Kuingia makundi CAF Champions League kusiwadanganye kuwa mna timu bora

Kuingia makundi CAF Champions League kusiwadanganye kuwa mna timu bora

Sasa mleta uzi kwa uchizi huo ulinao nenda kawaambie CAF kwamba Yanga ndio timu bora kuliko Simba kwasababu anaongoza Ligi kuu bara watakuelewa tu.... Kwa taarifa yako kama ulikua hujui yani kule CAF hata mchukue Ligi Kuu mara zote ila kama hamna mnachokifanya huko kwenye mashindano ya CAF mtakua useless tu kulingana na level ya ligi yetu, mfano Yanga kachukua mara 27 kombe la Ligi Lakini huko duniani sio bora kuliko Simba hutaki ndoivo unataka ndoivo...
 
Ukweli upi zaidi ya wivu.

Miaka yote Simba iliyofanya vizuri kimataifa iwe klabu bingwa au shirikisho mliibeza sana kwenye media zenu mlizozihonga ili wakate tamaa na ilitoboa,mwishoni aibu mliona nyie.

Hamna jipya,toboeni shirikisho mfikie level zetu ndio muanze kujifananisha na sisi walimu wenu wa mpira wa wakubwa.

Huko hakuna marefa dizaini ya Kina Kayoko mliozowea kuwahonga ili mpate unbeaten za mchongo,huko ni show show tu.

Karibuni kwenye show za wakubwa tuwafunde.
levo zipi umefika wewe kwani kuna tuzo ya kufika robo au nisu fainali
 
Mmepata nni kufika uko tujifunze
Uzoefu,kupata friends match na wakubwa wenzetu kama Sevilla,CSKA Moscow,kutokuwa underdog tena tunapopangwa kwenye michuano yoyote ile tunaheshimika kwa kuwa historia hiyo usioitaka wewe ndio inayotubeba.

UPO bandugu????

Je una swali lingine lolote lile??

KARIBU
 
Kila team ina malengo yake real Madrid wao wanataka UEFA champions league tu wakati Barcelona wao ni league tu na kila mtu alifanikiwa kwa upande wake kwa hyo kila team ibaki kwenye malengo yake Guardiola na mpira wote ila UEFA champions league anadondokea pua kila siku.
 
Wakuu salaam..

Imekuwa ni kasumba sasa kwa washabiki/viongozi pamoja na wachambuzi uchwara kuwa timu ya Simba ni bora hapa nchini kwakuwa bado ipo inashiriki ligi ya mabingwa barani Afrika.

Ukweli ni kuwa uwepo wa Simba cafcl ni bahati tu kutokana na njia nyepesi waliyopitia na kufika hapo makundi.

Niwatolee mfano tu timu za Chelsea na Liverpool zipo ligi ya mabingwa barani ulaya hatua ya mtoano ila kwa sasa ni timu mbovu sana na zisipoangalia zinaweza kuteremka daraja msimu huu.

Upande mwingine timu za Arsenal na Man U ambazo zipo Europa league baada ya kutolewa ligi ya mabingwa zikikiwasha vilivyo ambapo timu ya Arsenal unaweza kusema ndio klabu Bora kabisa duniani Kwa sasa kulingana na kabumbu safi linalooneshwa na Hawa washika bunduki wa London.

Ndugu zangu wa Simba mnatakiwa muukubali ukweli huu kuwa ninyi kwa sasa ni timu ya kawaida sana au tunaweza kuwaita timu dhaifu na kuendelea kuwepo kwenu huko cafcl sio kigezo cha ubora na mifano tayari nimeitoa..

Ukweli mchungu ni kuwa mwaka huu pia mnatoka bila kikombe chochote, na hata huko Cafcl msipokuwa makini mnaweza msipate points yoyote huko makundi kwa maana Mna timu iliyochoka sana na kwa usajili huu wa tia maji tia maji mnaoufanya taifa linaenda kupata aibu ya mwaka..
Kwa hiyo unataka utuaminishe YANGA ni bora kuliko SIMBA kweli UNAMBWATO
 
Wakuu salaam..

Imekuwa ni kasumba sasa kwa washabiki/viongozi pamoja na wachambuzi uchwara kuwa timu ya Simba ni bora hapa nchini kwakuwa bado ipo inashiriki ligi ya mabingwa barani Afrika.

Ukweli ni kuwa uwepo wa Simba cafcl ni bahati tu kutokana na njia nyepesi waliyopitia na kufika hapo makundi.

Niwatolee mfano tu timu za Chelsea na Liverpool zipo ligi ya mabingwa barani ulaya hatua ya mtoano ila kwa sasa ni timu mbovu sana na zisipoangalia zinaweza kuteremka daraja msimu huu.

Upande mwingine timu za Arsenal na Man U ambazo zipo Europa league baada ya kutolewa ligi ya mabingwa zikikiwasha vilivyo ambapo timu ya Arsenal unaweza kusema ndio klabu Bora kabisa duniani Kwa sasa kulingana na kabumbu safi linalooneshwa na Hawa washika bunduki wa London.

Ndugu zangu wa Simba mnatakiwa muukubali ukweli huu kuwa ninyi kwa sasa ni timu ya kawaida sana au tunaweza kuwaita timu dhaifu na kuendelea kuwepo kwenu huko cafcl sio kigezo cha ubora na mifano tayari nimeitoa..

Ukweli mchungu ni kuwa mwaka huu pia mnatoka bila kikombe chochote, na hata huko Cafcl msipokuwa makini mnaweza msipate points yoyote huko makundi kwa maana Mna timu iliyochoka sana na kwa usajili huu wa tia maji tia maji mnaoufanya taifa linaenda kupata aibu ya mwaka..
Kwa nini kujielezea Bila kuulizwa, kuwa mwafrika tu tayari ni uchawi....

Sent from my LDN-L21 using JamiiForums mobile app
 
levo zipi umefika wewe kwani kuna tuzo ya kufika robo au nisu fainali
Yaani Wewe ni kilaza. Kwa hiyo hujui kama kufika robo au nusu kuna tuzo? Kwako Wewe tuzo lazima iwe kombe? Hakika wewe ni utopolo .
 
Yaani wewe kwako wingi wa magoli ni takwimu nzuri kuliko wingi wa point?
Rage aliona mbali sana
Yanga ndio timu dhaifu zaidi, kinachofanya muongoze ligi sio uwezo ni bahasha mnazo tembeza kwa marefa, sababu haiwezekani mtu ashike nje ya box alafu refa aweke penati na vichwa box mnashangilia. Pumbav..
 
Ukiona umezidiwa point hata Moja tu basi tambua vigezi vingine vyote havina mashiko na ni kazi Bure.. Kwaio kuongelea magoli mengi ni kazi Bure.
Yaani mtu akikuzidi point 1 wewe hata umzidi magoli 10,000,000 inakuwa kazi Bure tu umeelewa we mbumbumbu
Umenzisha uzi, afu unakasirikia comments reply za Wadau vp we kiazi
 
Back
Top Bottom