Ndugu zangu wa Simba mnatakiwa muukubali ukweli huu kuwa ninyi kwa sasa ni timu ya kawaida sana au tunaweza kuwaita timu dhaifu na kuendelea kuwepo kwenu huko cafcl sio kigezo cha ubora na mifano tayari nimeitoa.

Ukweli mchungu ni kuwa mwaka huu pia mnatoka bila kikombe chochote, na hata huko Cafcl msipokuwa makini mnaweza msipate points yoyote huko makundi kwa maana Mna timu iliyochoka sana na kwa usajili huu wa tia maji tia maji mnaoufanya taifa linaenda kupata aibu ya mwaka.
 
Ishu ya points inajulikana mmetuzidi nazungumzia vitu vingine ambavyo inawezekana kwa Utopolo wako kichwani usivijue maana wenye akili ni wawili tuu huko kwenu

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
Ukiona umezidiwa point hata Moja tu basi tambua vigezi vingine vyote havina mashiko na ni kazi Bure.. Kwaio kuongelea magoli mengi ni kazi Bure.
Yaani mtu akikuzidi point 1 wewe hata umzidi magoli 10,000,000 inakuwa kazi Bure tu umeelewa we mbumbumbu
 
Kwa maana iyo kutokuingia ndio kuna manisha kua na timu bora? Eti na ww ni mchambuzi wa boli
 
Simba inawaumiza sana wasioipenda.Na itazidi kuwaumiza mnoo
 
Simba inawaumiza sana wasioipenda.Na itazidi kuwaumiza mnoo
Hakuna yeyote anayeumia kwa timu kibonde ya Simba. Labda huu Uzi ni mchungu kwako Kwa kuwa unaongelea ukweli kuhusu timu yako
 
Back
Top Bottom