Kuingia makundi CAF Champions League kusiwadanganye kuwa mna timu bora

levo zipi umefika wewe kwani kuna tuzo ya kufika robo au nisu fainali
Maajabu ya mwaka kuna timu iliwahi kujiandalia kombe la 50 unbeaten ila sherehe ikavurugwa na timu choovu kuliko zote bara
 
Tumeanza Leo kuingia makundi? Utopolo bhana!
 
Kila awazalo mpumbavu anataka aandike na kupost humu.
 
Niwatolee mfano tu timu za Chelsea na Liverpool zipo ligi ya mabingwa barani ulaya hatua ya mtoano ila kwa sasa ni timu mbovu sana na zisipoangalia zinaweza kuteremka daraja msimu huu.
Je selection ya timu kushiriki UEFA kwa mfano Uingeleza inafanyikaje? Je Chelsea ama Liverpool kuingia mtoano Ligi ya mabigwa wamesaidiwa tu sababu kwenye ligi hawafanyi vizuri?

Majibu ya haya yatakusaidia.
 
Si lazima uandike Kila uwazalo. Simba hii yenye magoli 37, ni dhaifu kwa timu inayoshinda kwa ujanja ujanja! Unadhani kudroo na csk Moscow ni rahisi? Unadhani kuongoza kundi club bingwa ni sawa na ligi ya bahasha ? Unadhani nafasi ya 11 Africa inapatikana kwa maneno? Hao De Augosto kama ni dhaifu ucheze nao kama utatoboa.mtadhulumu sana Simba kwenye ligi hii,lakini kwenye marefa wenye weledi,hamtoboi.Jaribu kuheshimu walioheshimisha ligi, hiyo nafasi ya ligi kuwa namba 12 kwa ubora point nyingi ni za simba.
 
Nyie timu Bora mkowapi..
 
Unasemaje?
 
Kwa hiyo ninyi kuingia hatua ya makundi ya mashindano ya kombe la waliofeli ndio inamaana mna timu bora? Ninyi mna uhakika mtarudi na kombe kwenye hayo mashindano? Tuanzie hapo kwanza!
Haya tuone sasa nyie kwenye hayo mashindano ya waliofeli πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…