Kuingia makundi CAF Champions League kusiwadanganye kuwa mna timu bora

Kuingia makundi CAF Champions League kusiwadanganye kuwa mna timu bora

Hakuna yeyote anayeumia kwa timu kibonde ya Simba. Labda huu Uzi ni mchungu kwako Kwa kuwa unaongelea ukweli kuhusu timu yako
Ukweli upi zaidi ya wivu.

Miaka yote Simba iliyofanya vizuri kimataifa iwe klabu bingwa au shirikisho mliibeza sana kwenye media zenu mlizozihonga ili wakate tamaa na ilitoboa,mwishoni aibu mliona nyie.

Hamna jipya,toboeni shirikisho mfikie level zetu ndio muanze kujifananisha na sisi walimu wenu wa mpira wa wakubwa.

Huko hakuna marefa dizaini ya Kina Kayoko mliozowea kuwahonga ili mpate unbeaten za mchongo,huko ni show show tu.

Karibuni kwenye show za wakubwa tuwafunde.
 
Ukweli upi zaidi ya wivu.

Miaka yote Simba iliyofanya vizuri kimataifa iwe klabu bingwa au shirikisho mliibeza sana kwenye media zenu mlizozihonga ili wakate tamaa na ilitoboa,mwishoni aibu mliona nyie.

Hamna jipya,toboeni shirikisho mfikie level zetu ndio muanze kujifananisha na sisi walimu wenu wa mpira wa wakubwa.

Huko hakuna marefa dizaini ya Kina Kayoko mliozowea kuwahonga ili mpate unbeaten za mchongo,huko ni show show tu.

Karibuni kwenye show za wakubwa tuwafunde.
Wala kimataifa hamna mafanikio yoyote.. kama yapo hebu yataje hapa.. Upepo wa covid ndio uliwabeba. Kama ndani ya nchi hamna kombe lolote baada ya kufungwa na Yanga makombe yote mliokuwa nayo na kunyang'anywa, huko nje mnaweza kuleta kombe gani nyie timu mbovu? Je nanyie Huwa mnachukua bahasha za Yanga? Kwa maana nyie ndio timu iliyofungwa zaidi na Yanga hapa duniani
 
Yaani wewe ni tahira,ndala kupita kwa zalani then al hilal ndio njia ngumu!! Kweli Luc hakukosea kuwa mnabweka ka umbwa na nyani
Wakuu salaam..

Imekuwa ni kasumba sasa kwa washabiki/viongozi pamoja na wachambuzi uchwara kuwa timu ya Simba ni bora hapa nchini kwakuwa bado ipo inashiriki ligi ya mabingwa barani Afrika.

Ukweli ni kuwa uwepo wa Simba cafcl ni bahati tu kutokana na njia nyepesi waliyopitia na kufika hapo makundi.

Niwatolee mfano tu timu za Chelsea na Liverpool zipo ligi ya mabingwa barani ulaya hatua ya mtoano ila kwa sasa ni timu mbovu sana na zisipoangalia zinaweza kuteremka daraja msimu huu.

Upande mwingine timu za Arsenal na Man U ambazo zipo Europa league baada ya kutolewa ligi ya mabingwa zikikiwasha vilivyo ambapo timu ya Arsenal unaweza kusema ndio klabu Bora kabisa duniani Kwa sasa kulingana na kabumbu safi linalooneshwa na Hawa washika bunduki wa London.

Ndugu zangu wa Simba mnatakiwa muukubali ukweli huu kuwa ninyi kwa sasa ni timu ya kawaida sana au tunaweza kuwaita timu dhaifu na kuendelea kuwepo kwenu huko cafcl sio kigezo cha ubora na mifano tayari nimeitoa..

Ukweli mchungu ni kuwa mwaka huu pia mnatoka bila kikombe chochote, na hata huko Cafcl msipokuwa makini mnaweza msipate points yoyote huko makundi kwa maana Mna timu iliyochoka sana na kwa usajili huu wa tia maji tia maji mnaoufanya taifa linaenda kupata aibu ya mwaka..
 
Wala kimataifa hamna mafanikio yoyote.. kama yapo hebu yataje hapa.. Upepo wa covid ndio uliwabeba. Kama ndani ya nchi hamna kombe lolote baada ya kufungwa na Yanga makombe yote mliokuwa nayo na kunyang'anywa, huko nje mnaweza kuleta kombe gani nyie timu mbovu? Je nanyie Huwa mnachukua bahasha za Yanga? Kwa maana nyie ndio timu iliyofungwa zaidi na Yanga hapa duniani
Daaaah,mnatia huruma mno,kwa hyo mwaka jana COVID tena ilikuwepo?

Nyie wenye mafanikio mna nini zaidi ya kuwahonga marefa ili mpate unbeaten za mchongo?

Mzee hauna cha kunishawishi nikuone bora,yaani nyie ni mikubwa halafu mijinga inayolilia ukubwa pasipo na lolote
 
Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu pole sana kama jina lako lilivyo
Wala kimataifa hamna mafanikio yoyote.. kama yapo hebu yataje hapa.. Upepo wa covid ndio uliwabeba. Kama ndani ya nchi hamna kombe lolote baada ya kufungwa na Yanga makombe yote mliokuwa nayo na kunyang'anywa, huko nje mnaweza kuleta kombe gani nyie timu mbovu? Je nanyie Huwa mnachukua bahasha za Yanga? Kwa maana nyie ndio timu iliyofungwa zaidi na Yanga hapa duniani
 
Unajua yanga wanajidanganya sana kuwa wana timu bora kuliko timu yoyote hapa nchini kwa vile wanaongoza ligi.
Niwatahadharishe tu kuwa kimataifa waamuzi siyo kama hawa wa kwetu.Kule kuna haki.
Kila mkicheza huwa kuna matukio mnabebwa sana.Mfamo mwamuzi anaweza kuua move ya timu pinzani kisa awape faulo ambayo anajua haitawasaidia kama ambavyo angewapa advantage kwenye move ya goli.
Pia huwa mnacheza madhambi na waamuzi wanajidai hawaoni.
Ni tofauti sana na timu nyingine,maana zinapita njia ngumu na ndio maana zinakuwa bora nje ya ligi.
Kwenye ligi utawafunga Singida goli nne,ila nje ya ligi utaaibishwa.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo ninyi kuingia hatua ya makundi ya mashindano ya kombe la waliofeli ndio inamaana mna timu bora? Ninyi mna uhakika mtarudi na kombe kwenye hayo mashindano? Tuanzie hapo kwanza!
 
Utopolo mnateseka sana. Msaidieni mhamasishaji wenu matatizo ya ndoa yake achaneni na Simba.
Ninyi wazee wa kupiga kama ngoma mko wapi ? Kwa nini msiipate bahati hiyo ?
 
Imekuwa ni kasumba sasa kwa washabiki/viongozi pamoja na wachambuzi uchwara kuwa timu ya Simba ni bora hapa nchini kwakuwa bado ipo inashiriki ligi ya mabingwa barani Afrika.
Ili kufupisha maelezo, ungeandika tu kwamba timu zinazoingia hatua ya makundi ya CAF Champions League sio bora, bali ni mbovu
 
Tatizo sio wewe bali ni daima mbelemwikonyumamwiko!unadhani kuingia makundi CAF ni kama kuingia chooni,toa mwiko upate akili,SIMBA ni kubwa sana hapa AFRIKA,mnavyookota droo na ushindi wa hapa na pale basi mnajiona mmeshafikia levels za SIMBA
 
Back
Top Bottom