TAI DUME
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 9,748
- 26,238
Maajabu ya mwaka kuna timu iliwahi kujiandalia kombe la 50 unbeaten ila sherehe ikavurugwa na timu choovu kuliko zote baralevo zipi umefika wewe kwani kuna tuzo ya kufika robo au nisu fainali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maajabu ya mwaka kuna timu iliwahi kujiandalia kombe la 50 unbeaten ila sherehe ikavurugwa na timu choovu kuliko zote baralevo zipi umefika wewe kwani kuna tuzo ya kufika robo au nisu fainali
Tumeanza Leo kuingia makundi? Utopolo bhana!Wakuu salaam..
Imekuwa ni kasumba sasa kwa washabiki/viongozi pamoja na wachambuzi uchwara kuwa timu ya Simba ni bora hapa nchini kwakuwa bado ipo inashiriki ligi ya mabingwa barani Afrika.
Ukweli ni kuwa uwepo wa Simba cafcl ni bahati tu kutokana na njia nyepesi waliyopitia na kufika hapo makundi.
Niwatolee mfano tu timu za Chelsea na Liverpool zipo ligi ya mabingwa barani ulaya hatua ya mtoano ila kwa sasa ni timu mbovu sana na zisipoangalia zinaweza kuteremka daraja msimu huu.
Upande mwingine timu za Arsenal na Man U ambazo zipo Europa league baada ya kutolewa ligi ya mabingwa zikikiwasha vilivyo ambapo timu ya Arsenal unaweza kusema ndio klabu Bora kabisa duniani Kwa sasa kulingana na kabumbu safi linalooneshwa na Hawa washika bunduki wa London.
Ndugu zangu wa Simba mnatakiwa muukubali ukweli huu kuwa ninyi kwa sasa ni timu ya kawaida sana au tunaweza kuwaita timu dhaifu na kuendelea kuwepo kwenu huko cafcl sio kigezo cha ubora na mifano tayari nimeitoa..
Ukweli mchungu ni kuwa mwaka huu pia mnatoka bila kikombe chochote, na hata huko Cafcl msipokuwa makini mnaweza msipate points yoyote huko makundi kwa maana Mna timu iliyochoka sana na kwa usajili huu wa tia maji tia maji mnaoufanya taifa linaenda kupata aibu ya mwaka..
Kila awazalo mpumbavu anataka aandike na kupost humu.Wakuu salaam..
Imekuwa ni kasumba sasa kwa washabiki/viongozi pamoja na wachambuzi uchwara kuwa timu ya Simba ni bora hapa nchini kwakuwa bado ipo inashiriki ligi ya mabingwa barani Afrika.
Ukweli ni kuwa uwepo wa Simba cafcl ni bahati tu kutokana na njia nyepesi waliyopitia na kufika hapo makundi.
Niwatolee mfano tu timu za Chelsea na Liverpool zipo ligi ya mabingwa barani ulaya hatua ya mtoano ila kwa sasa ni timu mbovu sana na zisipoangalia zinaweza kuteremka daraja msimu huu.
Upande mwingine timu za Arsenal na Man U ambazo zipo Europa league baada ya kutolewa ligi ya mabingwa zikikiwasha vilivyo ambapo timu ya Arsenal unaweza kusema ndio klabu Bora kabisa duniani Kwa sasa kulingana na kabumbu safi linalooneshwa na Hawa washika bunduki wa London.
Ndugu zangu wa Simba mnatakiwa muukubali ukweli huu kuwa ninyi kwa sasa ni timu ya kawaida sana au tunaweza kuwaita timu dhaifu na kuendelea kuwepo kwenu huko cafcl sio kigezo cha ubora na mifano tayari nimeitoa..
Ukweli mchungu ni kuwa mwaka huu pia mnatoka bila kikombe chochote, na hata huko Cafcl msipokuwa makini mnaweza msipate points yoyote huko makundi kwa maana Mna timu iliyochoka sana na kwa usajili huu wa tia maji tia maji mnaoufanya taifa linaenda kupata aibu ya mwaka..
Je selection ya timu kushiriki UEFA kwa mfano Uingeleza inafanyikaje? Je Chelsea ama Liverpool kuingia mtoano Ligi ya mabigwa wamesaidiwa tu sababu kwenye ligi hawafanyi vizuri?Niwatolee mfano tu timu za Chelsea na Liverpool zipo ligi ya mabingwa barani ulaya hatua ya mtoano ila kwa sasa ni timu mbovu sana na zisipoangalia zinaweza kuteremka daraja msimu huu.
Kilichowafanya mkaandamana kuwapokea wachezaji wenu kuingia makundi kombe la waliofeli mlikua mmepata nini ?Mmepata nni kufika uko tujifunze
Unasemaje?Ukweli upi zaidi ya wivu.
Miaka yote Simba iliyofanya vizuri kimataifa iwe klabu bingwa au shirikisho mliibeza sana kwenye media zenu mlizozihonga ili wakate tamaa na ilitoboa,mwishoni aibu mliona nyie.
Hamna jipya,toboeni shirikisho mfikie level zetu ndio muanze kujifananisha na sisi walimu wenu wa mpira wa wakubwa.
Huko hakuna marefa dizaini ya Kina Kayoko mliozowea kuwahonga ili mpate unbeaten za mchongo,huko ni show show tu.
Karibuni kwenye show za wakubwa tuwafunde.
Haya tuone sasa nyie kwenye hayo mashindano ya waliofeli 😂😂😂Kwa hiyo ninyi kuingia hatua ya makundi ya mashindano ya kombe la waliofeli ndio inamaana mna timu bora? Ninyi mna uhakika mtarudi na kombe kwenye hayo mashindano? Tuanzie hapo kwanza!
Sisi tunabeba kabisa na nyie makundi tu chali,😆😆😆Haya tuone sasa nyie kwenye hayo mashindano ya waliofeli 😂😂😂